×

Kitaifa

DRC Mwanachama Mpya EAC

Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wameridhia nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuwa mwanachama wa...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti Mpya, CAG Asema Deni la Taifa Limepanda Tsh. 7.76 Trilioni

Deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.76 trilioni mwaka uliopita hadi kufikia Sh64.52 trilioni kufikia Juni 30, 2021. Hayo yamesemwa...

READ MORE

RPC Aliyekitaka Kiti cha Sirro Aondolewa Kupisha Uchunguzi

Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amefanya mabadiliko ya Ma RPC akiwamo Wankyo Nyigesa kutoka Kagera kwenda Makao Makuu....

READ MORE

Geita: Mfanyabiashara Adaiwa Kubaka na Kulawiti Watoto Watatu

JESHI la Polisi mkoani Geita linamtafuta mkazi wa Kijiji cha Bukori (jina limehifadhiwa), kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto...

READ MORE

Breaking: Prof Ngowi Afariki Dunia

Makamu Mkuu wa Chuo Cha Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka anasikitika kutangaza kifo cha Profesa Honest Ngowi na dereva wake, waliofariki...

READ MORE

Halotel Waja na “Shinda na Halopesa” Shuhudia

  Kampuni ya huduma za Mawasiliano ya mkononi nchini ya Halotel Tanzania kupitia mfumo wake wa kifedha wa Halo Pesa...

READ MORE

NMB Yazindua Huduma ya Wakala kwa Simu za Mkononi

      Benki ya NMB imezindua huduma maalumu ya kuweka na kutoa pesa kirahisi kupitia wakala watakao tumia simu...

READ MORE

Tanzania: Tunaendelea na Uboreshaji wa Sera na Mitaala ya Elimu

  Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameshiriki Mkutano wa Kimataifa Doha Forum kuhusu masuala ya Maendeleo uliofanyika...

READ MORE

Walimu Sengerema Sekondari Walia Kuishi Nyumba Chakavu

Walimu 25 kati 49 shule ya sekondari Sengerema iliyoko Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza wameiomba Serikali kuwasaidia kukarabati nyumba zako...

READ MORE

Jamhuri Waweka Pingamizi Kesi ya Kutaka Makonda Ashtakiwe

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni Jijini Dar es Salaam inatarajia kuanza kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wajibu maombi katika kesi...

READ MORE

Lori Laparamia Nyumba ya Mtu Morogoro na Kuua Watatu!

Watu watatu wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha lori la mizigo lenye namba za usajili T 947 BQB...

READ MORE

Mke Wa Makamu Wa Rais Mama Jenisia Mpango Azindua Nembo

TAASISI ya Ukaguzi wa hesabu za ndani (IIA) imezindua nembo mpya pamoja na tovuti (Website) kwaajili ya kuelimisha Umma juu...

READ MORE

Hatimaye Mzee Mrema Afunga Ndoa na Binti Mbichi Kabisa

Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Part (TLP), Augustino Mrema leo Alhamisi Machi 24, 2022 amefunga ndoa na Doreen Kimbi...

READ MORE

EU Yaitaka Urusi Kusitisha Mapigano Ukraine

  UBALOZI wa Ufaransa nchini pamoja na Umoja wa Ulaya umesema zinasimama na Ukraine katika kuhakikisha ya kwamba vita baina...

READ MORE

Njombe: Maiti Yaokotwa Mto Ruhuji Njombe

Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Njombe kwa kushirikiana na wananchi mkoani humo wamefanikiwa kuokoa mwili wa mwanaume anayekadiriwa kuwa...

READ MORE

Uwajibikaji wa Nmb Kwa Jamii Wagusa Wengi Mikoa Hii..

  Moja ya sababu kubwa ya kuifanya Benki ya NMB kuendelea kuwa benki kubwa na kinara katika utoaji wa huduma...

READ MORE

Breaking: Abdul Nondo Afutiwa Kesi

MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, Divisheni ya Iringa, imeifuta rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kupinga uamuzi wa Mahakama...

READ MORE

Siku 365 Za Rais Samia Zaweka Alama ya Mafanikio Sekta Masoko ya Mitaji

  Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya...

READ MORE

Kishindo Fainali NMB MastaBata, Mil. 90/- Kwa Washindi 30.

MIEZI mitatu ya Kampeni ya ‘NMB MastaBata – Kivyako Vyako,’ iliyoendeshwa na Benki ya NMB,imefikia tamati leo kwa wateja 30...

READ MORE

Mtoto Adaiwa Kulawiti Wenzake 19

Kesi nane za ukatili wa kingono kati ya 19 zinazohusu watoto waliodhalilishwa na mtoto mwenzao mwenye umri wa miaka 14...

READ MORE

Serikali Itaendelea Kuboresha Sekta ya Uwekezaji: Waziri Makamba

Serikali imesema itaendelea kushirikiana kampuni ya usambazaji mafuta ya Total Energies ili kuboresha sekta hiyo ya mafuta hapa nchini. Akizungumza...

READ MORE

Zaipuna: Mwaka Mmoja wa Rais Samia Umeleta Mafanikio Makubwa

Mwaka mmoja wa utawala wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, umekuwa ni mfano mzuri...

READ MORE

‘Mfalme Zumaridi’ na Wenzake Wafikishwa Mahakamani

Diana Bundala maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake 84 leo Alhamisi Machi 17, 2022 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Washindi 100 wa Droo ya 10 NMB MastaBata Wapatikana

    DROO ya wiki ya mwisho ya msimu wa tatu wa Kampeni ya ‘NMB MastaBata Kivyako Vyako’ inayoendeshwa na...

READ MORE

Mwanafunzi ajinyonga kwa waya Dar

Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari Mpigimagohe iliyopo Mbezi, Abdul Kasuku (16) amejiua kwa kujinyonga kwa waya...

READ MORE

Ahukumiwa Miaka 30 Jela kwa Kumbaka Mwanafunzi Mara mbili

Furaha Samweli Ligate (26) mkazi wa kijiji cha Unyangala wilaya ya Makete mkoani Njombe amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela...

READ MORE

Serikali Yakamilisha Mifumo Ya Kidigitali Ya Wasanii

Serikali kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Bodi ya Filamu na Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) imefanikiwa kuzindua mifumo...

READ MORE

Naibu Spika Zungu Aipongeza NMB Kwa Kuwakumbuka Wamachinga

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Hassan Zungu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

NMB, eGovernment Z’bar Zasaini Makubaliano Makusanyo Mapato

Benki ya NMB na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kupitia Wakala wa Serikali Mtandao ‘eGovernment Zanzibar’, wamesaini makubaliano ya...

READ MORE

Mke Ataka Kumtoa Uhai Mumewe

Mwanamke aitwae Zainabu Mahomoka 35 ambaye ni Mkulima kutoka kijiji cha Makonjiganga Wilayani Liwale mkoa wa Lindi amenusurika kushitakiwa Mahakamani...

READ MORE

Prof. Kitila aibuka na Katiba Mpya

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Prof. Kitila Mkumbo amesema nchi ilishapiga hatua kwenye suala la Katiba Mpya kwani ilishakubaliana Mwaka...

READ MORE

Spika Tulia Awatembelea Prof. Jay na Mama wa Halima Mdee

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), leo Machi 14, 2022 amewatembelea na...

READ MORE

Diamond: Naweza Kufanya Shoo na Kiba

Supastaa wa muziki Bongo anayetamba na EP yake ya FOA, Diamondp Platnumz kwenye mahojiano na Wasafi FM leo Machi 14,...

READ MORE

Leseni Maudhui ya Mtandao Bei Yapungua

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati akitoa taarifa ya mafanikio ya mwaka mmoja wa Serikali...

READ MORE

Nape: Haikuwa Sawa Kulazimisha Viongozi Kununua Laini za TTCL

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwamba haukuwa utaratibu sahihi kuwalazimisha viongozi wa serikali kumiliki...

READ MORE

Nape: Tukatae Kuitwa Wanyonge

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amewataka Watanzania kuachana na dhana ya unyonge kwani kauli ya...

READ MORE

Mtoto akatwa nyeti Geita

Familia ya mtoto mwenye umri wa miaka 17 mkazi wa wa Kitongoji cha Afya mji mdogo Katoro, imeiomba Serikali na...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukamatwa na Meno ya Tembo

JESHI la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam kwa kus hirikiana na Kikosi Kazi cha Kuzuia na Kupambana na Ujangili...

READ MORE

Mwanafunzi Simiyu Ajeruhiwa na Fisi Akienda Shule

Mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Somanda A iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bariadi mkoani Simiyu, Hollo...

READ MORE

Tamasha la Muziki la Serengeti Kutikisa Dodoma

Macho na masikio ya watanzania, wapenda muziki na dunia nzima siku ya Jumamosi na Jumapili Machi 12 na 13, 2022...

READ MORE