×

Kitaifa

Serikali Yawataka Wenye Viwanda Kuijali na Kuilinda Nguvukazi

Serikali imewataka wamiliki wa viwanda nchini kuijali na kuilinda nguvukazi inayotumika katika uzalishaji ili kuwa na uzalishaji endelevu na wenye...

READ MORE

Parimatch Waidhamini Tena Mbeya City

KAMPUNI ya Michezo ya Kubashiri Mtandaoni hapa nchi ya PariMatch imeingia makubaliano na Timu ya Mpira wa Miguu inayomilikiwa na...

READ MORE

Spika Dkt. Tulia Atembelea Banda la Nmb, Wakulima Kunufaishwa na ‘Mshiko Fasta’

Benki ya NMB imekuja suluhisho maalum ya kuwakopesha mitaji kwa wateja wake unaojulikana kwa jina la ‘NMB Mshiko Fasta’ ambapo...

READ MORE

Mhe. Rais Samia: Maboresho Sekta ya Elimu Yanalenga Kuwapatia Watoto Elimu Inayowapatia Ujuzi

Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema maboresho ya Miundombinu yanayoendelea katika sekta ya elimu...

READ MORE

Wachezaji Simba Wako Tayari Kusensabika

    Wachezaji wa Klabu ya Simba Sc hii leo wakiwa katika maandalizi ya mwisho kuelekea tamasha kubwa la SIMBA...

READ MORE

Jaji Mkuu, Majaji wa Rufani Watembelea Hifadhi ya Taifa ya Mikumi

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma leo tarehe 6 Agosti, 2022 amewaongoza Majaji wa Mahakama ya...

READ MORE

Waziri Mkenda Autaka Uongozi Wilaya ya Rungwe Kutenga Eneo la Ujenzi wa Chuo cha VETA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof Adolf Mkenda ameutaka uongozi wa Wilaya ya Rungwe kutafuta eneo la zaidi...

READ MORE

Wakulima, Wafugaji na Wavuvi Walio Katika Ajira ni wateja Wetu-WCF

  MKURUGENZI wa Huduma za Tathmini, Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) Dkt. Abdulsalaam Omar, amesema Maonesho ya Nanenane mwaka...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Kwanza Zanzibar Aongoza Mbio za Marathon

Leo Agosti 7 , 2022 yamefanyika mashindano ya mbio Visiwani Zanzibar Maarufu kama  ” Tigo, Zantel Zanzibar International Marathon 2022...

READ MORE

Wawekezaji Sekta ya Nishati Kuendelea Kunufaika na Mikopo ya Nmb

Benki ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kutoa mikopo kwa wadau katika mnyororo wa thamani wa sekta ya nishati...

READ MORE

Shule ya Msingi Hazina Yaongoza Mock Darasa la Saba Kinondoni

·     SHULE ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam, imeongoza kwenye matokeo ya mtihani wa utimilifu (Mock), darasa...

READ MORE

Tulitawaliwa Kwa Sababu ya Sayansi na Teknolojia: Waziri Mkenda

Katika kutekeleza kwa vitendo ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020-2025 na mpango mkakati wa serikali kupitia...

READ MORE

Ufadhili wa Nmb Wafikia Trilioni 1.56 Katika Sekta ya Kilimo

  Serikali imezichangisha benki nchini kwa lengo la kuongeza wigo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi kukopa ili kuongeza uwekezaji kwenye...

READ MORE

Nmb Yakabidhi Millioni 60 Maonesha ya Nanenane Mbeya

    Benki ya NMB imeendelea kuiunga mkono serikali katika kufanikisha maonyesho ya Sikukuu ya Wakulima Kitaifa (Nanenane) kwa kukabidhi...

READ MORE

Waziri wa Elimu Aunda Tume Kuchunguza Utoaji Mikopo Kwa Wanafunzi Elimu ya Juu

  Wakati dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023 likiwa wazi kwa muda wa siku 70 kuanzia...

READ MORE

Jaji Mkuu Atembelea Chumba Cha Mrejesho wa Taarifa za Kielektroni za Mahakama

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma leo tarehe 29 Julai, 2022 ametembelea Chumba cha Mrejesho wa...

READ MORE

Mahakama Yakubali Halima Mdee na Wenzake 18 Kuhojiwa

Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam imewataka  Halima Mdee na Wenzake saba kufika mahakamani hapo Agosti 26 Agosti 2022...

READ MORE

Waziri Mkenda: RUWASA Ijitathmini Inamhujumu Waziri Aweso Usimamizi wa Maji Rombo

Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) umetakiwa kujitathmini kutokana na kadhia ya kushindwa kusimamia mradi wa maji...

READ MORE

Wizara ya Elimu yakutana na Wahariri, Yaeleza Vipaumbele Vyake

Elimu ujuzi ni miongoni mwa hatua na mikakati muhimu ambayo Serikali inaiendeleza kwa kuwa inatambua licha ya elimu ujuzi kuwa...

READ MORE

NMB Yaendelea Kuwa Kinara wa Ufanisi Nchini Tanzania

Benki ya NMB imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022. Faida kabla ya kodi...

READ MORE

Wataalamu Kutoka Wizara ya Elimumsingi Afrika  Kusini Watembelea Shule ya Chief Albert Morogoro

Shule hii iko katika moja ya eneo waliloishi wapigania Uhuru wa Afrika ya Kusini wakati wa harakati za ukombozi wa...

READ MORE

RC Makalla Aipongeza Nmb Kuzindua Kifurushi Cha Mikopo Kwa Walimu

  Watumishi wa Umma wakiwemo Walimu wametakiwa kufanya maandalizi bora ya kustaafu mapema kwa kuchangamkia fursa ya Mkopo kwa kuanzisha...

READ MORE

NMB Yawagusa Wanafunzi Wilayani Temeke

Benki ya NMB imekabidhi msaada wa mabati 600, madawati 100, pamoja na viti 50 na meza 50, kwa ajili ya...

READ MORE

Barabara ya Kuelekea Hospitali ya Rombo ya Kilomita 5.5 Kujengwa Kwa Lami

Hivi karibuni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Philip Isidor Mpango wakati akiweka jiwe la...

READ MORE

Rais Museveni wa Uganda, Rais Ndayishimiye wa Burundi Waondoka Nchini, Waziri Mkenda Awaaga

  Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni pamoja na Rais wa Burundi Mhe Evariste Ndayishimiye leo tarehe 23 Julai...

READ MORE

JPM Magufuli Daraja la Sita Afrika

Imeelezwa kuwa Daraja la JP Magufuli, linalojengwa jijini Mwanza litakalo ziunganisha wilaya za Misungwi na Sengerema kupitia Ziwa Victoria linatarajiwa...

READ MORE

Prof. Ndalichako: Kiwanda cha kuchakata Nyama Cha Ngulu Hills Kimeleta Mapinduzi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako amesema kiwanda cha...

READ MORE

Asasi za Kiraia Zapewa Elimu Juu ya Masuala ya Kujitolea, Kutoa Msaada kwa Jamii

Shirika la Foundation of Civil Society (FCS) kwa kushirikiana na  East Africa Philanthropy Network (EAPN) wamewakutanisha asasi za kiraia kwa...

READ MORE

Rais Samia Amteua IGP Mpya Camillus Wambura, DCI Ramadhan Kingai

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa watumishi mbalimbali wa Serikali

READ MORE

Rais Ramia Amteua IGP Sirro Kuwa Balozi Nchini Zimbambwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Inspekta Jenerali na Mkuu wa Jeshi la Polisi...

READ MORE

Waziri Mkuu: TCU Ongezeni Udhibiti wa Ubora wa Vyuo Vikuu

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) iongeze jitihada katika udhibiti wa ubora wa vyuo vikuu...

READ MORE

Prof. Mkenda Aanza Ziara ya Siku saba Rombo, Rais Samia Atoa Bil 10 Mradi wa Maji

Mbunge wa Jimbo La Rombo ambaye ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda leo tarehe 19...

READ MORE

Waziri Jafo: Jiji la DSM Pitieni Mfumo wa Maji ya Mvua Kubaini Waliounganisha Kiholela

Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Dkt.Selemani Jafo amelitaka Jiji la Dar es salaam...

READ MORE

NMB na Neema Mpya Kwa Wakulima,Wavuvi na Wafugaji Nchini

  KWA mara ya kwanza wakulima, wavuvi na wafugaji nchini wataweza kupata mikopo kutoka Benki ya NMB kwa riba nafuu...

READ MORE

Jaji Mkuu Prof. Juma Awaasa Mahakimu Wapya Kutofungwa na Kanuni za Kiufundi Wanapotoa Haki..

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewaasa Mahakimu Wakazi wapya kutenda haki bila kufungwa kupita kiasi na masharti...

READ MORE

Wananchi Wanaomiliki Ardhi Mabwepande Waiangukia Serikali Inshu ya Uvamizi

WANANCHI wanaomiliki mashamba na viwanja eneo la Mabwepande wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kuingilia kati kwa kuwaondoa...

READ MORE

Siku ya Wakulima Yafanyika Monduli, TBL Yajidhatiti Kuboresha Mnyororo wa Thamani

  Tanzania Breweries Limited (TBL) na wadau mbalimbali wameadhimisha siku ya wakulima wa shayiri mwaka 2022, na kujidhatiti kuboresha mnyororo...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia Hataki Mzaha na Fedha za Umma

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan iko...

READ MORE

Naibu Waziri Katambi: Serikali Inajivunia Kuwa WCF

  SERIKALI imesema inajivunia Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kwa jinsi umeweza kufikia malengo yaliyokusudiwa kwa kuongeza matumaini kwa...

READ MORE

Katika Kuunga Juhudi za Rais Samia, Nmb Yatoa Vifaa Vya Afya, Elimu Wilya ya Lushoto

  Benki ya NMB imetoa msaada wa mabati 200 kwa Zahanati ya Kwemakame iliyopo wilayani Lushoto mkoani Tanga yenye thamani...

READ MORE