×

Kitaifa

Jaji Lubuva Ataka Tume ya Uchaguzi Ifumuliwe

DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva ameitaka serikali kubadili muundo wa...

READ MORE

Sumaye Asema Hatikisiki na Hatarudi CCM Hata Anyang’anye Mashamba Yake Yote

Siku moja baada ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kutangaza nia ya Serikali kumnyang’anya shamba...

READ MORE

DC Hapi Atembelea Wajasiriamali Wa Airtel Fursa

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi akikagua bidhaa za wajasiriamali wadogo waliowezeshwa kupitia mpango wake wa Airtel Fursa. Kulia...

READ MORE

Viongozi Kamati za Bunge Wachunguzwe – Ole Sendeka

Serikali ya awamu ya tano imetakiwa kuchunguza akaunti za viongozi wa Kamati za Bunge waliokuwa wakisimamia mashirika ambayo yamebainika kuwa...

READ MORE

Haijalishi Mtandao Wako Uko Vipi, Tecno Phantom 6 Plus Inatereza Tu

Ukiachilia mbali Tecno Phantom 6 Plus kuwa simu iliyotengenezwa na betri inayodumu kwa muda mrefu zaidi, nikufahamishe kwamba simu hiyo...

READ MORE

Global Ilipotinga Kisutu Leo

Watuhumiwa mbalimbali wa uhalifu wakishuka ngazi baada ya kusikiliza kesi zao katika vyumba vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. …Wakipanda...

READ MORE

Yanga Yamwangukia Kocha Hans van Pluijm Kujiuzulu, Yamuomba Arejee Klabuni

DAR ES SALAA: Uongozi wa Klabu ya Yanga, umelezimika kumuangukia aliyekuwa kocha wake, Hans van der Pluijm na hii ni...

READ MORE

Bia Ya Kopo Ya Safari Lager 500ml Yaendelea Kubamba Kitaa

Bila shaka umeshaliona tangazo hili matata kabisa la Safari Lager ukipita Barabara ya Kawawa jijini Dar, wajanja wanakwambia utaalamu uliotumia...

READ MORE

Matokeo ya Darasa la Saba 2016 Yatangazwa, Bofya Hapa Kuyatazama

NECTA: Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika Septemba 8 na 9, 2016...

READ MORE

Kauli Ya Jakaya Kikwete Kwa Wanaotumia Mitandaoni Kupotosha

Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameamua kujibu kile kinachoendelea kwenye...

READ MORE

Matokeo Darasa la 7: Watahiniwa 10 Waliofanya Vizuri, Shule 10 Bora na Ambazo Hazikufanya Vizuri

Ufaulu kwa watahiniwa wa mtihani wa kumaliza elimu ya msingi 2016 umepanda kwa asilimia 2.52 kutoka asilimia 67.84 mwaka jana...

READ MORE

Basi la Hood Lagongana na Lori na Kupinduka Mlima Kitonga

IRINGA: Basi la abiria ambalo ni mali ya Kampuni ya Hood linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Arusha jana ...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Ijumaa Oktoba 28, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Ijumaa Oktoba 27, 2016. Pia usikose kutembelea...

READ MORE

Sakata la Lugumi: Hatimaye Ripoti ya Mkataba Yafika kwa Spika Job Ndugai

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Projestus Rwegasira amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa maagizo ya Bunge...

READ MORE

Sumaye Apewa Notisi ya Siku 90 Kunyang’anywa Shamba na Serikali

Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema hati ya shamba lililopo maeneo ya Bunju...

READ MORE

RC Makonda Atoa Siku 14 kwa Ma-DC Kuwaondoa Machinga

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda leo ametoa siku 14 kwa Wakuu wa Wilaya...

READ MORE

Wahukumiwa Kifo kwa Kumuua Albino Bukoba

Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo imewahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa waili Lameck Bazil na Pankras Minago kwa kumuua albino...

READ MORE

Rwanda na Burundi Zasitisha Usafirishaji Mafuta kwa Kutumia Bandari ya Mombasa, Kisa Uchakachuaji

Nchi za Rwanda na Burundi zimetangaza kuacha kusafirisha mafuta kupitia bandari ya Mombasa nchini Kenya kwa madai ya vitendo vya...

READ MORE

Tamisemi Yazindua Mkoba Wa Siku 1000

Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI, Dk. Zainab Chaula akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi huo. Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya...

READ MORE

Sekondari Mtakuja, Dar, Haina Walimu wa Hisabati

Wananchi wa Tegeta-Nyuki wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, alipokuwa katika ziara ya kutatua matatizo yanayowakabili. Ali Hapi...

READ MORE

Hizi Ndizo Shule Zilizofanya Udanganyifu Kwenye Mtihani wa Darasa la 7

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk. Charles Msonde akitangaza matokeo ya Kumaliza Elimu ya Msingi 2016,...

READ MORE

Bulaya vs Wasira: Msimamizi wa Uchaguzi Bunda Akiri Kukosea Kura

Msimamizi mkuu wa uchaguzi katika Jimbo la Bunda Mjini mwaka 2015, Lucy Msoffe amekiri kufanya makosa ya kuandika idadi ya...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Alhamisi Oktoba 27, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Alhamisi Oktoba 26, 2016. Pia usikose kutembelea...

READ MORE

Serikali Imesitisha Suala La Mabadiliko Ya Ukodishwaji Ndani Ya Yanga, Simba

 Baraza la Michezo la Taifa (BMT) kupitia katibu mkuu wake, Mohamed Kiganja akiongea na wanahabari.   Serikali imetangaza kuzuia mchakato...

READ MORE

Mwijage Kuzindua Maonyesho ya Magari Dar

Mratibu wa maonyesho hayo, Ally Nchahaga (wa kwanza kulia) akizungumza na wanahabari. Mkutano na wanahabari ukiendelea. NA DENIS MTIMA/GPL WAZIRI ...

READ MORE

Wachina Wawili Wadakwa kwa Kumteka Mwenzao

DAR ES SALAAM: JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata Wachina wawili, Wang Young Jing (37) Chen...

READ MORE

Mawaziri wa Uganda na Tanzania Watembelea Eneo Litakapojengwa Gati ya Kupakia Mafuta

Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda,...

READ MORE

Mkazi wa Kahama Akamata Kitita cha Tsh. Milioni 100 za Vodacom

  Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (katikati) akimuonesha namba ya simu Afisa mwandamizi wa  Bodi ya Michezo ya Kubahatisha...

READ MORE

Wazanzibari 40,000 Wafungua Kesi Mahakamani Kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umeingia kwenye jaribio jingine, baada ya Wazanzibari 40,000 kufungua kesi mahakamani kupinga uhalali wake.   ...

READ MORE

Vigogo wa Jeshi la Polisi Wakamatwa na Magari Matatu ya Wizi

Wakazi wa Mji mdogo wa Himo wilayani Moshi wameshangazwa na kitendo cha Jeshi la Polisi mkoani humo kutowachukulia hatua maofisa...

READ MORE

Mishahara Kupangwa Upya Na Serikali

SERIKALI imeahidi kuboresha na kuimarisha maslahi kwa watumishi wote wa umma kupitia Bodi ya Mishahara na motisha mara watakapokamilisha uhakiki...

READ MORE

Tamthiliya Ya Siri Za Familia Yapata Pigo, Mr Benson amezikwa jana Pwani

Haji Jumbe ‘Mr. Benson’ enzi za uhai wake. Mwili wamarehemu Haji Jumbe ukisitiliwa katika makaburi ya Kisutu, Bagamoyo mkoani Pwani....

READ MORE

Umeya Kinondoni: Chadema Wafungua Kesi Mahakamani Wakidai Uchaguzi Haukuwa Halali

Viongozi  wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamekimbilia mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi wa umeya na naibu meya wa...

READ MORE

Wito kwa Wakazi Dar Kunywa Dawa za Mabusha, Matende

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Grace Magembe akiongea na wakazi wa Buguruni kabla ya kumkaribisha mkuu wa...

READ MORE

Rais Magufuli Atajwa Kuwania Tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year 2016’

IKIWA ni mwaka mmoja kamili tangu kuchaguliwa kwake na kuingia madarakani kuwatumikia Watanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Alichokisema Lowassa Leo, Mwaka 1 Baada ya Uchaguzi wa Rais

IKIWA ni mwaka mmoja tangu Watanzania walipofika kwenye vituo vy kupigia kura na kumchagua rais wanayemtaka kwa mujibu wa katiba...

READ MORE

Massauni: Ajali Barabarani Zimepungua kwa Asilimia 10

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani mhandisi Hamad Massauni...

READ MORE

EFM Yamfikisha Kortini Paul James, Yamdai Fidia ya Tsh. Milioni 200

DAR ES SALAAM: Mtangazaji mahili wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Paul James ‘PJ’ amefikishwa katika Mahakama ya Kazi yaa...

READ MORE

“Euthanasia”: Mauaji ya Kumpunguzia Mgonjwa Maumivu, Mateso!

WIKI zilizopita, aliyekuwa mmoja wa wapiganiaji  utawala wa wengi  Afrika Kusini, Askofu Desmond Tutu,  wa Kanisa la Anglikana,  akiadhimisha mwaka...

READ MORE

Hatimaye Kocha Mkuu wa Yanga Awaaga Wachezaji na Benchi la Ufundi

HATIMAYE ikiwa ni siku moja baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans, Hans van...

READ MORE