×

Kitaifa

MADEREVA  NCHINI  KUUNDA SHIRIKISHO

    VIONGOZI wawakilishi wa vyama vya Madereva kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini wamekutana leo jijini Dar es Salaam kwa...

READ MORE

MKUTANO MKUU WA WAUZA MAGAZETI WAFANYIKA DAR

MKUTANO Mkuu wa Umoja wa Mawakala Wauza Magazeti umekutana na kuzungumzia mambo mbalimbali yanayohusu Saccos yao waliyoianzisha miaka mitatatu iliyopita...

READ MORE

Magari Yaanza Kutembea Kwenye Flyover ya Tazara – Picha

BAADA ya hivi karibuni Waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kutembelea na kukagua ujenzi wa barabara...

READ MORE

40 ya MZEE MAJUTO: Watoto Wafunguka Usiyoyajua! – Video

SIKU 40 zimetimia tangu Mkongwe wa Filamu nchini, Mzee Athumani Amri ‘King Majuto’, afariki dunia na kuzikwa shambani kwake Katika...

READ MORE

Makontena ya Makonda Yabuma Tena Bandarini

MAKONTENA ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo Jumamosi Septemba 15, 2018 yamekosa tena wanunuzi kwa...

READ MORE

MAAJABU: Mwanamke Azaa Watoto Watano kwa Mpigo

HAYA ni maajabu ya dunia! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Bi. Honoratha Nakato kutoka Uganda kuandika historia mpya barani Afrika...

READ MORE

Hoteli ya Mbowe Yadaiwa Kutumia Umeme wa Wizi

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) Mkoani Kilimanjaro limeikatia umeme hoteli  ya Aish hotel inayomilikiwa na Mbunge wa Hai (CHADEMA), Freeman...

READ MORE

GUNINITA KUZIKWA JUMATANO IJAYO

MWILI wa Mwenyekiti wa zamani wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita unatarajiwa kuzikwa Jumatano Septemba 19, 2018...

READ MORE

Anaswa kwa Kulewesha Wanawake, Kuwabaka na Kulawiti – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kwa kutumia kikosi chake chenye weledi, uadilifu na uwezo mkubwa, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa sita...

READ MORE

KISA DENI, FAMILIA YAFURUMUSHWA KWENYE NYUMBA

FAMILIA ya mkazi mmoja wa Keko Magurumbasi Jijini Dar, Noja Yohana imejikuta katika wakati mgumu na kutupiwa vyombo nje baada...

READ MORE

MIKOA 14 YATEKELEZA KAMPENI YA UPIMAJI VVU

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi sasa mikoa 14 imeanza kutekeleza kampeni ya kitaifa ya kupima VVU kwa hiari pamoja na...

READ MORE

YALIYOJIRI MAHAKAMANI KESI YA AVEVA NA KABURU

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kusikiliza hoja za upande wa mashtaka kuhusu ombi la kutaka kufutwa mashtaka ya kesi...

READ MORE

POLEPOLE AWAONYA CHADEMA KUPANGA VURUGU UKONGA – VIDEO

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekituhumua Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa madai ya kupanga kufanya fujo katika Jimbo la...

READ MORE

POLISI Dar Yanasa Majambazi, Yaahidi Kuimarisha Amani Uchaguzi Ukonga

Jeshi la Polisi litaimarisha ulinzi siku ya uchaguzi mdogo utakaofanyika tarehe 16.09.2018 wa ubunge jimbo la Ukonga na udiwani kata...

READ MORE

TAKUKURU YAAHIDI ZAWADI ATAKAYESAIDIA KUPATIKANA HANS POPE – VIDEO

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) imewataka aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Klabu ya Simba, Zacharia...

READ MORE

Breaking: Bondia Mwakinyo Avuna Milioni 7.7 Bungeni – Video

BONDIA Hassan Mwakinyo amepewa zawadi ya Tsh. Milioni 7.72 baada ya kuchangiwa Sh. 20,000 na kila mbunge alipotembelea Bunge jijini...

READ MORE

Breaking: Msafara wa MBOWE Wavamiwa – Video

MSAFARA wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe, umevamiwa na kundi la Morani wakimpokea na kumraki...

READ MORE

Mkurugenzi Halmashauri ya Msalala Anusurika Kifo

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, Simon Berege na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Mibako Mabubu wamenusurika kifo baada ya gari...

READ MORE

Lugola: Kwa Nini Wanaokufa Wakifanya Mapenzi Hamchomi Vitanda? – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema, si watu wote wanaopoteza maisha katika vituo vya polisi wanakuwa...

READ MORE

MSIGWA Nae Amtetea DIAMOND, Amlipua MWAKYEMBE! – Video

Mbunge wa Jimbo la Iringa Vijijini, Peter Msigwa, amesimama Bungeni na kupinga sheria zilizowekwa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni...

READ MORE

DK 7 za Mtoto wa Kikwete Bungeni Leo “Hamjui Mlitendalo” – Video

Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amesimama Bungeni leo na kuchangia hoja kuhusiana na muswada wa Sheria uliowasilishwa Bungeni...

READ MORE

Halima Mdee Avuruga Tena, Amtetea Diamond, Roma – Video

MBUNGE wa Kawe (Chadema) Halima Mdee amesimama Bungeni na kuwatetea wasanii kutokana na sheria zilizowekwa na Baraza la Sanaa la...

READ MORE

Tanzia: CCM Yapata Pigo, Guninita Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM), Taifa na baadaye akawa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es...

READ MORE

LUKUVI AAGIZA OFISA HUYU ATIMULIWE

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza kufukuzwa kazi afisa ardhi wa wilaya ya Monduli, Kitundu...

READ MORE

WALIODAIWA KUTUMIA MAJI YENYE SUMU… SIMULIZI YA VIFO INATISHA

BAADA ya Rais Dk. John Pombe Magufuli ‘JPM’ kuliamuru Baraza la Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira (NEMC) wataalamu wake wapime...

READ MORE

NIDA KUTOA VITAMBULISHO VYA UTAIFA KWA WALEMAVU

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo amezindua rasmi zoezi la utambuzi na usajili kwa watu wenye ulemavu ili...

READ MORE

NAIBU WAZIRI SIMA AWATAJA WENYE VIWANDA HIVI KUSHUGHULIKIWA

  SERIKALI imetoa wito kwa wamiliki wa viwanda kuzingatia utekelezaji wa Sheria ya Mazingira na Mikakati mbalimbali iliyopo kwa ajili...

READ MORE

Wajawazito Watozwa Elfu 50 kwa Kujifungulia Nyumbani – Video

WANANCHI wa kijiji cha Mapanda wilayani Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia kitendo cha kutozwa faini ya shilingi 50,000 katika Kituo cha...

READ MORE

Halima Mdee Amjibu Prof. Kabudi, ‘Avuruga Tena Bunge’ – Video

Mbunge wa Kawe (Chadema) Halima Mdee, amesimama Bungeni leo katika mkutano wa 12 na kuchangia hoja katika katika mjadala unaohusu...

READ MORE

Moto wa Msigwa Bungeni Leo, Wabunge Hoi – Video

Mbunge wa Iringa Mjini, Mch Peter Msigwa, amesimama Bungeni na kuihoji serikali kupitia kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt....

READ MORE

BUNGENI LEO: Watoto Omba Omba Kupandishwa Mahakamani! – Video

  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi, Joseph Kakunda amewaagiza wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri chini...

READ MORE

Video: MASHINJI “Nani Aliwafundisha Kuweka Mimba, Mnataka Wafe?”

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezungumzia kauli ya Rais John Magufuli aliyoitoa akiwa ziarani mkoani Simiyu akiwataka wananchi wazae...

READ MORE

HALIMA WA MBAGALA AIBUKA KIDEDEA DROO YA MWISHO YA TUSUA MAISHA -VIDEO

Usiilalie bahati ya mwenzako mlango wazi! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mwanadada Halima Jabir wa Mbagala ameibuka mshindi wa droo...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Iringa ashinda Milioni 239. 4 za M-Bet

  Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa, Ibrahim Pius Mbwilo (28) ameshinda Sh 239,417,800 kupitia mchezo wa Perfect 12 unaoendeshwa...

READ MORE

CHADEMA: Rais Magufuli Arudishe Katiba ya WARIOBA – Video

Baraza la Wazee la Chadema limemtaka Rais Dkt. Jon Magufuli kuirudisha Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo mchakato...

READ MORE

DKT. KIGWANGALLA ARUHUSIWA KUTOKA MUHIMBILI – PICHA

JAPO la Madaktari Bingwa wa MOI linalomhudumia Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla limemruhusu kutoka wodini baada ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maalim Seif Kutua Chadema Kuwania Urais- Video

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema endapo migogoro ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) itaendelea basi watamshawishi Katibu Mkuu...

READ MORE

Waziri Kabudi: “Mnaikejeli Mahakama? Nitaleta Marks Zenu Hapa” – Video

Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amesimama Bungeni leo katika mkutano wa 12 na kutoa ufafanuzi kuhusiana na...

READ MORE