×

Kimataifa

Aliyeokoa Watu 1,200 Akutwa na Hatia ya Ugaidi

SHUJAA wa “Hotel Rwanda” ameshindwa kufi ka katika Mahakama ya Kigali, Jumatatu huku waendesha mashtaka wa serikali wakitaka kumuongezea kifungo...

READ MORE

Matetemeko Mawili Yaua Watu 20 Afghanistan

MAOFISA Usalama nchini Afghanistan wamesema watu zaidi ya 20 wamefariki kufikia sasa baada ya matetemeko ya ardhi ya mfululizo kukumba...

READ MORE

Mwanaume Mweye Upara Akatwa Kichwa Wakiamini Kina Dhahabu

Polisi nchini Msumbiji wanasema kichwa cha mwanaume mmoja mwenye upara kimekatwa na kuondolewa na wahalifu waliotaka kukiuza kwa mteja wao...

READ MORE

Mfahamu Milionea Mtoto Anaetarajiwa Kustaafu na Miaka 15

Mtoto mmoja wa kike kutoka Australia anaelekea kustaafu akiwa milionea katika umri wa miaka 15 licha ya kuwa ni mwanafunzi...

READ MORE

Ripoti: Mabilonea Watajirika Zaidi Wakati wa COVID-19

Ripoti mpya ya Shirika la Oxfam inasema utajiri wa Mabilionea 10 wakubwa zaidi umeongezeka maradufu wakati wa CoronaVirus. Mapato ya...

READ MORE

Mfanyabiashara Amchinja Mwanae

Mfanyabiashara Mkubwa Jimbo la Zamfara nchini Nigeria amekamwatwa kwa kosa la kuua kwa kumchinja mtoto wa kiume wa miaka tisa....

READ MORE

Bibi Atamani Kuzaa Mtoto na ‘Mjukuu Wake’

Bibi Cheryl McGregor mwenye miaka 61, watoto 7 na wajukuu 17 anapanga kupata mtoto mwingine kwa njia mbadala ya kupandikiza...

READ MORE

Msemaji wa Serikali Anusurika Katika Shambulio la Bomu

Waziri Mkuu wa Somalia, Mohamed Hussein Roble amesema msemaji wa serikali ya nchi hiyo, Mohamed Ibrahim Moalimuu amejeruhiwa katika shambulio...

READ MORE

Mama Aua Wanaye Wawili

MWANAMKE mmoja mwenye umri wa miaka 26 ambaye ni Mama wa Watoto wawili amejiua kwa kujinyonga baada ya kuwaua kwa...

READ MORE

Breaking News: Rais Keita Afariki Dunia

Rais wa Mali aliyeondolea madarakani Ibrahim Boubacar Keita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Januari 17, 2022 akiwa na...

READ MORE

Seneta Mbaroni kwa Mauaji ya Rais

MAMLAKA nchini Jamaica imemkamata Seneta wa zamani wa Haiti Bw. John Joel Joseph kama mshukiwa namba moja wa mauaji ya...

READ MORE

Marekani, Japan Zatoa Tahadhari ya Kutokea Tsunami

JAPAN na Marekani zimewataka watu wanaoishi kwenye mwambao wa bahari ya Pasifiki kuhama na kwenda sehemu za miinuko, kutokana na...

READ MORE

Mtuhumiwa wa Mauaji Azidiwa Kizimbani, Jaji Aahirisha Kesi

Kesi ya mauaji inayomkabili Timothy Gitonga mwenye umri wa miaka 30, anayetuhumiwa kumuua bibi yake, Journes Kiringa mwenye umri wa...

READ MORE

Watu Wanne Wakamatwa kwa Kula Nyama za Watu

Polisi katika jimbo la Zamfaraaskazini-magharibi mwa Nigeria wamewakamata watu wanne wanaodaiwa kuhusika na ulaji nyama za watu na kuuza sehemu...

READ MORE

Zuhura Yunus Aondoka BBC Baada ya Miaka 14

Mtangazaji mashuhuri wa BBC Zuhura Yunus anaondoka katika shirika hilo baada ya kulitumikia kwa takriban miaka 14 .   Zuhura...

READ MORE

Agizo la Rais Biden Lazuiwa

Mahakama Kuu nchini Marekani imezuia uamuzi wa Utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden wa kutaka iwe ni lazima kwa...

READ MORE

Akamatwa kwa Kupanda Bangi Katika Ofisi ya Rais

POLISI nchini Afrika Kusini imeng’oa mimea kadhaa ya bangi iliyopandwa karibu na ofisi ya Rais Cyril Ramaphosa mjini Pretoria.  ...

READ MORE

Hatimaye Rais Aifungulia Twitter Nigeria

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amekubali kuruhusu mtandao wa Twitter kuendelea kutumiwa Nigeria baada ya kuzimwa kwa miezi saba tangu...

READ MORE

Mapacha Waoa Mapacha Wenzao

Wasanii maarufu ambao ni mapacha Tagwayen Asali na kaka yake Hausa kutoka Mji wa Kano Nigeria wame-make headline baada ya...

READ MORE

Aliyechoma Moto Bunge Apandishwa Kizimbani

MWANAUME kutoka Afrika Kusini aitwaye Zandile Mafe (49) amefikishwa Mahakamani akituhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo la ugaidi baada ya kukamatwa...

READ MORE

Mkenya Aliyefungwa Guantanamo Kuachiliwa Baada ya Miaka 15

Mkenya Mohammed Malik Bajabu na Guled Hassan Duran, raia wa Somalia, wanatazamiwa kuachiliwa kutoka katika gereza la Guantanamo Bay nchini...

READ MORE

Madaktari Wamshauri Rais Asitishe Chanjo

MADAKTARI 11 wamemwandikia barua ya wazi Rais wa Ghana, Nana Addo Dankwa Akufo-Addo kutoa mwongozo ikiwezekana kusitisha usambazaji wa chanjo...

READ MORE

Mwandishi Ashtakiwa kwa Kutuma Taarifa za Kashfa Dhidi ya Rais na Mwanae

Mwandishi wa Uganda anayetuhumiwa kutuma taarifa za kashfa kuhusu rais na mtoto wake wa kiume kwenye mtandao wa Twitter amefunguliwa...

READ MORE

Wanajeshi Washikiliwa kwa Njama ya Mapinduzi

Mamlaka nchini Burkina Faso imetangaza kukamatwa kwa wanajeshi wanane wanaotuhumiwa kupanga njama ya mapinduzi. Miongoni mwa waliokamatwa ni Kanali Mohamed...

READ MORE

Ndege Yanasa Kwenye Njia ya Treni

Rubani wa Ndege ndogo iliyopata ajali na kunasa kwenye njia ya Treni amenusurika kifo baada ya kuokolewa na Polisi wa...

READ MORE

Ajiua kwa Kujinyonga Nje ya Kanisa Ibada Ikiendelea

MWANANCHI mmoja wa kaunti ya Homa Bay amejinyonga kwa kitanzi hadi  kufa nje ya kanisa wakati ibada ikiendelea.   Joshua...

READ MORE

Dkt. Tulia Achukua Fomu ya Uspika

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson leo Jumatatu, Januari 10, 2022 amechukua fomu ya...

READ MORE

Baba Amuua Mwanaye Baada ya Kumkuta Kitandani na Mpenzi Wake

Polisi wa Kaunti ya Murang’a nchini Kenya wanamshikilia mwanaume mwenye umri wa miaka 41 kwa kosa la kumuua mtoto wake...

READ MORE

ECOWAS Yafunga Mipaka Mali

Mataifa ya Afrika Magharibi yamekubaliana kuiwekea Mali vikwazo vikali ikiwemo kufunga mipaka yao, kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na kuweka vikwazo...

READ MORE

ECOWAS Yafunga Mipaka na Mali

VIONGOZI wa Afrika Magharibi wameiwekea Mali vikwazo baada ya serikali ya kijeshi ya nchi hiyo kutangaza kuchelewesha kwa muda mrefu...

READ MORE

Zaidi ya Waandamanaji 5000 Wakamatwa

Zaidi ya watu 5,000 wamekamatwa nchini Kazakhstan kutokana na maandamano yaliyotikisa taifa hilo  la Asia ya kati wiki iliyopita taarifa...

READ MORE

Maafisa wa Polisi Wauawa kwa Kuviziwa

Maafisa wanne wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la kuvizia katika eneo la pwani linalopakana na Somalia. Shambulizi hilo...

READ MORE

Aweka Mabango Makubwa Kusaka Mke

  Mwanaume mmoja ambaye hajaoa anatumia mabango makubwa yenye ujumbe mwingi-ndani katika harakati zake za kupata mke. Muhammad Malik, 29,...

READ MORE

Barabara Ndefu Zaidi Duniani Chini ya Ziwa Yaanza Kufanya Kazi

IKIWA ni takriban miaka minne ya ujenzi, barabara ndefu zaidi ya chini ya maji nchini China, hatimaye barabara hiyo imeanza...

READ MORE

Rais Achafukwa, Aaamuru: Wauweni Bila Onyo

Rais wa Kazakhstan, Kassym-Jomart Tokayev amewaamuru Jeshi la Polisi na Wanajeshi wa nchi hiyo “kuua watu bila onyo” ili kukomesha...

READ MORE

Akamatwa Akimuuza Mtoto wa Miaka 10 Ili Anunue Pikipiki

Jeshi la Polisi nchini Liberia limemkamata na kumfungulia mashtaka mwanaume wa Sierra Leone mwenye umri wa miaka 29 kwa madai...

READ MORE

Ripoti ya Jaji Zondo Yammaliza Zuma

RIPOTI ya kursa 874 ya Tume iliyounda kuchunguza tuhuma za ufisadi wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma,...

READ MORE

Watu 11 Wafariki, Wanne Wapofuka kwa Kunywa Pombe ya Ndizi

WATU 11 wameripotiwa kufariki nchini Rwanda tangu sikukuu ya Krismasi baada ya kunywa pombe ya kienyeji inayotengezwa kutumia ndizi katika...

READ MORE

Wanne Watiwa Mbaroni kwa Kutaka Kumuibia Rais

HII nayo kali! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia jamaa wanne kukamatwa kwa njama ya kujaribu kumuibia Rais wa Kenya, Mhe....

READ MORE

Mrembo Anaekusanya Ushuzi na Kuuza, Yamkuta!

MREMBO Stephanie Matto (31) aliyejiajiri kwa kujamba, kuufunga ushuzi na kuuza kwenye chupa na majagi aamua kustaafu baada ya kukumbwa...

READ MORE