×

Kimataifa

Waziri Mkuu wa Uingereza Kikaangoni, Hatima Yake Kujulikana Leo

WAZIRI MKUU wa Uingereza Boris Johnson anatarajiwa kupigiwa kura ya kukosa Imani na wabunge wa Chama chake cha Conservative.  ...

READ MORE

Watu 50 Nchini Nigeria Wahofiwa Kuuawa Wakiendelea na Ibada

ZAIDI ya watu 50 wanahofiwa kufariki baada ya watu watano waliokuwa na silaha kuwafyatulia risasi waumini wa Kanisa la Mt....

READ MORE

Nchi ya Uturuki Yabadili Jina Katika Mkakati wa Kulitangaza Taifa Hilo

NCHI ya Uturuki imefikia uamuzi wa kubadili jina lake linalotambulika siku zote la Turkey na sasa itafahamika kama Turkiye.  ...

READ MORE

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa Ashitakiwa kwa Kosa la Jinai

MKUU wa Usalama wa zamani wa Afrika Kusini Arthur Fraser amemfungulia mashitaka ya kosa la jinai Rais wa nchi hiyo...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Akanusha Tuhuma za Rais Putin Kuwa Mgonjwa

KWENYE kipindi cha mahojiano alichofanya na Televisheni ya Ufaransa Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amekanusha tuhuma...

READ MORE

Marekani Kuipatia Ukraine Mfumo aa Makombora ya Masafa Marefu

SERIKALI ya Marekani ipo kwenye mpango wa kuipatia Ukraine mfumo wa kurusha roketi nyingi za masafa marefu unaojulikana kama M270...

READ MORE

Jino la Waziri Mkuu wa Kwanza wa Congo Kurudishwa Kutoka Ulaya

UBELGIJI itamrudishia rasmi Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi jino ambalo Kamishna wa Polisi wa Ubelgiji anadai...

READ MORE

Kansela wa Ujerumani Azomewa kwa Kushindwa Kutoa Msaada Nchini Ukraine

KANSELA wa Ujerumani Olaf Scholz amekutwa katika hali ya mshangao baada ya kuzomewa na wananchi wa mji wa Dusseldorf kutokana...

READ MORE

Victoria Foundation Yatoa Msaada wa Taulo za Kike, Mtwara na Lindi

Katika kuonyesha mwanamke anatimiza ndoto na kuwa kinara katika jamii bila kuwa na changamoto mbalimbali zitakazo mkatisha tamaa katika kufikia...

READ MORE

Biden Asaini Mswada wa Msaada wa Dola Bilioni 40 kwa Nchi ya Ukraine

RAIS wa Marekani Joe Biden amesaini mswada uliopitishwa na Bunge la Seneti la Marekani wenye thamani ya dola bilioni 40...

READ MORE

Kombora la Majeshi ya Urusi Lateketeza Kituo cha Kijeshi Nchini Ukraine

KITUO cha kijeshi cha Lviv nchini Ukraine kimeharibiwa vibaya na shambulio la kombora la Urusi, Gavana wa eneo hilo, Maksym...

READ MORE

Finland Yadai Haiogopi Vitisho Kutoka Urusi Kuhusu Kujiunga NATO

FINLAND imesema haiogopi vitisho vya Urusi na kudai kwamba kuungana kwao na Muungano wa Kijeshi wa NATO utaleta thamani kubwa,...

READ MORE

Rais wa Palestina Adai Kuipeleka Kesi ya Abu Akleh Mahakama ya ICC

RAIS wa Palestina Mahmoud Abbas amedai anafikiria kuipeleka kesi ya mauaji ya mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la...

READ MORE

Sweden Mbioni Kujiunga na Umoja wa NATO Licha ya Onyo Kali Kutoka Urusi

SWEDEN imethibitisha kuwa itawasilisha maombi ya kuwa mwanachama wa NATO katika mabadiliko makubwa ya kihistoria kutokana na uvamizi wa Urusi...

READ MORE

Rais wa Zimbabwe Mnangagwa Azindua Shamba la Bangi

EMMERSON Mnangagwa; ni Rais wa Zimbabwe ambaye amezindia shamba kubwa la bangi kwa ajili ya dawa lenye thamani ya Dola...

READ MORE

Urusi Yaikatia Umeme Finland, Ni Baada ya Kutangaza Kujiunga na NATO

FINLAND imethibitisha Urusi kuikatia huduma ya umeme, Kampuni ya usambazaji wa umeme nchini Finland ya Fingrid imethibitisha kuwa hakuna tena...

READ MORE

Watu 21 Waripotiwa Kufariki Korea Kaskazini Kutokana na Uviko-19

KOREA KASKAZINI imeripoti vifo vya watu 21 kutokana na tatizo la Uviko-19 ambalo limeingia nchini humo ikiwa ni siku ya...

READ MORE

Majeshi ya Israel Yashambulia Waombolezaji Kwenye Mazishi ya Shireen Abu Akleh

  MAZISHI yanafanyika leo ya mwandishi wa habari Shireen Abu Akleh aliyeuawa na majeshi ya Israel nchini Palestina katika kambi...

READ MORE

Baraza la Usalama Ukraine Lafanya Umafia, Lakamata Benki 2 za Urusi

MAMLAKA mjini Kiev nchini Ukraine imekamata mali za benki kuu mbili za Urusi nchini humo ambazo ni Sberbank na VEB.RF....

READ MORE

Twitter Yawatimua Kazi Mameneja Wawili Kupisha Utawala wa Elon Musk

TWITTER imewatimua kazi Mameneja wawili wa ngazi ya juu na kusitisha ajira ikiwa ni mpango wake wa mabadiliko chini ya...

READ MORE

Baada ya Vitisho vya Urusi, Hatimaye Finland Yatangaza Kujiunga NATO

RAIS wa Finland Sauli Niinisto ametangaza nchi yake kujiunga na Jumuiya ya Umoja wa kujihami wa Mataifa ya Magharibi (NATO),...

READ MORE

Mtanzania Auawa Kwa Kupigwa Risasi Nchini Marekani

MTANZANIA Rogers Kyaruzi mwenye umri wa miaka (30), aliyehamia Marekani akiwa mdogo, ametambulika kuwa ndiye aliyeuawa kwa kupigwa risasi na...

READ MORE

Taliban Yatoa Amri Wanawake wote wa Afghanistan Kuvaa Nikabu Uraiani

SERIKALI ya Taliban imepiga marufuku kwa wanawake nchini humo kutembea bila kuvaa Nikabu (Nguo maalumu ya kuficha uso) katika maeneo...

READ MORE

Korea Kaskazini Yafyatua Kombora Jingine, Lalipukia Nchini Japan

KOREA KASKAZINI imefyatua kombora jingine kutoka kwenye nyambizi ya kivita ambalo limesafiri na kutua nje kidogo ya eneo la kiuchumi...

READ MORE

Vikosi vya Marekani na Uingereza Vyafanya Mazoezi ya Pamoja Nchini Finland

VIKOSI vya majeshi ya Marekani, Uingereza, Latvia na Estonia vimefanya mazoezi ya pamoja Magharibi mwa nchi ya Finland.   Katibu...

READ MORE

EU Yaibua Mpango wa Kuizuia Urusi Kuuza Mafuta Barani Ulaya na Dunia kwa Ujumla

UMOJA wa Ulaya umeibuka na mpango wa kuiwekea vikwazo vingine nchi ya Urusi kuhakikisha inapigwa marufuku kuuza mafuta barani Ulaya...

READ MORE

Raia Nchini China Apelekwa Mochwari Akiwa Hai, Daktari wa Zamu Atimuliwa Kazi

RAIA mmoja katika Jiji la Shanghai nchini China amepelekwa mochwari kwa bahati mbaya akidhaniwa ni maiti kumbe bado yupo hai...

READ MORE

Mkulima Ukraine Aibiwa Trekta na Majeshi ya Urusi Linaloendeshwa kwa Rimoti

Majeshi ya Urusi katika mji unaoshikiliwa na majeshi hayo wa Melitopol yamegundulika kuiba Trekta la mkulima mmoja nchini Ukraine lenye...

READ MORE

Mbunge Anaswa Akitazama Video za Ngono Bungeni Nchini Uingereza

MBUNGE wa Jimbo la Tiverton na Honiton nchini Uingereza Neil Parish yupo chini ya uchunguzi kutokana na kitendo chake cha...

READ MORE

Putin, Zelensky na Biden Kukutana Uso kwa Uso Mkutano wa G20

RAIS mahasimu wanatarajiwa kukutana katika mkutano wa nchi 20 zenye uchumi mkubwa duniani G20 unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu....

READ MORE

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris Akutwa na Corona

MAKAMU wa Rais wa Marekani Kamala Harris amekutwa na Korona, taarifa imetolewa na Ikulu ya Marekani. Makamu huyo wa Rais...

READ MORE

Raia Nchini Urusi Ajiua Baada ya Kuua Mwalimu na Watoto wa Shule ya Awali

RAIA mmoja nchini Urusi anayefahamika kwa jina la Ruslan Akhtyamov mwenye umri wa miaka 26 amevamia shule moja ya wali...

READ MORE

Spiderman wa Nigeria Awa Gumzo kwa Kuzoa Taka Mitaani

KAMA wewe ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii, bila shaka utakuwa umeshakutana na video zinazomuonesha ‘Spiderman wa mchongo’ anayecheza Taarab...

READ MORE

Rais Samia Ampongeza Rais wa Ufaransa kwa Kushinda Uchaguzi kwa Awamu ya Pili

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempongeza rais wa Ufaransa Emmanuel Macron baada ya kushinda kwenye...

READ MORE

Biharusi Aliyewawekea Wageni Bangi Kwenye Chakula Akamatwa

DANYA SVOBODA ni bibi harusi ambaye yeye na mhudumu wake, Joycelyn Bryan wamekamatwa na Polisi huko Florida nchini Marekani baada...

READ MORE

Mwanafunzi wa Zambia Akamatwa Urusi kwa Kucheza Muziki Makaburini

WIZARA ya mambo ya nje ya Zambia, imethibitisha kuwa mwanafunzi wa Zambia anayesoma nchini Urusi amekamatwa Jumapili iliyopita kwa kucheza...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na CEO wa Woodrow Wilson, Marekani

RAIS Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais ambaye pia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Woodrow Wilson International Center...

READ MORE

Marekani Yaamua Liwalo na Liwe, Yaipatia Ukraine Msaada wa Ndege za Kivita

RIPOTI kutoka Ukraine zinasema taifa hilo limepokea ndege za kivita kutoka Marekani kwa ajili ya kujilinda katika uvamizi unaofanywa na...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Kiwanda cha SC Johnson Family cha Chicago Marekani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani amepata fursa...

READ MORE