×

Kitaifa

Walioiba Bilioni 2 Wanaswa Iringa

Jeshi la Polisi Mkoani Iringa linafanya Uchunguzi/Upelelezi dhidi ya Watuhumiwa wa wizi wa fedha za kitanzania kiasi cha TSh 2,129,856,000...

READ MORE

Nanai Ajiuzulu TPSF

Francis Nanai ameachia nafasi yake ya Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) akiwa ametumikia nafasi hiyo kwa karibu...

READ MORE

TANZIA: Mwele Malecela Afariki Dunia

TAARIFA za kusikitisha zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa Dkt. Mwele Ntuli Malecela amefariki dunia, leo Alhamisi, Februari 10, 2022, Geneva...

READ MORE

Chongolo, Shaka Wamjulia Hali Prof. jay

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (Leo) Alhamis, Februari 10, 2022 akiwa ameambatana na Katibu wa...

READ MORE

Kocha Afariki Baada ya Mchezaji Wake Kukosa Penati

KOCHA wa Timu ya Kingurunyembe yenye maskani yake mjini Morogoro Emanuel Peter Dihoko amefariki kwa mshtuko baada mchezaji wake kukosa...

READ MORE

Kubenea: Bila Rais Samia Magazeti Yangu Yasingerudi

MKUREUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Hali Halisi Publishers, Saed Kubenea, amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kufungua ukurasa mpya na vyombo...

READ MORE

Sheria ya Vyombo vya Habari Kufumuliwa Upya – Video

SERIKALI kupitia idara ya Habari Maelezo imesema itaunda kamati maalum ya wanahabari na wadau wa habari nchini kujadili na kupitia...

READ MORE

Rais Samia Afunguka Anavyoisikia Sauti ya Magufuli

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya mzunguko...

READ MORE

Kilimanjaro: Nyumba 20 Zasobwa na Maji, Mmoja Afa

MVUA  kubwa zilizoambatana na upepo mkali zinazoendelea kunyesha baadhi ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro, zimeezua  mapaa na kubomoa nyumba ...

READ MORE

Rais Samia Mzigoni Tena Leo Dodoma

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumatano, Februari 9, 2022 ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya mzunguko wa...

READ MORE

DCB Yaingia Visiwani Zanzibar Kwa Kishindo

  BENKI ya Biashara ya DCB imesema imejipanga kufungua tawi la benki visiwani humo ikiwa ni kuunga mkono juhudi za...

READ MORE

Rais Samia Atoa Maagizo Kukamilisha Mfumo wa Anwani za Makazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshiriki katika Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa Kuhusu...

READ MORE

Aliyekuwa Mgombea Uenyekiti Ajiondoa ACT

Mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo Hamad Masoud ambaye alikuwa mgombea nafasi ya uenyekiti katika uchaguzi uliomaliza wiki iliyopita...

READ MORE

Watu 22 Mbaroni kwa Mauaji Mbeya

KUFUATIA kuwepo kwa wimbi la matukio ya mauaji jijini Mbeya, Jeshi la Polisi mkoani humo limewatia nguvuni watu 22 kwa...

READ MORE

Rasi Samia Atoa Maagizo kwa Wakaguzi wa Ndani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaagiza Wakaguzi wa ndani wa Halmashauri kufanya kazi kwa...

READ MORE

Asakri: Hatukumshuhudia Mbowe Akipanga Ugaidi

INSPEKTA Tumaini Swila amedai yeye pamoja na wapelelezi wenzake hawakuwahi kumshuhudia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiwa katika kikao cha...

READ MORE

Sabaya: Amaliza Kujitetea

MSHITAKIWA wa kwanza katika kesi ya uhujumu uchumi, Lengai Ole Sabaya (35) amemaliza kujitetea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa...

READ MORE

Mwanafunzi Afariki, Watatu Walazwa Baada ya Choo Kuporomoka

MWANAFUNZI mmoja alifariki na wengine watatu walilazwa hospitalini baada ya choo cha shule ya upili ya Nyabondo kuporomoka. Tukio hilo...

READ MORE

Wasira: Sitaki Tena Urais

MBUNGE wa zamani na Waziri Mstaafu wa Wizara mbalimbali nchini, Mzee Steven Wasira amesema kuwa kwa sasa hana mpango tena...

READ MORE

Rais Samia: Nassari Alikuwa Akituchachafya Bungeni

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu,  Februari 7, 2022 akiwa kwenye ziara Mkoani Mara amesema anashukuru kwamba taarifa...

READ MORE

Madarasa Yageuzwa Kituo cha Kuvuta Bangi

​​​​​​​WANAFUNZI wanaosoma katika shule mbili za msingi za Kijichi wilayani Temeke mkoani Dar es Salaam, wako hatarini kuathirika kiafya na...

READ MORE

Moto Waua Watoto Wawili Ndani ya Nyumba

WATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kukosa hewa ya kutosha chumbani katika nyumba waliyokuwa wakiishi katika Kijiji...

READ MORE

Serikali Yahimiza Wananchi Kulipia Kwa Wakati Viwanja Vilivyopimwa

Serikali imetoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kulipia kwa wakati gharama za maandalizi ya Hati za...

READ MORE

NMB Yazindua Uuzaji wa Hati Fungani Maalum

  Benki ya NMB imetangaza kuanza kuuzwa rasmi kwa hati fungani ya miaka mitatu inayomlenga mwekezaji yeyote aliye tayari kuwekeza...

READ MORE

Maafisa Ugani Wapigwa Msasa, Kupeleka Elimu Vijijini

Kampuni ya Bens Agrostar CO Company Ltd imewapa elimu mbalimbali maafisa ugani  wa kampuni hiyo namna bora watakavyomsaidia mkulima katika...

READ MORE

DC Nyangasa Aitaka TCB Kuongeza Wigo Wa Huduma Zake

MKUU wa Wilaya ya Kigamboni, Fatuma Almasi Nyangassa, ameiomba benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) kupanua wigo wa huduma zake...

READ MORE

BETWAY Yazindua Programu Ya Maboresho ya Viwanja Vya Michezo

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya kimataifa, Betway Tanzania imezindua rasmi programu yake ya maboresho ya viwanja vya michezo. Programu...

READ MORE

Mwalimu Auawa kwa Kupigwa na Kitu Kizito

MWALIMU wa Shule ya Msingi Kisokwe, Wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma Albert Kaguli (43) amekutwa ameuawa na watu wasio julikana kwa...

READ MORE

Ratiba ya Kukatika Umeme Februari 6, Hii Hapa

Shirikal la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Rukwa, limetoa taarifa ya kukatika umeme kesho Februari 6, 2022 kuanzia saa 1:00...

READ MORE

Breaking: Zungu, Kigwangalla, Mwinyi Wajitosa Unaibu Spika

Wabunge wanne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, wamechukua fomu za kuwania kugombea unaibu Spika, leo Febriari 5 jijini Dodoma....

READ MORE

Mganga wa Jadi Adaiwa Kuua Wateja Wake Wawili na Kuwatupa Msituni

WATU wawili, Suzana Mtitu (38) na Kassim Kitamkanga (35) wakazi Makambako Mkoani Njombe wamekutwa wamefariki katika msitu wa Tanwat uliopo...

READ MORE

Kimbunga Batsirai Chatabiriwa Kutua Tanzania

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Batsirai katika maeneo ya Kusini Magharibi mwa...

READ MORE

Morrison Atajwa Kuibukia Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison amemamisha kwa muda hadi suala...

READ MORE

Mke Ajinyonga Kwenye Gesti ya Mumewe

KATIKA hali isitokuwa ya kawaida, mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Naomi mkazi wa Mji mdogo wa Katoro Wilayani...

READ MORE

Sakata la Askari Kujinyonga, Mauaji Kilindi, Majaliwa Aagiza Kusimamishwa Kazi RPC, RCO

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro awasimamishe kazi maafisa wa Polisi wa...

READ MORE

Kikwete: Rais Samia Alipokea Wadhifa Huo Kipindi Kigumu

Rais mstaafu awamu ya nne, Jakaya Kikwete amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake mzuri wa Serikali na CCM,...

READ MORE

Waya wa Umeme Waua Watu 26 Sokoni

TAKRIBAN watu 26 wamefariki baada ya waya wa Umeme kukatika na na kuanguka sokoni katika wilaya ya Matadi – Kibala...

READ MORE

Misri Yaitungua Cameroon, Sasa Kucheza Fainali na Senegal

TIMU ya taifa ya Misri Pharaos imeingia tena katka fainali za kombe la mataifa ya Afrika 2021 baada ya kuwafunga...

READ MORE