×

Kitaifa

Baba Ampa Mimba Mwanae wa Kumzaa, Alishampa Mwingine – Video

WASWAHILI wanasema ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni! Hebu vuta picha kichwani mwako, baba mzazi anafanya mapenzi kwa nguvu na...

READ MORE

Kirusi cha Corona Aina ya Delta Kinatajwa Kuwa ni Hatari

MKURUGENZI wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameonya kwamba ulimwengu uko katika “kipindi hatari” cha janga la...

READ MORE

DPP Kuamua Hatma Hausiboi Aliyeua Familia Dar

JESHi la Polisi Mkoa wa Kinondoni limesema upelelezi kuhusu mauaji ya mama na watoto wake wawili wa kike umekamilika na...

READ MORE

Wateja Sabasaba Walivyovutiwa na simu Za TTCL

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepata mafanikio makubwa katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 45 ya sabasaba 2021,...

READ MORE

NBC Yashikilia Tuzo ya Taasisi za Fedha

Dar es Salaam. Benki ya NBC nchini Tanzania, imeendelea kuwa kinara kwa mara ya nne mfululizo katika maonyesho ya Kimataifa...

READ MORE

Wanafunzi 11 Geita Wafukuzwa kwa Kubainika na Makosa ya Jinai

Kufuatia matukio matatu ya moto katika Shule ya Sekondari Geita ndani ya siku saba na kusababisha wanafunzi watatu kujeruhiwa, maabara...

READ MORE

Geita Sekondari Yaungua Moto Mara ya Tatu, Yafungwa

SERIKALI imelazimika kuifunga kwa muda wa siku 14 Shule ya Sekondari Geita iliyoko mkoani Geita kutokana na matukio ya kuungua...

READ MORE

Mwanajeshi JWTZ Ajiua Juu ya Kaburi la Mkewe

ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Reginald Ruta amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa juu ya kaburi la...

READ MORE

Joshua Nassari Azindua Duka la Vodacom Wilaya Bunda

  Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Joshua Nassari  amezindua duka la Vodacom wilayani humo mwishoni mwa wiki ambapo...

READ MORE

Tanzia: Gardiner Afiwa na Mama Yake

MTANGAZAJI maarufu nchini wa Traffic Jamz ya Clouds FM, Gardner G. Habash amefiwa na mama yake mzazi, Mama Habash.  ...

READ MORE

🔴#Live: Rais Samia Ashiriki Kongamano la Kumbukizi ya Hayati Mkapa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, Ashiriki Katika Kongamano la Kumbukizi ya Rais wa Awamu...

READ MORE

Waganga wa Jadi Wajenga Madarasa

WAGANGA 87 wa tiba asilia wamefanikiwa kujenga vyumba viwili vya madarasa kwa kutumia fedha zao za uganga, katika Shule ya...

READ MORE

Mtaka: Msiwasikilize Sababu ya Uwaziri, Wanakula Viyoyozi – Video

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthon Mtaka amewataka wananchi wa Mkoa wa Dodoma kumsikiliza yeye katika suala la elimu kwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Zanzibar Afunga Maonyesho ya Sabasaba – Video

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdullah leo Julai 13, 2021, amefunga rasmi maonyesho ya Sabasaba...

READ MORE

Kampuni ya Mafuta Yazuiwa Kuchukua Pesa Kwenye Benki

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imezuia kwa muda Kampuni ya Alchemist Energy Trading DMCC ya Dubai...

READ MORE

Zanzibar Yaanza Kutoa Chanjo ya Corona

Wahudumu wa afya visiwani Zanzibar wameanza kupokea dozi ya kwanza ya chanjo ya covid-19. Serikali ya Zanzibar imethibitisha kuwa dozi...

READ MORE

Ndege ya Uganda Yaishiwa Mafuta Dar

ABIRIA wanaokwenda Uganda kwa kutumia ndege ya Shirika la Uganda Airlines walichelewa kuondoka jana jioni katika uwanja wa ndege wa...

READ MORE

Raia Alieutaka Urais Akamatwa kwa Mauaji ya Rais Haiti

Polisi nchini Haiti wanasema wamemkamata daktari ambaye wanaamini ni mshukiwa mkubwa katika kupanga mauaji ya wiki iliyopita ya Rais Jovenel...

READ MORE

Shinyanga Yakanusha Kuzidiwa na Wagonjwa wa Corona

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati, amekanusha uvumi uliosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa mkoa huo ume zidiwa...

READ MORE

Tabora: Awachinja Watoto na Kuwazika Ndani, Aiba Ng’ombe

Kijana mmoja anatuhumiwa kuua Watoto wawili wa kiume wenye umri wa miaka 12 ambao aliwarubuni na kuchukua ng’ombe walizokuwa wakichunga....

READ MORE

Wizara Zakutana Kujadili Utekelezaji wa Kikokotoo cha Mirahaba Kwa wasanii

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt .Faustine Ndugulile MB, pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa...

READ MORE

Mwanamke Akutwa Mtupu , Ameuawa Shinyanga Mjini

MWANAMKE Lucia Michael maarufu Mama Kulwa, mkazi wa Majengo Manispaa ya Shinyanga, amekutwa ameuwa na watu wasiojulikana, na mwili wake...

READ MORE

Nyoka Azua Gumzo Akitoa Heshima za Mwisho Kaburi la Marehemu

Wakazi wa kijiji cha Kampi Samaki katika Kaunti ya Baringo nchini Kenya wamepata mshangao baada ya kushuhudia nyoka mkubwa akitoa...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amezungumza kwa njia ya mtandao na Rais wa Baraza...

READ MORE

Wafanyabishara watatu Dar Wadakwa na Dawa za Kulevya

  Wafanyabishara watatu wa jijini Dar es Salaa wamefikishwa katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Tuhuma za Kumpa Ujauzito Mlemavu wa Akili

POLISI Mkoa wa Kusini Pemba, imethibitisha kumshikilia mwalimu mstaafu Mohamed Kassim (60), kwa tuhuma za kumpatia ujauzito mtoto mwenye ulemavu...

READ MORE

Radi Yaua Watu 11 Wakijipiga Selfie

WATU takribani 11 wamefariki dunia hapo jana Kaskazini mwa nchi ya India baada ya kupigwa na radi wakati wakijipiga picha...

READ MORE

Maandalizi ya Sensa 2022 Yaanza

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk Albina Chuwa amesema maandalizi ya sensa ya sita nchini yanaendelea kama ilivyopangwa. Dk Chuwa ameyasema...

READ MORE

Ifahamu Historia ya Soko la Kariakoo

Soko Kuu la Kariakoo lipo katika kiwanja namba 32 mtaani Kariakoo, katikati ya makutano ya mtaa wa Mkunguni na mtaa...

READ MORE

Kukosa Penati! Bukayo, Rasford, Sancho Wakumbana na Ubaguzi wa Rangi

BUKAYO Saka, nyota wa timu ya taifa ya England baada ya kukosa penalti kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Italia...

READ MORE

Serikali Yatangaza Operesheni Punguza Mahabusu

Jeshi la Magereza Serikali imeanzisha Operesheni Maalumu ijulikanayo kwa jina la ‘Operesheni Punguza Mahabusu’ kwa lengo la kukabiliana wingi wa...

READ MORE

Dk. Diallo Aomba Radhi Kauli Yake Tata

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi ‘kiaina’ baada ya kauli yake kuzua...

READ MORE

Balaa la Bomoabomoa Mpya Kutikisa Dar

Baadhi ya wakazi wa Kimara watakumbana na bomoabomoa nyingine baada ya Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Dar es...

READ MORE

Vinara Matokeo Kidato cha Sita Baobab Wamkuna Mwalimu Wao

  SHULE ya Sekondari Baobab ya Mapinga Bagamoyo imefanikiwa kufaulisha wanafunzi wote kwenda vyuo vikuu mbalimbali ndani na kufanikiwa kutoa...

READ MORE

Waziri Jafo: Wananchi Fanyeni Kilimo Endelevu Kulinda Mazingira

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Jafo amewataka wananchi kutumia ardhi kufanya...

READ MORE

NMB Yaja na Utaratibu Mpya wa Kuweka Akiba ‘SPEND 2 SAVE’

Benki ya NMB imekuwa ya kwanza nchini kumuwezesha mteja kuweka akiba kila anapofanya miamala kwa kuzindua huduma maalum kwa ajili...

READ MORE

Breaking: Soko la Kariakoo Laungua Moto

Breaking News: Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa, Soko Kuu la Kariakoo lililoko Ilala jijini Dar es salaam linawaka moto...

READ MORE

Watu 408 Wana Corona Tanzania, 284 Wanapumulia Mashine

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima amesema hadi kufikia Julai 8, 2021 jumla...

READ MORE

Wanafunzi 10 Bora Sayansi Kidato cha Sita 2021

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2021 na kutaja wanafunzi kumi bora waliofanya...

READ MORE

Singida Kinara Matokeo ya Mtihani Kidato cha Sita 2021

Mkoa wa Singida umetajwa kuwa kinara wa matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 2021.   Akitangaza matokeo...

READ MORE