×

Kitaifa

Viongozi TZ na Mataifa Wamlilia Maalim Seif

  VIONGOZI mbalimbali wa Serikali nchini Tanzania na nje ya Tanzania wameomboleza kwa huzuni kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza...

READ MORE

TCRA Yazipiga Faini Bil. 38.1 Kampuni 6 za Simu

  MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA), imezipiga faini ya shilingi bilioni 38.1 kampuni sita za simu kwa kosa la kutofikia...

READ MORE

Wasanii Wekezeni Kwenye Kazi Bora Si Kiki – Dkt Abbasi

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, ametoa msimamo kuwa Serikali haitapoteza muda na...

READ MORE

Zitto: Mwamba wa Demokrasia Umeondoka – Video

KIONGOZI  Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Mwenyekiti wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, alikuwa nguzo...

READ MORE

Ifahamu Historia ya Hayati Maalim Seif

Maalim Seif Sharif Hamad alizaliwa Okotba 22, 1943 na alipitia Shule za Uondwe na Shule ya Wavulana ya Wete Kisiwani...

READ MORE

Magufuli Amlilia Maalim Seif, Atangaza Siku 3 za Maombolezo

RAIS John MagufuliI amepokea kwa masikitiko kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad,...

READ MORE

Breaking: Maalim Seif Afariki Dunia, Maombolezo Siku 7

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, ametangaza kifo cha Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad,  aliyefariki leo Jumatano...

READ MORE

Dangote: Hatuna Mpango wa Kufunga Kiwanda Tanzania

Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote Tanzania kilichopo Mkoani Mtwara jana Febuari 16, 2021 kimekanusha taarifa za uvumi wa...

READ MORE

Zuma Kushtakiwa kwa Kudharau Mahakama

MWENYEKITI wa tume ya uchunguzi kuhusu madai ya rushwa yanayomkabili aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema anataka kiongozi...

READ MORE

Rais JPM Atengua Uteuzi wa DED Kinondoni

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Aron Titus Kagurumjuli. Uteuzi wake...

READ MORE

Pichaz: Lulu na Majizzo Walivyofunga Ndoa

MSANII maarufu wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunga ndoa na mchumba wake ambaye ni CEO wa EFM na TVE,...

READ MORE

17 Mbaroni Wakituhumiwa Kuua, Kubaka na Kupora

  POLISI mkoani Mwanza inawashikilia watuhumiwa 17 wa makosa mbalimbali yakiwemo mauaji ya familia, ubakaji, ukatili wa kijinsia, uporaji na...

READ MORE

Mwita Waitara Atoa Maagizo NEMC

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na...

READ MORE

“Hatuwezi Kuwa Mateka wa Suala” – Waziri wa Kilimo

SERIKALI imeutaka uongozi wa kiwanda cha sukari Kilombero kuhakikisha inaharakisha mchakato wa uwekezaji ili kuongeza uwezo wake wa kuchakata miwa...

READ MORE

Upepo Mkali Waondoka na Nyumba za Familia, Majengo ya Shule

  FAMILIA sita katika Kijiji cha Namanguli Kata ya Luchili, wilayani Namtumbo, mkoani Ruvuma, zimekosa makazi baada nyumba zao kuezuliwa...

READ MORE

Kasi ya Ujenzi Wa Vituo Jumuishi Yamkosha Waziri wa Katiba na Sheria

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ameupongeza Uongozi wa Mahakama ya Tanzania kwa ubunifu mkubwa na matumizi...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Kusafirisha Wahamiaji Haramu

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani, limemkamata dereva wa gari lenye namba za usajili T 703 DTR aina ya Hiace,...

READ MORE

Watu Zaidi ya 60 Wafariki Dunia Ajali ya Boti

WATU zaidi ya 60 wameripotiwa kufariki dunia baada ya boti waliokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika mto Congo nchini Jamhuri...

READ MORE

Kachero Adai Alikataa Hongo Kesi Dawa za Kulevya

  SHAHIDI wa tano wa upande wa mashtaka katika kesi ya ulimaji wa dawa za kulevya aina ya bangi na...

READ MORE

Waislamu Watangaziwa Mfungo Siku 3

  KATIBU wa Baraza la Maulamaa, Sheikh Hassan Chizenga, ametaka waumini wa dini ya Kiislamu nchini  kufunga kwa siku tatu...

READ MORE

Mwanafunzi Mbaroni Akidaiwa Kumlawiti Mwenzake

MWANAFUNZI (13) wa darasa la sita wa Shule ya Msingi Maguja anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzake...

READ MORE

Askofu Mwamakula Akamatwa na Polisi

POLISI Mkoa wa Dar es Salaam imemkamata Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula wa Kanisa la Uamsho la Moravian kwa kosa la...

READ MORE

Ulega Asisitiza Matumizi ya Kiswahili Bidhaa za Ndani na Nje

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Abdallah Ulega amewataka wazalishaji wa bidhaa za ndani kuandika kwa Kiswahili...

READ MORE

DED Korogwe Afariki Dunia

MKURUGENZI wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2021, Hospitalini jijini Dar...

READ MORE

Ukatili! Anayedaiwa Kuuwa Wanawake Akamatwa Arusha – Video

JESHI la Polisi Mkoani Arusha linawashikilia watuhumiwa wa mauaji ya wanawake tisa waliouwawa kikatili maeneo ya Kisongo nje kidogo ya...

READ MORE

60 Waishia Mikononi Mwa Polisi Kilimanjaro

Watu 60 wakazi wa wilaya ya Rombo wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanajaro kwa tuhuma za utengenezaji wa pombe...

READ MORE

Bad News: Fisi Waua Watoto Wawili Geita

WATOTO wawili wamefariki dunia na watu wanne kunusurika kifo baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na kundi la fisi ambao wamekuwa...

READ MORE

Kilichowakuta Mdee na Wenzake Kortini Leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-saalam, imewasomea maelezo ya awali wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wakiwemo...

READ MORE

Watumishi wa Serikali Kizimbani kwa Tuhuma za Wizi

Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Songwe leo tarehe 15/02/2021 imewafikisha watumishi wa umma wawili(02) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa...

READ MORE

Ofisa Mauzo Kortini Akidaiwa Kuiba Mil 89 – Video

OFISA Mauzo wa Kampuni ya Amsons Industries Tanzania Limited, John Joseph (40),  mkazi wa Kimara Michungwani jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Pigo: Wanne Familia Moja Wafariki Katika Mazingira Tofauti

FAMILIA ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Profesa Delphina Mamiro, imepata pigo ndani siku 28 kwa kupoteza...

READ MORE

KCMC Yafungukia Mgomo wa Madaktari

HOSPITALI  ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro, kupitia kwa msemaji wake, Gabriel Chiseo, imeweka wazi kuwa hakuna mpango wa kugoma kwa...

READ MORE

Seif Khatib Afariki Dunia

MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili Zanzibar (BAKIZA) Dkt. Mohammed Seif Khatib, amefariki dunia leo asubuhi Jumatatu Februari 15, 2021.  ...

READ MORE

Ajali Basi la Coast Line, Watano Walazwa, 16 Waruhusiwa

WATU watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Nyerere, jana kutokana na ajali ya basi la kampuni ya Coast Line lililokuwa...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Kufukiwa Kifusi Kahama

WATU  wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa kifusi  kwenye machimbo ya kijiji cha Mwime duara namba 11C kata ya Zongomela...

READ MORE

Watumishi Waliohodhi Vizimba Soko Kuu Moro Yawakuta

WAFANYABIASHARA katika Soko la Chifu Kingalu wamelalamika kwa Rais John Magufuli kuwa wanauziwa vizimba kwa bei isiyo ya manispaa na...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Yazindua Tuzo za ‘Mwanamke Shujaa Excellence In Leadership 2021

Coca-Cola Kwanza Ltd, ambayo ni kampuni tanzu ya Coca-Cola Beverages Africa leo imetangaza kuzindua msimu mpya wa kampeni ya Mwanamke...

READ MORE

Serikali Yasaka Tril 1.029 Kodi ya Ardhi Moro

  OFISI ya Ardhi Mkoa wa Morogoro imeanza kuwabana wadaiwa wa kodi ya pango la ardhi kwa kuwafikisha wadaiwa sugu...

READ MORE

Majaliwa Afungukia Namungo Kuzuiwa na Jeshi Angola

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameipongeza klabu ya Simba kwa kupata ushindi wa kwanza wa bao 1-0 katika mchezo wa Ligi...

READ MORE

Simba Kuifunga AS Vita ni Uchumi wa Kati

Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba, amewaambia Watanzania kwamba wanayo bahati sana kuwa na Rais ambaye usiku na mchana...

READ MORE