×

Kimataifa

Ubabe, Matusi Vyatawala Mdahalo wa Trump, Biden

ZIKIWA zimesalia siku 35 kuelekea  uchaguzi mkuu wa urais nchini Marekani utakaofanyika Novemba 3 mwaka huu, wagombea urais,  Donald John...

READ MORE

Afariki Gesti Baada ya Kuzini na Shemeji

POLISI jijini Nairobi nchini Kenya, wanafanya uchunguzi wa mwanamke mmoja aitwaye Jesca Sibwe mwenye umri wa miaka 42, ambaye amefariki...

READ MORE

Mkakati Kukifuta Chama cha Bobi Wine Watua Kortini

MWANASIASA wa upinzani nchini Uganda anayemtikisa Rais Yoweri Museveni amejikuta akipigania mchakato wa kuwa kwenye karatasi ya kura, baada ya...

READ MORE

Rais Asimamisha Mshahara wa Waziri

RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa,  ametoa onyo kali kwa waziri wake wa ulinzi, Nosiviwe Mapisa – Nqakula,  na kusimamisha...

READ MORE

Mshauri wa Papa Ajiuzulu, Kisa Kuwapa Ndugu Fedha ya Kanisa

KADINALI wa ngazi za juu Vatican, Giovanni Angelo Becciu, amejiuzulu ghafla bila kutarajiwa lakini imebainika kuwa aliambiwa na Papa Francis...

READ MORE

Panya wa TZ Apewa Nishani ya Dhahabu Uingereza

PANYA mkubwa kutoka Afrika amepewa nishani ya dhahabu kutokana na uwezo wake wa kubaini mabomu ya kutegwa ardhini.   Panya...

READ MORE

Mbunge Aliyenaswa Akifanya Ufusika na Mchepuko Bungeni Ajiuzulu

Mbunge wa Argentina, Juan Emilio Ameria amejiuzulu Ubunge ikiwa ni siku chache baada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge kutokana...

READ MORE

Afariki kwa Kula Pipi

MWANAMUME mmoja (54) ambaye ni mfanyakazi wa ujenzi nchini Marekani amefariki dunia baada ya kula pipi zilizotengenezwa kwa pombe maarufu...

READ MORE

Polisi Wapigwa Risasi Kwenye Maandamano

MAOFISA wawili wa polisi wamepigwa risasi huku maelfu ya watu wakiandamana katika mji wa Louisville nchini Marekani baada ya jopo...

READ MORE

Mpinzani Aliyenyweshwa Sumu Atoka Hospitali

KIONGOZI wa upinzani nchini Urusi, Alexei Navalny, ameonekana kwa mara ya kwanza hadharani baada ya kuruhusiwa kutoka hospitali ya mjini...

READ MORE

Mfahamu Mtu Mwenye Umri Mkubwa Zaidi Duniani Aliye Hai

KIKONGWE Kane Tanaka ndiye mwanamke anayetambuliwa kuwa na umri mkubwa zaidi duniani aliye hai. Hii ni kulingana na kitabu cha...

READ MORE

Botswana Kuanza Kutumia Lugha ya Kiswahili Shuleni

Serikali ya Botswana inakusudia kuanzisha matumizi ya lugha ya Kiswahili katika Shule za Msingi. Waziri wa Elimu ya Msingi, Fidelis...

READ MORE

Wanafunzi Wafariki Katika Mlipuko wa Lori la Mafuta

WATU wapatao 25 wamefariki nchini Nigeria baada ya lori kumshinda dereva  na kukosa uelekeo kisha kugonga magari mengine na tenki...

READ MORE

Mtoto Mbongo, Adaiwa Mil. 80 za Matibabu Kenya

HURUMA kwa mtoto huyu! Ndivyo unavyotakiwa kusema kutokana na bibi mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sada William, kujikuta katika wakati...

READ MORE

TV ya Zamani Yavuruga Internet Kijiji Kizima

KITENDAWILI cha kijiji kimoja kupoteza mawasiliano ya intaneti kila saa moja asubuhi kiliteguliwa baada ya wahandisi kugundua tatizo lilikuwa likisababishwa...

READ MORE

Bunge la Somalia Lamuidhinisha Waziri Mkuu Mpya

Bunge la Somalia, limemuidhinisha Mohamed Hussein Roble kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo baada ya wabunge wote 215 waliohudhuria...

READ MORE

Wakenya Ruksa Kushiriki Maziko ya Waliokufa kwa Corona

RAIA wa Kenya kuanzia sasa wameruhusiwa kushiriki katika shughuli za mazishi ya wapendwa wao waliofariki kutokana na virusi vya corona...

READ MORE

Wamarekani Zaidi ya 200,000 Wafariki kwa Corona

  IDADI  ya waliokufa kutokana na janga la virusi vya corona nchini Marekani imepindukia watu 200,000, ikiwa ni kwa mujibu...

READ MORE

Tajiri Mkosoaji wa Rais Jela Miaka 18

KORTI moja nchini China imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 18 jela kwa tajiri mmiliki wa majengo, Ren Zhiqiang, ambaye...

READ MORE

Jaji Mkuu Amshauri Kenyatta Kuvunja Bunge, Spika Agoma!

JAJI Mkuu wa Kenya, David Maraga, ameeleza kuwa atamshauri Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kuvunja bunge la nchi hiyo baada...

READ MORE

Mtoto Afariki Tumboni Baada ya Mume Kumkata Mkewe Tumbo

POLISI nchini India wanasema mwanamke mjamzito ambaye anadaiwa kukatwa tumbo na mume wake amezaa mtoto wa kiume aliyefariki akiwa tumboni....

READ MORE

10 Wafariki Ghorofa Likiporomoka

WATU zaidi ya kumi wanahofiwa kupoteza maisha, huku wengine zaidi ya 25 wakiwa wamefukiwa na kifusi, kufuatia kuporomoka kwa jengo...

READ MORE

Akamatwa kwa Kumzika Mjukuu Wake Akiwa Hai

POLISI katika Jimbo la Bauchi nchini Nigeria imemkamata mwanaume mwenye umri wa miaka 50 kwa madai ya kumzika mjukuu wake...

READ MORE

Facebook Yadaiwa Kuwafuatilia Watumiaji Instagram kwa Kamera za Simu

KAMPUNI  ya Facebook imeshitakiwa kwa tuhuma za kuwafuatilia watuamiaji wa Instagram kwa kutumia kamera za simu zao bila ridhaa ya...

READ MORE

Mchungaji Amuua Mkewe, Ammiminia Risasi 7!

MCHUNGAJI mmoja wa nchini Ghana, Sylvester Ofori (35),  ametiwa mbaroni nchini Marekani anakoishi baada ya kumuua mkewe, Barbara Tommey (27)....

READ MORE

Polisi Yachunguza Chanzo cha Moto Makerere University

POLISI nchini Uganda wanachunguza chanzo cha moto uliokiteketeza Chuo Kikuu maarufu, kikubwa na cha zamani zaidi nchini humo cha Makerere,...

READ MORE

Walichozungumza Marais Magufuli, Ndayishimiye Kigoma – Video

MARAIS John Pombe Magufuli wa Tanzania na Evariste Ndayishimiye wa Burundi wamesema ushirikiano baina ya mataifa hayo yanayounda Jumuiya ya...

READ MORE

China Yaitaka Marekani Kuheshimu Ushindani Kibiashara

CHINA  imeitaka Marekani kuheshimu misingi na kanuni za soko la kiuchumi na ushindani wenye usawa.   Hayo yameelezwa na wizara...

READ MORE

Sheria Mpya! Wabakaji Watoto Kuhasiwa Kizazi

GAVANA  wa Jimbo la askazini-magharibi mwa Nigeria la Kaduna, Nasir Ahmad el-Rufai, amesaini sheria inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na...

READ MORE

Barbados Kumuondoa Malkia Elizabeth Kama Mkuu wa Nchi

VISIWA wa Barbados vimetangaza nia yake ya kumuondoa Malkia Elizabeth kama kiongozi wa nchi hiyo na kuwa Jamuhuri.   ”Muda...

READ MORE

Wanasayansi Wagundua Uhai Sayari ya Venus

WAZO kwamba viumbe wanaoishi wanaelea katika mawingu ya sayari ya Venus ni uwezekano uliopo. Lakini hilo ni kwa mujibu wa...

READ MORE

Rais Aomba ‘Jerusalema’ ya KG Ichezwe Kwenye Sikukuu

  RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amewaomba raia wa nchi yake kusherehekea siku ya Urithi ya Mwaka huu (Heritage...

READ MORE

Bilionea Awanunulia Wanaye Magari ya Kifahari ‘Ferrari Portofino’

BILIONEA wa Nigeria amewazawadia watoto wake magari ya kifahari aina ya Ferrari Portofino. Hatua ya bilionea Femi Otedola kuwanunulia mabinti...

READ MORE

EU Yalaani Kunyongwa kwa Bondia Navid

UMOJA wa Ulaya (EU) umeungana na jamii ya kimataifa kulaani mauaji ya kikatili dhidi ya mwanamasumbwi wa Iran, Navid Afkari....

READ MORE

Mtanzania Akamatwa na Dawa za Kulevya China

Polisi wa Macau China wamemkamata Mtanzania waliemtaja kwa jina moja tu la Dossa mwenye umri wa miaka 39 kwa tuhuma...

READ MORE

Watanzania Kuingia Kenya Bila Kuwekwa Karantini

SERIKALI ya Kenya imetoa orodha ya nchi 147 ambazo raia wake wataruhusiwa kuingia nchini humo bila kukaa karantini ambapo kwenye...

READ MORE

Anaswa na Kichwa cha Mtoto Mbele ya Bunge

POLISI nchini Uganda wametibitisha kuwa kichwa cha mtoto kilichokatwa, kilichopatikana katika kikapu cha mwanamme aliyekamatwa kwenye lango la bunge nchini...

READ MORE

Trump Aapa Kulipiza ‘Mara 1,000’ Shambulio la Iran

  RAIS wa Marekani, Donald Trump, ameapa kwamba shambulio lolote litakalofanywa na Iran litajibiwa mara 1,000 kwa ukubwa, baada ya...

READ MORE

TikTok Yaikataa Microsoft, Yaungana na Oracle

  WASHINGTON: Kampuni ya Marekani ya Oracle imeikataa Kampuni ya Microsoft na kuingia makubaliano ya ushirikiano wa kibiashara (Business Partner)...

READ MORE

Kisa Lockdown, Mgahawa Unaofanana na Ndege Watengenezwa

WAKATI nchi nyingine zikiwa chini ya lock-down kupisha janga la homa inayoambukizwa na virusi vya corona — Covid-19 —  nchini...

READ MORE