×

Kitaifa

Dkt. Pallangyo (CCM) Ashinda Kura Jimbo la Nassari

Dkt. John Pallangyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi (CCM) mkoani Arusha, ameshinda kwa kishindo kinyang’anyiro cha kura...

READ MORE

SPIKA AMUANIKA LEMA: Unadaiwa MIL 419, Una STRESS, Ushugulikiwe – Video

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai,  ameiagiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji Mbunge wa Arusha Mjini...

READ MORE

JPM Atoa ONYO Kali: Niombe Hela Uone Kama Sijakutumbua – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewaonya Wakurugenzi ambao watanaoesha nia kudai ushuru kufuatia uamuzi...

READ MORE

TAMKO la POLISI Kuhusu MAUAJI Kigoma “Tutawalaza Wote” – Video

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amewahakikishia wakazi wa Mkoa wa Kigoma kuimarishwa kwa...

READ MORE

Baba Amnyonga Mwanae Hadi Kufa, Akidai Sio Mtoto Wake

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Robison Enerst (33) fundi ujenzi kwa kosa la kumnyonga shingo,  mwanae Modesta Robison mwezi...

READ MORE

Serikali kushirikiana na Unesco kuhakikisha usalama wa waandishi wa habari

SERIKALI imesema kwamba iko tayari kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na wadau...

READ MORE

JPM Awasamehe Kangomba, Aagiza Walipwe Fedha zao za Korosho – Video

RAIS wa Tanzania John Magufuli ameagiza zipelekwe Sh 50 bilioni kwa ajili ya kulipia wakulima wenye kilo zaidi ya 1,500...

READ MORE

Magufuli Awashukia Wakulima wa Korosho Wanaodai Hawajalipwa – Video

RAIS John Magufuli amewajia juu wakulima wa korosho mkoani Mtwara wanaodanganya kuwa hawajalipwa fedha zao na serikali jambo ambalo si...

READ MORE

VIONGOZI WA CHUO CHA KIJESHI UGANDA WATEMBELEA EPZA

VIONGOZI wa chuo  cha Jeshi la Usalama wa Taifa la Kimaka kutoka nchini Uganda (KDC) wametembelea kituo cha Mamlaka ya...

READ MORE

GARI LA MAFUNDI UMEME LAPATA AJALI, WATATU WAFARIKI

WATU watatu wanasadikiwa kupoteza maisha na wengine 30 kujeruhiwa katika ajali ya basi dogo lililokuwa limebeba mafundi wa mradi wa...

READ MORE

GOODBLESS LEMA, HALIMA MDEE, YAWAKUTA BUNGENI

Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge pia imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa kulidharau...

READ MORE

Watu 28 Wakamatwa kwa Kupiga Askari

WATU 28 wamekamatwa na polisi wilayani Nyang’hwale, Geita kwa tuhuma za kuwajeruhi askari polisi watatu kwa silaha za jadi wakati...

READ MORE

Barclays yaitikia wito wa BoT, yafungua duka la kubadilishia fedha za kigeni

  KATIKA  kuunga mkono juhudi za Benki Kuu ya Tanzania ya kuhakikisha huduma ya kubadilishia fedha za kigeni inafanyika kwa...

READ MORE

JPM Aaga Mwili wa Dada wa Mbunge Peter Msigwa

Rais Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli wametoa heshima za mwisho kwa mwili wa Marehemu na kutoa mkono wa...

READ MORE

Shughuli Imeanza Uchaguzi wa Serikaliza Mitaa – Video

Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, ukitarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali...

READ MORE

SERIKALI YAKUTA SIRI NZITO KWENYE MADUKA YA FEDHA – VIDEO

KATIKA kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha kuwa Sekta ya Fedha inachangia ipasavyo utulivu na ukuaji wa uchumi nchini, Benki Kuu...

READ MORE

JPM, LEMA WAKUTANA USO KWA USO MSIBANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless...

READ MORE

NDALICHAKO Akizindua Ukumbi wa Mihadhara Chuo cha Mwl Nyerere – VIDEO

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amezindua ukumbi wa mihadhara wa kisasa katika Chuo Cha Kumbukumbu ya...

READ MORE

MAMA AMLILIA MUNGU, “NIMEVIMBA TUMBO, SIONI, MOYO UNANITESA” – VIDEO

Bi. Selina Izack, mkazi wa Bunju A, Mtaa wa Baharia, mama anaesumbuliwa na tatizo la moyo, kisukari na vidonda vya...

READ MORE

EXCLUSIVE: Baada ya Kifo cha Kapteni Komba, Shuhudia Hiki! – Video

Ikiwa ni miaka minne imepita tangu kufariki kwa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi Mkoani Ruvuma kwa tiketi ya...

READ MORE

Kigoma: Polisi Yaua Majambazi Watatu

WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wameuawa huku askari polisi mmoja akijeruhiwa baada ya kutokea kwa majibizano ya risasi katika...

READ MORE

Ndege ya Magufuli Yakabidhiwa Kwa ATCL

SERIKALi imekabidhi ndege yake aina ya Fokker 50 kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwa ajili ya kubeba abiria...

READ MORE

KUHUSU MFEREJI WA MAJI HAYA…. MBAGALA WAIANGUKIA SERIKALI

WANANCHI wa Mbagala Kiuzuiani Mtaa wa Juhudi wameiomba Halmashauri ya Wilaya  Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam kuwawekea mifereji...

READ MORE

DUDU BAYA AIANGUKIA FAMILIA YA RUGE MUTAHABA- VIDEO

MSANII wa Bongo Fleva, Dudu Baya ameipigia magoti familia ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji, Ruge Mutahaba akiomba radhi...

READ MORE

NMB YACHANGIA MABATI 802, MADAWATI 50 NA VITANDA 8 VYA HOSPITALINI

      BENKI ya NMB imechangia jumla ya mabati  802 kwa ajili ya kuezeka madarasa ya Chuo cha Veta Kalambo,...

READ MORE

CAG Akabidhi Ripoti 17 za Ukaguzi kwa JPM

RIPOTI 17 za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad, kwa mwaka wa fedha unaoishia...

READ MORE

KABLA HATA YA MWAKA MMOJA MADARAKANI… JOKATE SI YULE

UKIAMBIWA mambo aliyoyafanya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, Jokate Urban Mwegelo tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo, miezi minane...

READ MORE

NAIBU WAZIRI FEDHA NA MIPANGO ATEMBELEA CHUO KIKUU MZUMBE

  Naibu Waziri Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (MB) ametembelea Chuo Kikuu Mzumbe na kukagua ujenzi wa Mabweni...

READ MORE

Alliance wanunua mabao ya Yanga

KATIKA kuhakikisha wanapata ushindi, Uongozi wa Alliance FC umeweka wazi kwamba hawataki utani kwenye mechi yao dhidi ya Yanga ndiyo...

READ MORE

Magufuli Atunuku Kamisheni Maofisa 146 JWTZ – Video

AMIRI Jeshi Mkuu Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, akikagua gwaride la heshima...

READ MORE

Kituo cha Umeme Mlandizi Chaungua Moto – Pichaz

Kituo cha Kuzalisha na Kusambaza Umeme cha Mlandizi mkoani Pwani kimungua kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika na...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMAMOSI, MACHI 30, 2019

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo MACHI 30, 2019. Ni yale ya...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

  SERIKALI imesema itaendelea na juhudi za kushawishi wadau wa maendeleo na Jumuiya za Kimataifa ili kupata fedha za kusimamia...

READ MORE

Mvuvi wa dagaa Kagera ashinda milioni 84 za M-Bet

MVUVI wa dagaa kutoka katika Mkoa wa Kagera, Semistocles Mkiza, ameshinda Sh 84,814,160 kupitia Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya...

READ MORE

KIGOGO TAKUKURU ALIYETAJWA NA JPM KWA KUTAPELI YAMKUTA KISUTU

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imemfikisha mahakamani, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini wa taasisi hiyo,...

READ MORE

Breaking: Kigogo Takukuru aliyetajwa na JPM kudhulumu viwanja anaswa

MKURUGENZI wa Mipango wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kulthum Mansoor, aliyetajwa jana, Machi 28, 2019 na...

READ MORE

UNYAMA: BABA wa SAID Auawa KIKATILI, Kisa Chake Kitakutoa Machozi – Video

NI mfululizo wa ukatili wa kutisha kati ya wakulima na wafugaji! Siku ya tarehe 26.03.2019 ambapo mtu mmoja afahamikaye kwa...

READ MORE

DENTI CHUO KIKUU ANYONGWA DAR!

INAUMA sana! Mrembo Happyness Fredric ‘Happy’, mkazi wa Yombo-Kanisani jijini Dar ambaye alikuwa ni denti wa mwaka wa kwanza wa...

READ MORE