×

Kitaifa

JPM ‘Awakaanga’ Hadharani MKURUGENZI, Mhandisi na Naibu Waziri – Video

Rais Dkt John Magufuli, leo Jumatano, Aprili 10, 2019 ameendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Njombe na kubaini...

READ MORE

JPM Alia na Mauaji ya Watoto Njombe, Atoa Tamko Zito – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Aprili 10, amewahutubia wananchi wa Mkoa wa Njombe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya...

READ MORE

CAG AANIKA RIPOTI YAKE, “TUTAENDELEA KUTUMIA NENO ‘DHAIFU'”

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,  ametangaza kuwasilisha ripoti ya ukaguzi bungeni na kusema...

READ MORE

Mke wa Kisena wa UDART Akamatwa na Takukuru – Video

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imemkamata na kumfikisha katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, Mkurugenzi wa...

READ MORE

RIPOTI YA CAG KUWASILISHWA BUNGENI LEO

Leo Jumatano Aprili 10, 2019 Bunge la Tanzania litawasilishiwa hati ya Ripoti  ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

READ MORE

WAZIRI WA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR AIPONGEZA TTCL

  WAZIRI wa AUjenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Sira Ubwa Mamboya, amepongeza juhudi kubwa...

READ MORE

RAIS JPM Azindua KITUO cha Afya cha MADABA – Video

RAIS Dkt. John Magufuli leo amezindua Kituo cha Afya cha Madaba mkoani Ruvuma mbacho kimegharimu jumla ya shilingi Milioni 665...

READ MORE

Majambazi Watano Walivyouawa Tanga

Polisi mkoani Tanga wamewaua watu watano wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliotaka kuvamia na kupora mishahara ya wafanyakazi katika shamba la...

READ MORE

Wananchi 15,000 Wapinga Bunge Kutofanya Kazi na CAG

WAKATI kampeni ya mtandaoni kupinga azimio la Bunge la kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

READ MORE

Kibajaji Ataka Uchaguzi wa Rais 2020 Usifanyike – Video

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde ameshauri Serikali isifanye uchaguzi wa kipengele cha Urais katika uchaguzi mkuu wa 2010 na badala...

READ MORE

WAZIRI LUKUVI AZINDUA SIKU YA Nyumba ya NMB Arusha

WAZIRI wa Ardhi Nyumba Maendeleo na Makazi ,William Lukuvi, amezitaka Taasisi za Kifedha hapa nchini ikiwemo Benki kuwawezesha wananchi wa...

READ MORE

Naibu Waziri ‘Atuliza Munkari’ wa Mnyika Bungeni- Video

Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso, amemtaka Mbunge wa Jimbo la Kibamba John Mnyika kufanya ziara katika jimbo lake ili...

READ MORE

JPM Achakata Mahindi Kiwandani, Awapa Tano Wanajeshi- Video

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli bado anaendelea na ziara yake ya kikazi ya siku tano...

READ MORE

Muroto: Atakayeandamana Dodoma Kesho, Atapigwa, Atachakaa – Video

BAADA ya vijana wa chama cha ACT-Wazalendo kutangaza maandamano kesho Aprili 9, 2019 kuanzia majira ya saa 3:00 asubuhi jijini...

READ MORE

TAMBWE AWAPA MCHONGO SIMBA KUIMALIZA MAZEMBE

BAADA ya juzi Jumamosi, Simba kushindwa kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani dhidi ya TP Mazembe, mshambuliaji wa Yanga, Mrundi,...

READ MORE

Mbowe Kupangua Mawaziri Kivuli, Wanaomuunga Lipumba Kung’olewa

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe amesema muda wowote kuanzia sasa atapangua Baraza la Mawaziri Vivuli na...

READ MORE

BENK YA NMB YAWAKUTANISHA WAFANYABIASHARA ZANZIBAR

  MKUU wa Wilaya ya Chake Chake Rashid Hadid Rashid, amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, inaunga mkono juhudi...

READ MORE

UKATILI wa Kutisha! Mume aua Mke Baada ya Kumfumania

Penzi limegeuka na kuwa shubiri baada ya mwanaume mmoja kumgeukia mkewe na kumuua katika kijiji cha Kaplelach, Kaunti ya Kericho...

READ MORE

Rais Magufuli Awaonya Tena Wakuu wa Mikoa na Wilaya – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na ziara yake katika Wilaya ya Mbinga Mkoani...

READ MORE

Mama wa Kijiji cha Mazingara Abomolewa Nyumba 4, Amlililia JPM – Video

BI. Mwanaidi Salehe, mkazi wa Mkoa wa Pwani amemlilia Rais Dkt. John Magufuli amsaidie ili aweze kupata haki yake baada...

READ MORE

Bashe: Polisi Kasomea Wapi Ukusanyaji wa Kodi? – Video

Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe amesema eneo la kibiashara la Kariakoo jijini Dar es Salaam limekufa kutokana na sababu...

READ MORE

JPM: Huwezi Kuendesha Viwanda kwa Dizeli – Video

Rais Dkt. John Magufuli amezindua mradi wa ujenzi wa njia ya usafirishaji umeme ya Kilovolt 220 kutoka Makambako hadi Songea...

READ MORE

LIVE: MAKONDA, KUSAGA, SHIGONGO Katika Kilele cha MALKIA wa Nguvu

NI hafla ya kilele cha Tuzo za Malkia wa Nguvu ambazo zinaendelea katika Ukumbi wa Julius Nyerere, wanawake mbalimbali watapokea...

READ MORE

PIERRE ALIVYOVUNJA REKODI YA DK. SHIKA

UNAMKUMBUKA Dkt. Louis Shika? Yule wa ‘Milioni 900 Itapendeza?’ Unakumbuka gumzo lake? Basi yeye ni cha mtoto, yupo mtu aliyevunja...

READ MORE

JPM Awaomba Radhi Wananchi wa Tunduru kwa Kuwabomolea Nyumba – Vido

Rais Dkt. John Magufuli amekata utepe kuashiria ufunguzi wa Barabara ya Namtumbo-Tunduru, mkoani Ruvuma ambako amekwenda kwa ziara ya kikazi...

READ MORE

Rais Magufuli Afunguka Kumjenga Barabara Mzee Mkapa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amesema hatajali maneno ya watu ambao watasema kuwa yeye...

READ MORE

Bunge Lamsimamisha Lema Hadi 2020, Wapinzani Wasusa!

BUNGE limeazimia na kupitisha mapendekezo ya Kamati ya Bunge ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge ambapo limemsimamisha Mbunge...

READ MORE

ASKARI MAGEREZA MBARONI KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limemkamata askari magereza Cosmas Ndasi wa Gereza la Msalato jijini Dodoma akiwa na vipande...

READ MORE

Rais MAGUFULI Afungua Kituo cha Afya Mbonde, Mtwara – Video

Rais Dkt. John Magufuli amefungua Kituo cha Afya cha Mbonde Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara. Ni moja ya Vituo vya...

READ MORE

 MFANYABIASHARA JELA MIAKA 30, VIBOKO 12

MBEYA: Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya imemhukumu kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko...

READ MORE

Mtu Amelima Korosho, Amenunua Madawa, Unampa Tsh 1,500? – Video

Rais Dkt John Pombe Magufuli  amewahakikishia wananchi wa Nanyamba, Tandahimba, na Newala Mkoani Mtwara kuwa Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu ya...

READ MORE

Wasomaji: Betika linatuingizia fedha ndefu katika kubeti

WASOMAJI wa Gazeti la Betika kutoka maeneo ya Mbagala jijini Dar es Salaam, wamefunguka kuwa gazeti hilo kila siku zinavyozidi...

READ MORE

MAGUFULI “Gongo Iuzwe, Anayelewa Alewe Tu! – Video

Rais Dkt John Magufuli ameendelea na ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Mtwara, ambapo anakagua na kuzindua miradi...

READ MORE

Spika Ndugai Atishia Kuwataja Wabunge Waliotelekeza Watoto

Spika wa Bunge, Job Ndugai, amesema anayo orodha ya baadhi ya wabunge waliotelekeza watoto hivyo amewataka wahusika kulimaliza suala hilo...

READ MORE

Rais wa Algeria Ajiuzulu

RAIS wa Algeria Bouteflika (82) ambae anatumia wheelchair kutembelea amejiuzulu wadhifa wake baada ya kukaa madarakani kwa miaka 20, hatua...

READ MORE

Pierre Liquid Apewa Tiketi ya Ndege Kwenda AFCON Misri – VIDEO

MCHEKESHAJI Peter Mollel ‘Liquid Master’ au ‘Pierre’, anayetikisa mitandaoni ameahidiwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kupewa tiketi ya ndege kwenda...

READ MORE

JPM Akerwa na Wakandarasi Hawa – Video

Rais John Magufuli amewajia juu wakandarasi wasiofanya kazi zao vizuri na kwa wakati na kuitaka Wizara ya Ujenzi kuwachukulia hatua...

READ MORE