×

Kitaifa

Waziri Mpango Awasilisha Mapendekezo ya Kiwango na Ukomo wa Bajeti

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti...

READ MORE

Mdogo wa Wema Adaiwa Kunaswa na Madawa, Aunt Amwaga Machozi (Picha + Video)

WAFANYABIASHARA wanne wa Dar es Salaam, wamefikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kukutwa...

READ MORE

Brazil: Watu 2,286 Wafariki kwa Covid19 ndani ya Saa 24

Siku ya Jumatano watu 2286 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na Ugonjwa wa Corona nchini #Brazil kwa mujibu wa takwimu za...

READ MORE

Mnada wa Bajaji Kutikisa Dar Jumamosi Hii – Video

KAMPUNI ya SEPCO DEBT COLLECTION AND AUCTIONEERING COMPANY LIMITED inawatangazia mnada wa hadhara. Kwa idhini tuliyopewa na kampuni ya SUNBEAM...

READ MORE

Serikali Kumfanyia Majaribio Mtoto Charles

MTOTO Charles Mathias Mbena (6) mkazi wa Kibungo Juu, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ameonesha kipaji cha hesabu ambapo anaweza...

READ MORE

Shule Iliyoburuza Mkia Miaka Mitatu Yafanya Maajabu

Shule ya Sekondari Kome iliyoko Halmasahauri ya Buchosa Wilayani Sengerema mkoa wa Mwanza iliyoshika nafasi ya mwisho kwa miaka mitatu...

READ MORE

Naibu Waziri Katambi Alivyotembelea Global Group – Video

  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Patrobas Katambi, jana...

READ MORE

Mlinzi, Mkewe Wauawa Kikatili, Miili Yaokotwa Ndani ya Viroba – Video

MLINZI wa nyumba ya aliyekuwa Jaji wa mahakama ya Rufani Tanzania, marehemu Jaji Bethuell Milla, Samson Ndavi na mkewe Christina...

READ MORE

Tanzia: Rais Mstaafu Somalia Afariki Dunia

Rais mstaafu wa Somalia, Ali Mahdi Muhammad amefariki dunia Jumatano Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu...

READ MORE

TANZIA: Kanali Fabian Massawe Afariki Dunia

Kanali Fabian Ignas Massawe amefariki leo, Jumatano Machi 10, 2021. Kanali Massawe aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambapo...

READ MORE

Waganga wa Shinyanga Wauwa Fisi 11 Geita

  Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, imeendesha operesheni kupitia waganga wa jadi kutoka Shinyanga na kufanikiwa kuwaua fisi...

READ MORE

Walimu Wapigwa Marufuku Kuweka Rehani ATM Zao

OFISI ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), imewataka walimu kujiepusha kuweka rehani kadi zao za benki(ATM), wanapokopa...

READ MORE

Mkurugenzi Apata Ajali

  MKURUGENZI wa Taasisi ya Doris Foundation, Doris Mollel, amepata ajali leo maeneo ya Mtumba Dodoma alipokuwa akitoka kwenye kikao...

READ MORE

Mnyika Akanusha Taarifa Zinazozusha Kifo cha Mrema

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi,...

READ MORE

Katambi Awaponda Chadema “Huwezi Kujenga Ofisi, Utaweza Nchi?” – Video

NAIBU Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu, Patrobas Katambi, leo Machi...

READ MORE

Bashe: Mahindi ya Tanzania ni Salama kwa Afya

NAIBU Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema mahindi yanayotoka Tanzania yanakidhi vigezo vya kiafya kinyume na taarifa zinazosambaa kutoka Kenya....

READ MORE

Mwanafunzi TIA na Wenzake Wadaiwa Kunaswa na Kilo 31 za Heroin

JESHI  la Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na dawa za kulevya (ADU), limewakama watu wanne akiwemo mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Polisi Waeleza Mgonjwa Aliyemchoma Kisu Muuguzi

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Muslimu, amesema kuwa Polisi bado wanaendelea na uchunguzi wa tukio la mgonjwa Piche...

READ MORE

Waziri Ummy Kufungua Dirisha Maalum, Kusaidia Wanawake

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu amewaahidi Wanawake kuwasaidia kuanzisha dirisha maalumu...

READ MORE

Live: Nyumba 100 Kubomolewa Dar | Front Page

NAIBU Waziri wa nchi, ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu, Patrobas Katambi, ametembelea ofisi...

READ MORE

Rayvanny Avunja Ukimya, Aweka Wazi Kuhusu WCB – Video

MWANAMUZIKI Rayvanny usiku wa kuamkia leo Machi 10, amezindua ofisi ya studio yake iliyopo Mbezi Rainbow jijini Dar.

READ MORE

Halotel Yaunga Mkono Juhudi za Wanawake

Katika mwendelezo wakuadhimisha siku ya wanawake Duniani, kampuni ya Halotel Tanzania imeendelea kuunga mkono juhudi za wanawake wapambanaji katika majukumu...

READ MORE

Wajawazito Watafuta Wanaume Bandia

  KINA mama wajawazito wilayani Kilindi mkoani Tanga wamewalalamikia wanaume wanaowapa ujauzito kukwepa kwenda kliniki kupima afya zao kama kanuni...

READ MORE

Wizara ya Afya Yawasisitiza Mitishamba Kupambana na Changamoto za Upumuaji

  Wakati Watanzania wengi wakipambana na maradhi mbalimbali yanayosababisha changamoto za upumuaji, ikiwemo nimonia na Corona, wizara ya afya imeendelea...

READ MORE

Daktari Atimuliwa kwa Kumfanyia Upasuaji Mgonjwa ‘Guest’

  MADIWANI wa halmashauri ya Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro wamewafukuza kazi daktari na muuguzi wa hospitali ya wilaya hiyo...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukutwa na Lita 73 za Gongo

Wafanyabiashara wawili wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya Kinondoni kwa tuhuma za kukutwa na pombe ya kienyeji aina ya gongo yenye...

READ MORE

Wananchi Waonywa Kuchukua Mchanga Kaburi la Maalim Seif

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib ametoa onyo kwa watu wanaochukua mchanga wa kaburi la Marehemu Maalim...

READ MORE

Majaliwa Akabidhi Vifaa Vya Mil. 357 Kwa Wajasiriamali

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 357 kwa vikundi vitano vya...

READ MORE

Serengeti: Wanawake Walalamikia Kuolewa na Kaburi

Baadhi ya wanawake wa Wilaya ya Serengeti wamelalamikia utamaduni wa kuolewa na makaburi ambao bado upo hadi sasa kwa baadhi...

READ MORE

Serikali Yaanika Makubwa Iliyotekeleza, Mikakati Mipya – Video

KATIKA kipindi cha miaka mitano, hadi Februari 2021, serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kutekeleza jumla ya miradi 1,845 yenye...

READ MORE

Serikali Yastuka Laini za Simu Zinavyotumika Katika Matukio ya Uhalifu

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dr.Faustine Ndugulile amewasihi Watumiaji wa simu kuangalia laini zilizosajiliwa kwa majina yao kupitia...

READ MORE

Wanafunzi Zaidi ya 2,000 Hawajaripoti Shuleni Lindi

AFISA Elimu wa Mkoa wa Lindi, Victor Kayombo amesema wanafunzi 2,162 ambao ni sawa na 13% ya Wanafunzi 15,860 waliochaguliwa...

READ MORE

Morogoro: Muuguzi Achomwa Kisu na Mgonjwa, Afariki

MTAWA muuguzi wa Kituo cha Kuhudumia Wagonjwa wa Ukoma cha Nazareth kilichopo Ifakara, Agatha Mbalalila (50), amefariki baada ya mmoja...

READ MORE

Halotel, Yawasaidia Wanawake Siku ya Wanawake Duniani

Katika kuazimisha siku ya wanawake duniani, kampuni ya Halotel Tanzania imesherekea kwa kuunga mkono juhudi za wanawake katika majukumu yao...

READ MORE

Kenya Yatangaza Kutopokea Mahindi Kutoka Tanzania na Uganda

Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imedai uchunguzi umebaini kuwa mahindi yanayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa...

READ MORE

Waliojishindia Mkwanjwa wa Chemshabongo ya Gazeti la Ijumaa Wakabidhiwa Zawadi Zao

Ikiwa ni wiki nyingine tena kwa wale wasomaji wetu wa Gazeti la Ijumaa kuendelea kujinyakulia zawadi zao kupitia chemshabongo ambapo...

READ MORE

Dodoma: Mkurugenzi, Mkewe Wafa Maji

KAIMU mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa mifugo kanda ya kati, Dk Harun Chawala na mkewe, Neema Mwasanganga  wamefariki  baada...

READ MORE

Mtuhumiwa Dawa za Kulevya Alivyonaswa

  Jeshi la Polisi linamshikilia mkazi wa kwa Mustafa jijini Dar es Salaam, Lucas Joseph kwa tuhuma za kukutwa na...

READ MORE

Naibu Waziri Utalii Awataka Watafiti Kuibua Vivutio Vipya

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja amewataka watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Dar-es-salaam(UDSM) kuhakikisha wanafanya utafiti na kugundua vivutio...

READ MORE

Waziri Prof. Ndalichako Ashauri Wazazi Kushirikiana na Shule Kutatua Changamoto

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amewataka wazazi na walezi kushirikiana na shule wanazosoma watoto wao ili...

READ MORE