×

Kimataifa

Tanzia: Rais Pascal Lissouba Afariki Dunia

RAIS  wa zamani wa Congo/Brazaville Pascal Lissouba, amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 88, chama chake kimeliambia...

READ MORE

Mshauri White House Ajiuzulu

MSHAURIwa Ikulu ya Marekani, Kellyanne Conway, ametangaza kujizulu nafasi hiyo akisema ataacha rasmi kazi mwishoni mwa mwezi huu.   Katika...

READ MORE

Mnangagwa Aruhusu Wajawazito Kuendelea na Masomo

RAIS wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, amesaini sheria inayozuia shule za serikali kuwatenga wasichana ambao ni wajawazito kuhudhuria masomo.   Chini...

READ MORE

Maelfu Waandamana Kumtaka Lukashenko Aachie Madaraka

KIONGOZI wa upinzani nchini Belarus, Svetlana Tikhanovskaya, amewataka waandamanaji wanaodai demokrasia kuendelea na juhudi hizo, akisema Rais Alexander Lukashenko hana...

READ MORE

Mali: Jeshi Lataka Serikali ya Mpito Miaka 3

JUMUIYA ya Kiuchumi ya nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) na kundi la wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini Mali wamekubaliana kufunga...

READ MORE

Baba Auawa Baada ya Kubaka Maiti ya Mwanawe

AMA kweli duniani kuna mambo! Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 45, ameuawa kutokana na kipigo alichokipata kutoka...

READ MORE

Dada wa Trump Asema Kaka yake ‘Alifanyiwa Mtihani’

DADA wa Rais wa Marekani, Donald Trump,  ambaye pia ni jaji wa zamani nchini humo, Bi. Maryanne Trump Barry,  amesema...

READ MORE

Baada ya Kunyweshwa Sumu, Kiongozi wa Upinzani Urusi Awasili Ujerumani Kutibiwa

MSEMAJI wa kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny amesema leo kuwa mwanasiasa huyo ameondolewa kutoka hospitali aliyokuwa anatibiwa katika...

READ MORE

Madaktari Wafanya Mgomo Nairobi

ZAIDI ya madaktari 300 wanaofanya kazi katika hospitali za umma katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, wameanza mgomo wakishinikiza malipo...

READ MORE

Watanzania Kuendelea Kuwekwa Karantini Kenya

MAMLAKA nchini Kenya zimetoa orodha mpya ya raia wa nchi 130 ambao wataruhusiwa kuingia nchini humo bila kukaa karantini.  ...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Anyweshwa Sumu Kwenye Chai

MSEMAJI  wa chama cha upinzani nchini Urusi kiitwacho Russia of the Future, ameeleza kuwa kiongozi wa chama hicho ambaye pia...

READ MORE

Baada ya Kumpindua Rais, Jeshi la Mali Latangaza Serikali ya Mpito

VIKOSI nchini Mali vimemuondoa madarakani rais Ibrahim Boubacar Keïta na kutangaza azma yao ya kuunda serikali ya mpito kabla ya...

READ MORE

Waliofariki kwa Covid-19 Kenya Wafikia 487

KENYA imetangaza watu wanne zaidi kufariki kutokana na CoronaVirus na kufanya idadi ya vifo kufikia 487. Aidha, watu 271 wamethibitishwa...

READ MORE

Biden Ateuliwa Rasmi Democratic Kugombea Urais

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa kitaifa wa Chama cha Democratic nchini Marekani wamemteua rasmi Joe Biden kuwa mgombea urais kwa...

READ MORE

Kenya: Mama Amzika Mtoto wa Siku 1, Kisa Kuchepuka

MWANAMKE mmoja nchini Kenya anatuhumiwa kumuua na kumzika mtoto wa siku moja baada kulaumiana na mume wake juu ya kupata...

READ MORE

Wanahabari Washiriki Maandamano Kumpinga Rais

WAFANYAKAZI wa Shirika la Habari la Belarus wameacha majukumu yao na kujiunga na maelfu wa waandamanaji kutaka Rais wa nchi...

READ MORE

Fahamu Eneo Lenye Jina Refu Zaidi Duniani

  Taumatawhakatangihangakoauauotamateaturipukakapikimaungahoronukupokaiwhenuakitanatahu ni jina la muinuko ulioko Porangahau, New Zealand.   Jina hilo likiandikwa kwa urefu linakuwa na alama ‘Characters’...

READ MORE

Rais wa Mali Ajiuzulu Baada ya Kushikiliwa na Jeshi – Video

RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Keïta,  amejiuzulu muda mfupi baada ya kuwekwa kizuizini na jeshi la nchi hiyo. Akilihutubia taifa...

READ MORE

Michelle Obama Amshambulia Rais Trump

VITA ya maneno kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Marekani Novemba 2020, sasa imebebwa na Michelle Obama, mke wa Rais mstaafu wa...

READ MORE

Kenyatta Ataka Mawaziri Kuchukua Likizo ya Lazima

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya amewataka mawaziri wote pamoja na makatibu katika wizara kuchukua likizo ya mapumziko ya lazima huku...

READ MORE

Binti wa Rais Putin wa Urusi Amepewa Chanjo ya Corona

Urusi imeanza uzalishaji wa chanjo mpya ya ugonjwa COVID-19, taarifa hiyo ni kwa mujibu wa Shirika la habari la Interfax,...

READ MORE

Ndege ye Jeshi la Marekani Yaangushwa na Watu Wasiojulikana

SHIRIKA la Ujasusi la Marekani limeanzisha uchunguzi baada ya helikopta ya kijeshi kupigwa risasi ilipokuwa inafanya mazoezi ya kawaida katika...

READ MORE

Kijana wa Miaka 19 Ajitosa Kugombea Urais

MIEZI  kadhaa kuelekea uchaguzi mkuu wa Uganda utakaofanyika mwaka 2021, kijana mwenye umri wa miaka 19 amejitokeza na kuchukua fomu...

READ MORE

Kamala Anavyoweza Kumuinua, Kumdidimiza Biden

NI  wazi kwamba sasa  chama cha Democratic hakina muonekano wa Joe Biden. Ni chama kinachoashiria ujana na kujumuisha jamii tofauti-tofauti....

READ MORE

Miaka 30 kwa Kujaribu Kumuua Rais Mpya wa Burundi

Mahakama nchini Burundi imewahukumu wanaume wawili na mwanamke mmoja kifungo cha miaka 30 jela kwa kutaka kumuua Rais wa nchi...

READ MORE

Marekani: Biden Amteua Kamala Mgombea-Mwenza

JOE BIDEN ambaye anayegombea urais wa Marekani kupitia Chama cha Democrat amemteua Kamala Harris kuwa mgombea-mwenza katika uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Mwanamuziki Kunyongwa kwa Kumkufuru Mtume

MWANAMUZIKI anayetambulika kwa jina la Yahaya Sharif-Aminu, mwenye umri wa miaka 22, kutoka  Jimbo la Kaskazini mwa Nigeria la Kano...

READ MORE

Mapacha 3 Wafunga Ndoa na Mapacha Wenzao 3

MAPACHA hao waliandaa sherehe ya harusi katika jimbo la Enugu Nigeria. Sherehe hiyo ya faragha ilhudhuriwa na waalikwa pekee. Picha...

READ MORE

Marekani: Apigwa Risasi Nje ya Ikulu, Trump Aondolewa

RAIS wa Marekani, Donald Trump, ghafla amelazimika kuondolewa na maofisa wanaolinda usalama wake kutoka kwenye chumba alimokuwa akiwahutubia waandishi wa...

READ MORE

Mlipuko Beirut: Waziri Mkuu Lebanon Ajiuzulu

WAZIRI mkuu wa Lebanon, Hassan Diab, ametangaza kujiuzulu kufuatia mlipuko wa wiki iliyopita mjini Beirut. Kwenye taarifa yake fupi kupitia...

READ MORE

Shambulio Niger: Watu 8 Wakiwemo Raia 6 wa Ufaransa Wauawa

Watu 8 wamefariki dunia baada ya kusambuliwa kwa risasi katika hifadhi ya twiga katika Mkoa wa Koure. Waliopoteza maisha ni...

READ MORE

Moto Wateketeza Hifadhi ya Wanyama

Mamlaka ya Kenya imetuma jeshi kusaidia zima moto katika kupambana na moto mkubwa ulioibuka katika hifadhi kubwa ya wanyama pori...

READ MORE

Hong Kong: Mmiliki wa Gazeti Linalokosoa Serikali Mbaroni

Jimmy Lai ni moja wapo ya viongozi wakuu wanaharakati wanaounga mkono demokrasia huko Hong Kong. Amekamatwa leo Jumatatu Agosti 10...

READ MORE

Mlipuko wa Beirut: Mawaziri 3, Wabunge 9 Wajiuzulu

WAZIRI wa Habari, Manal Abdel Samad na Waziri wa Mazingira, Damianos Kattar, wamejiuzulu kufuatia mlipuko wa Agosti 04, 2020,  uliosababisha...

READ MORE

Meli Iliyobeba Ammonium Nitrate Ilifikaje Beirut?

SERIKALI ya Lebanon imesema kuwa mlipuko mkubwa ulioharibu  maeneo kadhaa ya mji wa Beirut umesababishwa na tani 2,750 za kemikali...

READ MORE

Ndege ya India Yaanguka, Yaua Watu 18

NDEGE ya abiria ya Shirika la Air India aina ya Boeing 737 iliyokuwa na watu 190 imeanguka katika uwanja wa...

READ MORE

Vyama vya Upinzani Vyagombania Rangi Nyekundu

VYAMA viwili vya upinzani nchini Uganda vimeingia katika mzozo juu ya haki ya kutumia rangi nyekundu huku kila chama kikidai...

READ MORE

Maambukizi Virusi vya Corona Afrika Yafikia Milioni 1

ZAIDI ya watu milioni moja wameambukizwa virusi vya Corona barani Afrika.   Kwa mujibu wa takwimu za shirika la habari...

READ MORE

Kisa Barakoa; Wananchi Waadhibiwa Usiku Uwanjani

BAADHI ya wananchi wa Rwanda wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kupewa adhabu ya kukaa saa kadhaa na kusikiliza hotuba,...

READ MORE

Mrembo Afariki Akipiga Picha Kwenye Maporomoko

MWILI wa mrembo Jemima Oresha aliyetumbukia katika maporomoko ya Thompson Falls Nyahururu nchini Kenya, umeopolewa juzi Jumatano, Agosti 5, 2020...

READ MORE