×

Kitaifa

Rais Magufuli Azindua Ikulu Mpya, Chamwino – Dodoma

 Rais John Magufuli  leo amesema dhamira yake ya kuhamia Dodoma iko pale pale ila amechelewa kufanya hivyo kwa sababu...

READ MORE

NMB YATOA MSAADA WA MADAWATI 100 KILOMBERO

Mkuu wa Shule ya Sekondari Mchombe (kulia mwenye miwani) Meneja wa NMB Ifakara na Ofisa Uhusiano.   SHULE za sekondari...

READ MORE

CHUCHU NA AUNT WAPEWE TUZO ZA KUTENDWA

ANASEMAJE? Mwanamama anayefanya poa kunako Bongo Muvi, Chuchu Hans amesema yeye na mwigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel wanastahili tuzo kutokana na...

READ MORE

Zitto Kabwe, Freeman Mbowe Wamvaa DPP Bungeni – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT Wazalendo), ameishutumu Ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DPP), kwamba imekuwa na...

READ MORE

Tigo yatoa zawadi za mamilioni kwa Mawakala waTigoPesa

      Kampuni ya Tigo Tanzania, leoimetoa   zawadi za mamilioni ya shilingi kwa mawakala wake wa huduma ya Tigo...

READ MORE

LIVE: Kutoka PUGU, MAITI Iliyofukuliwa na Kuachwa Utupu, Yadaiwa Kubakwa – Video

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mwili wa aliyekuwa Ofisa wa Wizara ya Madini, MERY MKWAYA MALAMO, aliyefariki mwanzoni mwa wiki...

READ MORE

Baba Atiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Kuzaa na Binti Yake

Mkazi wa kijiji cha Mwanzamiso wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza, Jacob Shabani (30) amefikishwa katika Mahakama ya wilaya hiyo kwa...

READ MORE

Mwalimu Apelekwa Jela Miaka 30 kwa Kumbaka Mwanafunzi

MAHAKAMA ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, imemhukumu Mwalimu Abubakari Katakweba (32) wa Shule ya Msingi Mwafa wilayani humo, kwenda...

READ MORE

Mbunge Sugu Amuomba JPM Afanye Hili

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu kama ‘Sugu’ amemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John...

READ MORE

Mnyika Ataka Ripoti ya CAG Kupewa Wabunge – Video 

Mbunge wa Kibamba (CHADEMA), John Mnyika amehoji ni kwanini Wabunge hawajagawiwa ripoti ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa...

READ MORE

SHIGONGO AWAPA SIRI YA KUPATA ‘DIVISION ONE’ WANAFUNZI FORM 6

MKURUGENZI Mtendaji wa Global Group na Mwalimu wa Ujasiriamali, Eric Shigongo,  leo amezungumza na wanafunzi wa kidato cha sita wa...

READ MORE

Ushahidi Kesi ya Mauaji Mwanafunzi wa Shule ya Scholastica, Ilivyokuwa

SHAHIDI Irene Mushi (35) ambaye ni wa kwanza kwenye kesi ndani ya kesi ya Msingi ya Mauaji ya kukusudia namba...

READ MORE

DAR: MAITI YA OFISA WA MADINI YAFUKULIWA, YADAIWA KUBAKWA

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mwili wa aliyekuwa Ofisa wa Wizara ya Madini,  MERY MKWAYA MARAMO, aliyefariki mwanzoni mwa wiki...

READ MORE

Mwanzilishi wa Mtandao wa WikiLeaks Atiwa Mbaroni Uingereza

MUASISI wa mtandao wa WikiLeaks, Julian Assange, jana alitolewa kwa nguvu kutoka ubalozi wa Ecuador jijini London na kutiwa kwenye...

READ MORE

Wateja Halotel kuongea bure

  Kampuni ya Mawasiliano ya simu ya Halotel, imeendelea kuongeza thamani na ubunifu katika mawasiliano kwa kuzindua huduma mpya iliyoboreshwa...

READ MORE

Homa ya Dengue Yaingia Nchini, Naibu Waziri Athibitisha – Video

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile, amethibitisha kuwepo kwa homa ya dengue...

READ MORE

JPM Awaweka Mtu Kati, Mkurugnzi & Mhandisi Njombe – VIDEO

Rais Dkt John Magufuli amewaweka mtu kati Mkurugenzi wa Halmashauri ya Njombe na Mhandisi wa halmashauri hiyo kutokana na mradi...

READ MORE

MJADALA HOT; UNA LIPI JUU YA RIPOTI YA JANA YA CAG?

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini, (CAG) Professa Musa Juma Assad, jana alitoa ripoti yake kuhusu hesabu...

READ MORE

TTCL YAZINDUWA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA KIJITONYAMA

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), leo limezinduwa Kituo cha Huduma kwa Wateja katika eneo la Kijitonyama jijini Dar es...

READ MORE

Waziri Kama Unaweza ‘Kaivute Bangi’ ya Njombe – Video

Rais Dkt Magufuli ahitimisha ziara yake ya mkoa wa Njombe kwa kuhutubia maelfu wa wananchi uwanja wa Polisi Makambako leo...

READ MORE

EXCLUSIVE: Kijana Atengeneza GARI la UMEME – Video

Unaweza usiamini lakini ni ukweli usiokuwa hata na chembe ya uongo kuwa kijana, Gabriel Jeremiah, ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Yatima Muuza Maji Aliyewajengea Vikongwe Masikini Nyumba! – Video

KIJANA mmoja mkazi wa Kijiji cha Twabagondozi wilayani Kibondo mkoani Kigoma, ameonyesha kuwa si lazima kuwa na pesa nyingi ili...

READ MORE

NMB ‘kusomesha’ wafanyabiashara 10 China 

  KATIKA kuwaongeza uelewa, maarifa na elimu ya kujenga nidhamu ya fedha kwenye biashara zao, Benki ya NMB imeahidi kuwapeleka...

READ MORE

Sala ya Toba Iliyomrejesha Kazini OCD Aliyetumbuliwa na JPM – Video

RAIS Dkt John Magufuli amemtumbua na kumrudisha kituo cha kazi OCD wa Njombe alasiri hii ya leo baada sala ya...

READ MORE

AMA KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA…MAMA AOZA HUKU AKITEMBEA

HICHO ndicho anachokutana nacho mwanamama Rhobi Mwita Chacha, mkazi wa Sirari-Tarime mkoani Mara ambaye amejikuta akioza huku akitembea.  Rhobi hana...

READ MORE

HALOTEL YAKABIDHI MSAADA KWA NAIBU WAZIRI WA MIPANGO NA FEDHA

    Kampuni ya simu za mikononi ya Halotel imetoa msaada wa madawati 55 kwa ajili ya shule za Sekondari...

READ MORE

JPM ‘Awakaanga’ Hadharani MKURUGENZI, Mhandisi na Naibu Waziri – Video

Rais Dkt John Magufuli, leo Jumatano, Aprili 10, 2019 ameendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Njombe na kubaini...

READ MORE

JPM Alia na Mauaji ya Watoto Njombe, Atoa Tamko Zito – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Aprili 10, amewahutubia wananchi wa Mkoa wa Njombe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya...

READ MORE

CAG AANIKA RIPOTI YAKE, “TUTAENDELEA KUTUMIA NENO ‘DHAIFU'”

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,  ametangaza kuwasilisha ripoti ya ukaguzi bungeni na kusema...

READ MORE

Mke wa Kisena wa UDART Akamatwa na Takukuru – Video

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imemkamata na kumfikisha katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, Mkurugenzi wa...

READ MORE

RIPOTI YA CAG KUWASILISHWA BUNGENI LEO

Leo Jumatano Aprili 10, 2019 Bunge la Tanzania litawasilishiwa hati ya Ripoti  ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

READ MORE

WAZIRI WA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR AIPONGEZA TTCL

  WAZIRI wa AUjenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Sira Ubwa Mamboya, amepongeza juhudi kubwa...

READ MORE

RAIS JPM Azindua KITUO cha Afya cha MADABA – Video

RAIS Dkt. John Magufuli leo amezindua Kituo cha Afya cha Madaba mkoani Ruvuma mbacho kimegharimu jumla ya shilingi Milioni 665...

READ MORE

Majambazi Watano Walivyouawa Tanga

Polisi mkoani Tanga wamewaua watu watano wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliotaka kuvamia na kupora mishahara ya wafanyakazi katika shamba la...

READ MORE