×

Kitaifa

Matokeo NECTA 2019: DC Kinondoni Awafanyia Kitu Walimu

    MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo, jana amewapongeza walimu, waratibu elimu na maofisa elimu wa Manispaa ya...

READ MORE

Wananchi Wabuni Mbinu Mpya ya Kusajili Laini

DAR: WAKATI zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya kumalizika kwa muda wa kusajili laini za simu kwa alama za vidole,...

READ MORE

Baba Ampa Ujauzito Mke na Mtoto Wake

KATIKA hali isiyo ya kawaida, Deus Richard (40), Mkazi wa Kijiji cha Milala Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi...

READ MORE

Denti la Sita Abakwa Akitoka Saluni

MARA: Denti wa darasa la sita katika shule moja ya msingi iliyopo Kata ya Ring’wani Tarafa ya Ikorongo wilayani Serengeti,...

READ MORE

Dkt Bashiru: CCM Tukishindwa Tukubali – Video

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amevitaka vyama vya upinzani nchini kujiandaa mapema kukubali kushindwa kama...

READ MORE

Baba Amuua Mwanaye kwa Kumchoma Moto

POLISI  mkoani Kagera inamshikilia Juma Daniel, mkazi wa Kijiji cha Kazingati kata ya Keza wilayani Ngara, kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

Hakiki Laini Yako ya Simu Hapa Kama Imesajiliwa kwa Alama za Vidole

ZIKIWA zimebaki siku tatu laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kufungiwa, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaagiza Watanzania...

READ MORE

Benki ya I & M Yachangia Madawati 100 Shule Ya Mrisho Gambo

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako pamoja na balozi wa China hapa nchini,WANG  Ke leo wameshiriki uwekaji...

READ MORE

Azania Yamwaga Sabuni za Bure Mtaani, Wananchi Wagombania

KOMESHA kabisa uchafu wa nguo na kila kitu nyumbani kwako! Hiyo ndiyo sababu iliyofanya Makampuni ya Azania Group, watengenezaji wa...

READ MORE

Maajabu: Mtoto Atapika Mawe, Familia Yapigwa na Vitu Visivyoonekana

FAMILIA ya Bi. Laurastika Kweka wa Kata ya Bondeni, Mtaa wa Kilimambogo, Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, inaomba  msaada wa maombi...

READ MORE

Polisi Afukuzwa Kazi kwa Kusababisha Kifo

POLISI  Zanzibar imemfuta kazi Askari wake Hussein Yahya Rashid (36) baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusababisha kifo cha...

READ MORE

Zitto Apigwa ‘Stop’ Kigoma

POLISI mkoani Kigoma imezuia mkutano wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo,...

READ MORE

Mwanafunzi: Sina Akili, Sitaki Shule, Bora Nifungwe Jela

MWANAFUNZI mwenye umri wa miaka 15 (jina tunalihifadhi) aliyefaulu kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza kwa wastani C katika...

READ MORE

Wanafunzi Waliofanya Mtihani Gerezani kwa Tuhuma za Mauaji Watusua

WANAFUNZI sita waliofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne gerezani ambao ni kati ya watuhumiwa 8 wanaoshitakiwa kwa mauaji ya...

READ MORE

Rugemarila Mgonjwa, Ashindwa Kufika Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Alhamisi, Januari 16, 2020, imemuamuru Mfanyabiashara, James Rugemarila kufika mahakamani akiwa na vithibitisho vya...

READ MORE

Naibu Waziri Amtumbua Mganga Mbeya

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Phaustine Ndugulile ameagiza kuwekwa ndani na kutolewa katika...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM Ang´oa Madiwani 8 wa CUF Tanga

ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Mkoani Tanga, imezoea upinzani ambapo madiwani Nane wa...

READ MORE

Daktari Aua kwa Nyundo

MWANAUME mmoja ambaye ni daktari wa Chama cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) kambi ya wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo anashikiliwa...

READ MORE

Mbowe Amshangaa Selasini Kujiuzulu Chadema

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amesikitishwa na...

READ MORE

Breaking News: Mbunge wa Newala Vijijini Afariki Gesti

MBUNGE  wa Newala Vijijini (CCM), Rashidi Ajali Ahkbar,  amefariki dunia leo Januari 15, 2020,  katika Gesti ya Mingoyo iliyopo eneo...

READ MORE

Nyoka wa Maonyesho Aua Mtu Katavi

JAMES PASCHAL, mkazi wa Mtaa wa Kilimani Kata ya Nsemulwa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, ambaye ni mtaalam wa sanaa...

READ MORE

Mahakama Kisutu Yatoa Dhamana kwa ‘Video Conferencing’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu  jana Januari 14, 2020,  kwa mara ya kwanza ilitoa dhamana kwa mahabusu Abubakari Seguni aliyekuwa...

READ MORE

Walimu, Wanafunzi Wamiminika kwa Mwanafunzi Aliyepata One ya 7

WALIMU na wanafunzi wa Shule ya Sekondari- Igaganulwa (shule ya kata) iliyopo Bariadi vijijini -Mkoani Simiyu wampongeza Kijana Yohana Lameck...

READ MORE

Hali ya Kabendera Mahakamani, Kilichoendelea

UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera, umeielezea Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Polisi Yakanusha Kuwapiga Waandamanaji

Polisi nchini Iran katika mji mkuu Tehran, wamekanusha kutumia silaha dhidi ya waandamanaji walioghadhabishwa na kudunguliwa kwa ndege ya Ukraine....

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Mabalozi Wanne – Video

  RAIS  John  Magufuli, leo Jumanne, Januari 14, 2020, amewaapisha mabalozi wanne  watakaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Afrika Kusini, Namibia,...

READ MORE

Mapinduzi Yakoleza Mpambano wa Urais 2020

DAR: Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiadhimisha miaka 56 ya mapinduzi visiwani humo, imebainika kuwa, joto la urais...

READ MORE

Mume Adaiwa Kumuua Mkewe kwa Kumchinja Kama Kuku

MARA: Wimbi la mauaji ya wanawake yanayofanywa na waume zao waliowapenda kwa dhati na kuahidi kuishi nao kwa shida na...

READ MORE

Mbunge Selasini (Chadema) Ajiuzulu

Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini amejiuzulu wadhifa wa Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kutokana na kutotambulishwa rasmi...

READ MORE

Maalim Seif Aitwa Polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar limemtaka Mshauri mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Mahakama Ikamilishe Miundombinu – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa uongozi wa Mahakama nchini uhakikishe unakamilisha ujenzi wa miundombinu ya Mahakama ili kuwapunguzia...

READ MORE

Meya Dar Akubali Yaishe, Afuta Kesi Mahakamani – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kwa gharama kesi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  ya...

READ MORE

Breaking: Ajali ya Basi, Gari Dogo, Pikipiki Yaua Wawili Shinyanga

WATU wawili wamefariki dunia na wengine saba wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea mapema leo Jumatatu, Januari 13, 2020, asubuhi mkoani Shinyanga, ikihusisha...

READ MORE

Meya Dar Akuta Tukio Kwenye Mlango wa Ofisi Yake

IKIWA zimepita siku kadhaa baada ya Baraza Kuu la Madiwani Dar es Salaam kufanya mkutano na kumvua wadhifa wake, Meya...

READ MORE

Familia ya Kifalme Kumweka ‘Kati’ Prince Harry, Meghan

MALKIA wa Uingereza ameitisha mkutano na wanafamilia wa ngazi za juu wa kifalme leo Jumatatu, 13, 2020, katika eneo la...

READ MORE

Mwanafunzi wa Div 1 ya 7 Aliyefariki Akitoka Kutazama Matokeo Azikwa

MWANAFUNZI Honest Mulokozi Juventus aliyefariki dunia wakati akitoka kutazama matokeo yake ya kidato cha pili, amezikwa kijijini kwao Wilaya ya Karagwe Jimbo...

READ MORE

Kibiti: Mtoto Auawa, Achunwa Ngozi, Akatwa Nyeti

MTOTO Hassan Muba mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa Kibiti, mkoani Pwani, anadaiwa kuuawa kisha kuchunwa ngozi usoni na...

READ MORE

Lukuvi Aonya: ‘Msiijaribu Serikali’ – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  William Lukuvi, amewaonya wananchi wanaojenga mijini bila kufuata utaratibu.   Ametoa onyo...

READ MORE

Iran Waandamana Baada ya Serikali Kukiri Kutungua Ndege ya Ukraine

MUDA mfupi baada ya Serikali ya Iran kukiri kuitungua ndege kwa bahati mbaya, kundi la waandamanaji nchini humo limejitokeza kutaka...

READ MORE

Mogella, Mayay Wazindua Duka Jipya la Vifaa vya Michezo la GSM Liitwalo ANTA

  WAKONGWE wa soka nchini, Zamoyoni Mogella na Ally Mayay, Mwisho mwa wiki walizindua rasmi duka la kimataifa la vifaa...

READ MORE