Mwanadada aitwaye, Halima Juma Ally (23) mkazi wa Chalinze Mkoa wa Pwani, amepandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya...
READ MOREMAHAKAMA ya Kisutu imesisitiza kuwa inamtaka mahakamani aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uchochezi. ...
READ MOREWANAUME visiwani Zanzibar wanadaiwa kutoa talaka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi (SMs), kitendo kinachotafsiriwa kuwa ni...
READ MOREKIKUNDI cha vijana wanaojiita ‘Watoto wa ibilisi’ limekuwa tishio kwa maisha ya watu na mali zao baada ya kudaiwa...
READ MOREKAMPUNI ya.Mafuta ya Puma Tanzania ambayo ni namba moja katika biashara ya mafuta imeng’ara kwa kujinyakulia tuzo nne katika...
READ MOREMGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amechaguliwa tena katika nafasi hiyo...
READ MOREKAMPENI ya MastaBoda inayoendeshwa na Benki ya NMB kwa ajili ya kuwaunganisha waendesha Bodaboda katika mfumo wa kibenki wa kupokea...
READ MOREWATANZANIA hususan wapenzi wa filamu nchini sasa watanufaika na huduma ya ‘T-Burudani’ toka TTCL itakayomwezesha mteja kupakua, kuhifadhi pamoja...
READ MORECHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimezindua mfumo wake mpya wa Kidigitali wa uendeshaji wa Chama hicho ambapo kitakuwa...
READ MORERAIS wa Tanzania, John Magufuli amewataka wananchi kujihadhari kujenga nyumba kwenye maeneo ambayo kuna mkondo wa maji. Mkuu huyo...
READ MOREMBUNGE wa zamani wa Jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameuhutubia mkutano mkuu wa chama hicho unaoendelea katika...
READ MOREKESI ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari, Erick Kabendera, imepigwa kalenda hadi Januari 2, 2020, itakaposikilizwa tena, ambapo upande...
READ MOREWATU 15 wamenusurika kifo baada ya breki za basi la abiria la kampuni ya Harambee kushindwa kufanya kazi na...
READ MOREVIONGOZI sita wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – UDSM, (DARUSO), akiwemo rais wao,...
READ MOREIkiwa ni Jumatano, ya Desemba 18, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Kariakoo na...
READ MOREWAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, amesema Serikali imesikitishwa mno na tamko la Serikali ya Wanafunzi...
READ MORESERIKALI imesema itaandelea kufanya oparesheni ya uhujumu uchumi ili kudhibiti utengenezaji na upatikanaji wa fedha bandia katika maeneno mengi nchini...
READ MOREBENKI ya NMB imeahidi kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha inasaidia harakati za Serikali kukuza Utalii nchini, ili kuinyanyua...
READ MOREMKURUGENZI wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuipa saa mbili...
READ MOREBENKI ya Biashara ya DCB imezihamasisha familia kujenga tabia ya kushikiri mazoezi ya viungo ili kuweza kuwa na...
READ MOREMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Mandeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema amekuwa akishangazwa na watu wanaoohoji kwanini chama hicho...
READ MOREMamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) nchini Tanzania imetoa tahadhari ya upungufu wa huduma...
READ MOREINASIKITISHA SANA! Vuta picha kama mzazi, umekwenda kwenye mihangaiko yako, unarudi unaambiwa watoto wako wanne wamefariki dunia ghafla, hakika...
READ MORESHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia kampuni yake tanzu ya T-PESA imeingia makubaliano ya kibiashara na HaloPesa, ambapo...
READ MOREBenki ya NMB imepokea kibali cha ithibati kuwa mwajiri aliyeidhinishwa na Chama cha Wahasibu cha Kimataifa Association of Chartered Certified...
READ MOREKAMATI ya Uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo Jumatatu, Desemba 16, 2019, imetangaza majina ya waliopitishwa kugombea...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa...
READ MOREPOLISI mkoani Rukwa inawashikilia vijana watano wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwanakijiji...
READ MOREKUFUATIA wanafunzi wengi kukosa mikopo ya elimu ya juu na kudaiwa kuwepo figisu kwa wale wanaopaswa kupewa mikopo hiyo, Serikali...
READ MOREHOFU, simanzi na majonzi zimetawala kwa wakazi wa Mtaa wa Migazini Manispaa ya Mpanda mkoa wa Katavi, baada ya...
READ MORETAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Dodoma wanamshikilia Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Serengeti iliyopo Serengeti...
READ MOREMWILI wa mke wa Dickson Ponela, Prisca John Sambu (35) umekutwa umeharibika chumbani ambapo mashuhuda waliouona kwa mara ya kwanza...
READ MOREKatika kutambua afya ni suala muhimu sana kwa maendeleo ya jamii, Benki ya NMB imekabidhi vitanda 15...
READ MOREKWA wazazi, inapofika Desemba kuelekea Januari kila mwaka, huwa ni kipindi kigumu sana! Ugumu wake ni majukumu yaliyopo mbele yao...
READ MOREALIYEKUWA Katibu wa Baraza la Wazee la Klabu ya Young Africans (Yanga), Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia leo asubuhi, Jumamosi,...
READ MOREMANYARA: Jeshi la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewatia mbaroni watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva wa...
READ MOREVERDIANA Mjwahuzi (81), mama wa mwandishi wa habari za kiuchunguzi, Erick Kabendera, amemwomba amsamehe mwanaye wa pekee anayemsaidia katika matibabu....
READ MORE