×

Kitaifa

Spika Ndugai, Mbunge Mwambe Washtakiwa Mahakama Kuu

WAKILI wa Mahakama Kuu ya Tanzania amefungua kesi ya kikatiba dhidi ya Spika wa Bunge Job Ndugai (MB) na aliyekuwa...

READ MORE

Arusha: Madereva 21 wa Kenya Wakutwa na Corona Namanga

  MKUUwa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amesema kufuatia ongezeko la visa vya #COVID19 mipakani, mkoa huo umeanzisha utaratibu wa...

READ MORE

Madereva 19 wa Tz Wakutwa na Corona Kenya, Tz Yasema Hawana

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amesema ili kujiridhisha na majibu ya madereva wa Tanzania waliokutwa na #COVID19 kwa...

READ MORE

Msigwa Amuomba Radhi Kinana Kumtuhumu kwa Ujangili

MBUNGE wa Iringa Mjini, Peter Msigwa,  amemwomba radhi Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kutokana na...

READ MORE

Waziri Mkuu Awasimamisha Kazi Watumishi Watatu TEMESA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika...

READ MORE

Bunge Lapitisha Sheria: Wasambazaji Sukari Kusajiliwa

BUNGE limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria ya tasnia ya sukari, kwamba wasambazaji wa bidhaa hiyo ni miongoni mwa watu...

READ MORE

Kichanga Chakutwa Kikielea Juu ya Maji

KAGERA: Kichanga cha kiume ambacho kilikuwa hakijafikisha umri wa kuzaliwa, kimekutwa kikielea kwenye maji katika Mto Kanoni uliopo Manispaa ya...

READ MORE

Lijualikali (Chadema) Aangua kilio Bungeni Akiomba Kuhamia CCM

MBUNGE wa Kilombero, Peter Lijualikali kupitia Chadema, amemwaga chozi ndani ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma wakati akitangaza kujiondoa Chadema...

READ MORE

Ndugai: Mbowe Anajipima Ubavu na Mkuu wa Nchi… Arudishe Mil. 2

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemtaka Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kurejesha Tsh milioni mbili alizopewa na Bunge ili...

READ MORE

Watoto 2 Wanusurika Kufa Shangazi yao Akiwachoma Moto

KATIKA hali ya kusikitisha, watoto wawili wanaosoma darasa la kwanza Shule ya Msingi Mwanzumbi wilayani Igunga mkoani Tabora (majina yao...

READ MORE

WHO Wamfuata Rais Magufuli

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema dawa inayopulizwa mitaani katika baadhi ya nchi kama lengo la kuua virusi vya corona...

READ MORE

Mganga Mkuu wa Serikali Akanusha 92 Kufa kwa Corona Moro

SERIKALI imekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii zinazosema kuwa watu 92 wamekufa mkoani kwa corona katika kipindi...

READ MORE

Mtoto wa Magufuli Apata Corona; ‘Alijifungia Chumbani’ – Video

RAIS John Magufuli amesema kuwa mwanaye wa kuzaa alipata maambukizi ya virusi vya corona lakini alijitibu kwa kujifukiza na kutumia...

READ MORE

Tecno Camon 15 Yawashangaza Wengi

Ikiwa ni takriban mwezi mmoja umepita tangu kampuni ya simu za mkononi ya TECNO kuzindua simu yake mpya CAMON 15...

READ MORE

Rais Magufuli Afiwa na Dada Yake

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshima za mwisho msibani katika mtaa...

READ MORE

Corona: Tanzania na Rwanda Zafikia Makubaliano Mpaka wa Rusumo

TANZANIA na Rwanda zimefikia makubaliano juu ya mpango mkakati wa kusafirisha mizigo baina ya nchi hizo mbili katika kipindi hiki...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kumwingilia Mjukuu wa Miaka 5

MWANAUME mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka...

READ MORE

Vifo Corona Marekani Sasa 88,507, Trump Alilia Chanjo Ipatikane

RAIS wa Marekani, Donald Trump,  amesema serikali yake itawekeza kwa makampuni yote makubwa yanayofanya jitihada za kutafuta chanjo ya virusi...

READ MORE

Amuua Mama Yake kwa Shoka, Anywa Damu Yake – Video

POLISI mkoani Arusha, linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake mzazi...

READ MORE

Madai Fumanizi! Mwalimu wa Kike Ajinyonga Nyumbani kwa Mwal. Mkuu

MWALIMU wa kike katika shule Moja ya Msingi iliyopo Tarafa ya Mgeta Wilaya ya Mvomero Mkoa Morogoro, amezua gumzo baada...

READ MORE

RC Mghwira Apona Covid-19, Asimulia Ilivyokuwa – Video

MKUUwa Mkoa wa Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwir,a ameanza kazi rasmi leo Mai 16, 2020 , ikiwa ni siku mbili tu...

READ MORE

Watanzania Waliokwama India Watua Bongo

UBALOZI  wa Tanzania nchini India, kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [Air Tanzania] pamoja na diaspora wa Tanzania...

READ MORE

Hotuba ya Bajeti Wizara ya Fedha na Mipango Mwaka 2020/21

MAELEZO YA MHESHIMIWA DKT. PHILIP I. MPANGO (MB.), WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO WAKATI AKIWASILISHA BUNGENI HOTUBA YA MAKADIRIO YA...

READ MORE

TFF Wahojiwa na TAKUKURU Fedha za Rais Magufuli

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kuzirejesha...

READ MORE

Serikali: Idadi Wagonjwa #Covid-19 Tanzania Yapungua – Video

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata...

READ MORE

Hadharani: Shigongo Alivyomsema Rais Magufuli Kijasiri Marekani

MKURUGENZI Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo amempongeza Rais Dk John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kipekee...

READ MORE

Wabunge CHADEMA Watangaza Kurudi Bungeni Leo

Wabunge wote wa CHADEMA ambao wamehitimisha siku 14 za kujitenga kwa kukaa nyumbani na kutohudhuria shughuli za Bunge, vikiwemo vikao...

READ MORE

Aiba Sare za Baba Mkwe Wake, Atinga Nazo Mtaani, Anaswa!

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kinyozi wa Arusha, anayedaiwa kuiba na kuvaa sare za Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)...

READ MORE

Msako Mkali! Polisi Dodoma Yakamata Magari 6 Ya Wizi

  Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linayashikilia magari sita yanayodhaniwa kuwa ya wizi. Akizungumza na Waandishi wa habari leo Mei,14,2020...

READ MORE

Serikali Yaridhishwa na Utendaji wa ‘Bodi ya Mrema’

  SERIKALI imeridhishwa na kiwango cha kazi zinazofanywa na Bodi ya Taifa ya Parole pamoja na Bodi za Parole mikoa...

READ MORE

Majaliwa Akagua Ujenzi Reli ya Kisasa (SGR) – Video

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo...

READ MORE

CHADEMA Yaanika Sababu Mbowe Kuitwa Polisi

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kupitia kwa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini...

READ MORE

Rais Magufuli Agawa Pikipiki 12 kwa Maofisa Tarafa

  RAIS John Magufuli ametoa pikipiki 12 kwa maafisa tarafa mkoani Rukwa ili ziweze kuwasaidia kutekeleza majukumu yao ya kiserikali...

READ MORE

SHEHENA ya SUKARI Yatua Arumeru, Sasa Mambo Safi! – Video

Hatimae Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro amefanikisha upatikanaji wa sukari tani 23 sawa na mifuko 580 kwa awamu...

READ MORE

Prof. Kabudi Atoa Sababu Tanzania Kutohudhuria Mikutano ya SADC, EAC

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ametoa sababu za Tanzania kutoshiriki kwenye...

READ MORE

Kamanda Mambosasa Atembelea Vituo Vya Polisi, Atoa Maagizo

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP-Lazaro Mambosasa amefanya ukaguzi wa vituo vya Polisi ili kuona namna...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Mradi wa Kuzalisha Umeme Wa JNHPP

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha Megawati 2,115...

READ MORE

Katavi: Mbaroni kwa Kumchinja Baba Yao Ili Wapate Urithi

JESHI la Polisi linawashikilia watu wanne, watatu wa familia moja kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata na kitu chenye ncha...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Uganda Wafika 139

Taarifa ya Wizara ya afya nchini uganda kwa vyombo vya habari inaashiria maambukizi mapya 13 ya kirusi cha Corona na...

READ MORE