×

Kitaifa

Rufaa ya Sugu na Masonga Yapokelewa Mahakama Kuu

  Rufaa ya kupinga hukumu ya kifungo cha mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda...

READ MORE

Mvua Zang’oa Daraja la Kivule, Ilala

DARAJA la Kivule lililopo eneo la Sirari Wilaya ya Ilala limekatika kutokana na mvua zilizoanza kunyesha jana jijini Dar es...

READ MORE

BREAKING: Daladala Yagonga Magari Mawili Temeke – Video

AJALI mbaya ya gari imetokea leo Machi 1, 2018, maeneo ya Temeke, baada ya basi ya abiria (Daladala) aina ya...

READ MORE

Benki ya NMB yazindua tawi jipya Kigamboni 

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa (wa tatu kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tawi jipya la Benki ya...

READ MORE

SERIKALI YATOA BILIONI 1.92 KUBORESHA AFYA NANYAMBA  

    SERIKALI imepeleka sh. bilioni 1.92 katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba wilayani Mtwara kwa ajili ya ujenzi na...

READ MORE

HUU NDIYO UKWELI KUHUSU KUNYONGWA KWA JACK PATRICK, BINTI KIZIWI CHINA

  DAR ES SALAAM: Wakati Wabongo Baraka Malali na mkewe, Ashura Mussa wakazi wa Magomeni jijini Dar wakisubiri hukumu ya...

READ MORE

Wastara Arejea Kutoka India kwa Matibabu, Yuko Fiti – Video

MSANII wa Bongo Movie, Wastara Juma amerejea Tanzania leo Alhamisi, Machi 1, 2018 akitokea  India alikokuwa akitibiwa mguu na mgongo...

READ MORE

Shilole Ahukumiwa kwa Utapeli, Mahakama Kukamata Mali Zake! – Video

MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 14 na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya...

READ MORE

TANZIA: NYOTA WA ZAMANI WA SIMBA SC AFARIKI DUNIANI

MCHEZAJI nyota wa zamani wa Simba, Urther Mambeta amefariki dunia jana jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda...

READ MORE

CDF Mabeyo Awatahadharisha Watanzania

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo amewahadharisha Watanzania na kuwataka wajiepushe na vitendo vinavyoweza kutishia...

READ MORE

GIGY MONEY: NIMEKUA, NAACHA UTOTO!

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kwa sasa ameachana na mambo ya kitoto ili...

READ MORE

Tanzania Yazikana Meli za Korea Kaskazini

WAZIRI wa Mambo ya Nje, Dk. Augustine Mahiga amewafahamisha  mabalozi wa nchi tano ambazo ni wajumbe wa kudumu wa baraza...

READ MORE

Maandamano Yamponza Lwakatare

MBUNGE wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo...

READ MORE

TRA Yasitisha Utaratibu wa Utawala wa Forodha Kati ya Tanzania na DRC

  MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA) imetangaza kusitisha Utaratibu wa Utawala wa Forodha kati ya Tanzania na Jamhuri ya Kidekrasia...

READ MORE

Kisutu: Yaliyojiri Kesi ya Tido Mahakamani Leo

  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando,  amesomewa maelezo ya awali ya kesi ya matumizi mabaya...

READ MORE

Wafuasi 3 wa Chadema waliojeruhiwa Kwa Risasi Wafikishwa Mahakamani

Wafuasi 3 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliojeruhiwa kwa risasi wakati Polisi wakitawanya waandamanaji Kinondoni wafikishwa Mahakamani Makada...

READ MORE

KAMPUNI ZA TANZANIA, KOREA ZASAINI USHIRIKIANO KATIKA UJENZI

  KAMPUNI  mbili za Tanzania, Blue Mark iliyo chini ya Mkurugenzi wake, Eric Shigongo,  na JONTA Investment  Ltd  iliyo chini...

READ MORE

Makamu wa Rais Amsaidia Wheel Chair Mama Aliyegongwa na Lori

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempatia kiti cha magurudumu (wheel chair), Bi....

READ MORE

Wastara sasa Yupo Fiti, Kurejea Nchini Kesho Alhamisi

HAKIKA Mungu ni muweza! Wastara Juma ambaye yupo kwenye matibabu ya mguu katika Hospitali ya Saifee nchini India imeimarika na...

READ MORE

AFYA YA WASTARA MUNGU MKUBWA!

MUNGU mkubwa! Afya ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma ambaye yupo kwenye matibabu ya mguu katika Hospitali ya...

READ MORE

MBOWE, Wenzake Wasota Sentro 5, Waachiwa kwa Dhamana -Video

  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wengine watano wa chama hicho wameachiwa kwa...

READ MORE

BABA MCHUNGAJI AMTOROKA MKEWE, AENDA KUOA ‘KIFAA’ – VIDEO

HII ni aibu ya baba mchungaji! Mchungaji wa Kanisa la Elgibbon Ministry lililopo Songwe mkoani Mbeya, Imani Kalinga amejikuta akipata...

READ MORE

MWANAFUNZI ATOWEKA SIKU 30, APATIKANA, AFARIKI

MWANAFUNZI wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mikocheni B, Khadija Ally Masoud (15), amefariki dunia Jumamosi iliyopita baada...

READ MORE

Kigogo TRA Anayedaiwa Kumlawiti Mtoto Anyimwa Dhamana

MAHAKAMA Kuu Zanzibar Vuga, imemnyima dhamana mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Hassan Abuutwalib maarufu Kiringo ambaye anashtakiwa kwa...

READ MORE

Benki ya NMB yafungua tawi jipya Ruaha, Iringa

  BENKI ya NMB Tanzania imezindua tawi jipya Ruaha ambalo limeanzishwa kwa lengo la kusogeza huduma za kifedha karibu zaidi na...

READ MORE

UFISADI BIL 224 MLIMANI CITY ZIMEENDA WAPI?

  SAKATA la ufisadi katika mkataba wa Mradi wa Majengo ya Biashara ya Mlimani City kati ya Chuo Kikuu cha...

READ MORE

FATUMA KARUME, BOB WANGWE KUISHTAKI SERIKALI

  WAKILI Fatma Karume  na Bob Wangwe  watafungua kesi mahakamani kupinga wakurugenzi kusimamia uchaguzi nchini.   Akizungumza na wanahabari leo,...

READ MORE

BREAKING: MBOWE AISHUTUMU NEC, JESHI LA POLISI

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameishutumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa walishindwa...

READ MORE

Majaliwa Aiagiza Kuwakamatwa Aliyekuwa Mkugenzi wa Masasi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Mtwara Bw. Stephen Mafipa  kumtafuta popote alipo na kumkamata aliyekuwa...

READ MORE

ANAYEDAIWA DEREVA BODABODA AUAWA, MWILI WATUPWA! – VIDEO

MTU mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amekutwa ameuawa huku mwili wakwe ukiwa umetupwa vichakani katika eneo la Oysterbay...

READ MORE

Wafanyabiashara wa Tanzania, Korea wakutana kujadili sekta ya ujenzi

  Baadhi ya wafanyabiashara wa Tanzania na Korea, wamekutana na kujadili namna ya kukuza sekta ya ujenzi hapa nchini.  ...

READ MORE

Kamanda wa Polisi Arusha Apata Ajali

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo amepata ajali katika eneo la Mdori mkoani Manyara baada ya gari alilokuwa...

READ MORE

Mastaa Walivyoguswa na Kifungo cha Sugu

KUFUATIA Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga kuhukumiwa jela...

READ MORE

MAHAKAMA YAITUPA KESI YA MCHUNGAJI MWINGIRA

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeitupilia  mbali kesi ya madai iliyofunguliwa na Dkt. William Morris, raia wa Marekani dhidi...

READ MORE

Chadema Kukata Rufaa Kumnasua Sugu Jela

CHAMA cha Demkorasia na Maendeleo (Chadema) kimekusudia kukata rufaa ya kupinga hukumu iliyotolewa leo dhidi ya Mbunge wa Mbeya Mjini,...

READ MORE

Polisi: Wema Aliniambia Anatumia Bangi Kujistarehesha Tu!

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea na kesi inayomkabili muigizaji Wema Sepetu ambapo Ofisa wa Polisi WP Mary ameieleza mahakama kuwa mnamo Februari...

READ MORE

‘Freemasonry Mnyonya Damu’ na Tapeli Akamatwa na Polisi Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia, Rajabu Mohamed(25) anayejifanya ni Freemason na amekuwa akifanya ukatili,unyanyasaji wa...

READ MORE

Shy-Rose Bhanji Akanusha Kupinga Utawala wa JPM

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shy-Rose Bhanji amekanusha taarifa ilisambaa...

READ MORE

Taharuki: Lori Lenye Shehena ya Sementi Nusura Liue

LORI la mizigo  lililokuwa limebeba sehena ya saruji limezua taharuki kwa wakazi wa Jiji la Mbeya baada ya kushindwa kupandisha...

READ MORE

SportPesa Kukarabati Nyumba ya Madaktari Zanzibar

  KAMPUNI ya Michezo ya Kubashiri nchini ya SportPesa Limited, imekubali kufanya ukarabati wa nyumba kwa ajili ya madaktari wawili...

READ MORE