×

Michezo

KMC Wawafuatilia Wachezaji Kwenye Mitandao

UONGOZI wa KMC umesema kuwa unawafuatilia wachezaji wao namna wanavyofanya mazoezi kupitia makundi ya WhatsApp jambo ambalo linawafanya wazidi kufanya...

READ MORE

Kakolanya ‘Auzwa’ Nje ya Nchi

GOLIKIPA wa zamani wa timu ya taifa, Taifa Stars, Ivo Mapunda, amemshauri kipa wa Simba, Beno Kakolanya kwenda kutafuta changamoto...

READ MORE

Simba Waambiwa Dau la Mwamnyeto Ni Milioni 100

HABARI ndiyo hiyo. Uongozi wa Coastal Union umeweka wazi dau la milioni 100 ambalo kama litafikiwa na timu yoyote basi...

READ MORE

Ramsey: Ronaldo ni Mchezaji Wa Kipekee

SUPASTAA wa Juventus, Cristiano Ronaldo, amefagiliwa na mchezaji mwenzake, Aaron Ramsey kwa uanamichezo wake, ubora na kufuata maadili ya kazi...

READ MORE

Gabon Wamtaka Aubameyang Aondoke Arsenal

RAIS wa Shirikisho la Soka la Gabon (Fegafoot), Pierre Alain Mounguengui, amemshauri straika Pierre- Emerick Aubameyang kujiunga na timu yenye...

READ MORE

Staa wa Gofu TZ Ageukia Mgahawa

NYOTA wa gofu Afrika Mashariki na Kati anayekipiga katika klabu ya gofu ya Lugalo jijini Dar es Salaam, Angel Eaton,...

READ MORE

Scholes Anavyomfagilia Fernandes

GWIJI wa Manchester United, Paul Scholes, amesifu mchango ulioletwa na Bruno Fernandes klabuni hapo, akisema raia huyo wa Ureno amekuja...

READ MORE

Vitalis Mayanga Afunguka Kisa Cha Kuhisiwa Kuihujumu KMC

“NAKUMBUKA mchezo wangu wa mwisho kuichezea KMC ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ambapo tulipoteza kwa mabao 2-1, kwa kuwa nilionekana...

READ MORE

Kisa Chama na Kanda… Bosi Simba Awaita GSM Mezani Yanga

SIMBA wamewaambia Yanga kwamba: “Kama mnamtaka Clatous Chama na Deo Kanda, njooni fasta tufanye mazungumzo. Hakuna kinachoshindikana.   Kauli hiyo...

READ MORE

Samatta Hachezi Premier Mpaka Apimwe Corona

MTENDAJI Mkuu wa Chama cha Makocha wa Ligi England, Richard Bevan, amesema msimu wa soka nchini humo hautaendelea kama wachezaji...

READ MORE

Bernard Morrison Apelekwa Ufukweni

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison,amebadilishiwa program na kocha wake, Luc Eymael ambapo kwa sasa anafanya mazoezi ufukweni.   Awali...

READ MORE

Waarabu Wamfuata Molinga, Mbelgiji Afunguka

NAELEZWA kuwa Klabu ya ES Setif inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria imeweka ofa mezani kwa ajili ya kumnasa mshambuliaji wa...

READ MORE

GSM Wasaini Mkataba Mwingine Mpya Yanga

YANGAkumenoga! Hivyo ndivyo utakavyoweza kusema baada ya timu hiyo kuingia makubaliano mengine na mdhamini wake Kampuni ya GSM ya kusaini...

READ MORE

Nyota Azam FC Wakwama Ghana

WACHEZAJI wa Azam FC, Razak Abalora na Yakubu Mohamed wameshindwa kurejea nchini baada ya kukwama nchini Ghana kutokana na nchi...

READ MORE

Tshishimbi, Morrison wawekewa mtego Yanga

KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa amewawekea mtego mastaa wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa ukweli wa nani alikuwa anafuata...

READ MORE

Manara: Mwisho wa Kumsajili Mchezaji ni 230m

MSEMAJI Mkuu wa Simba, Haji Manara amebainisha kwamba ni ngumu kwa klabu hiyo na nyingine za Tanzania kutwaa ubingwa wa...

READ MORE

GSM Yaja na Kufuru Mpya Yanga, Simba Kazi Wanayo

WADHAMINI wa Yanga, Kampuni ya GSM wamerejea kivingine klabuni hapo na safari hii wamekuja na staili mpya ya usajili kwa...

READ MORE

Manara: Bao la Morrison Niliangalia WhatsApp

MSEMAJI Mkuu wa Simba, Haji Manara amefunguka kuwa bao ambalo walifungwa na Yanga kwenye mechi ya Dabi ya Kariakoo Machi...

READ MORE

Umafia Watumika Ishu Ya Luis, Chama Kurudi Dar

WAKATI mipaka ya nchi zao ikifungwa, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Senzo Mazingisa amepanga kuandaa utaratibu wa tofauti watakaoutumia...

READ MORE

Kocha Simba Amkomesha Mkude

BAADA ya mashabiki wa Simba kumpigia kelele kiungo mkabaji wa timu hiyo, Jonas Mkude kuwa ni tatizo katika kikosi chao...

READ MORE

Manara: Kila Mwezi Simba Inalipwa Sh 130M Kutoka Fedha Za Mo Dewji

MSEMAJI wa Simba, Haji Sunday Manara alifanya ziara ya kutembelea chumba kikubwa zaidi cha habari nchini cha Global Group kujionea...

READ MORE

Wakala Wa Mwamnyeto Agusia 85m Za Simba SC

WAKALA Kassa  Mussa ambaye anamuwakilisha beki kisiki anayekipiga kwenye timu ya Coastal Union, Bakari Nondo Mwamnyeto amekanusha uvumi unaoendelea kuhusu...

READ MORE

Manara: Corona Imetibua Dili Langu na Wazungu

MSEMAJI wa Simba, Haji Manara amefunguka kuwa Ugonjwa wa Covid-19 unaonezwa na Virusi vya Corona vimetibua dili lake la kuwaleta...

READ MORE

Azam FC Kushusha Wachezaji Wanne Matata

UONGOZI wa Azam FC umeamua kuweka wazi dhamira yao ya kutaka kushindana na klabu kongwe katika Ligi Kuu Bara, Simba...

READ MORE

Mwenyekiti Simba Amvaa Mo, Kisa Bilioni 20

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Swedy Mkwabi ameitaka Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo kushughulikia masuala yote ya...

READ MORE

Fifa Yaingilia Usajili wa Makambo Na Okwi

MASHABIKI wa Yanga na Simba hapa nchini wana hamu kubwa sana ya kuona usajili wa wachezaji wao wa zamani ukitimia...

READ MORE

Sure Boy, Yanga ni Suala la Muda Tu

YANGA ipo katika hatua nzuri ya kukamilisha usajili wa kiungo wa Azam FC, Salum Aboubakar ‘Sure Boy’ anayewaniwa vikali na...

READ MORE

Kanda Mikononi Mwa Mbelgiji Simba

MABOSI wa Simba wamefunguka kuwa, watamsikiliza kocha wao mkuu, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck juu ya nyota gani ambaye anamaliza mkataba wambakishe...

READ MORE

Kocha wa Simba Akimbilia TFF

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ni kama ameshtukia kitu baada ya kuliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwapa...

READ MORE

Simba Yamvizia Beki Kisiki wa Polisi Tanzania

BAADA ya wapenzi na mashabiki wa Simba katika siku za hivi karibuni kutoridhishwa na uwezo wa safu yao ya ulinzi,...

READ MORE

Manara: Nitavunja Ndoa Ya Jerry Murro – Video

HAJI Manara amesema amemueleza wazi Jerry Muro ambaye sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru kuwa akiendelea kumfuatafuata atavunja ndoa...

READ MORE

Wazungu Wajitokeza Kujenga Uwanja Yanga SC

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa tayari umepata kampuni itakayojenga Uwanja wao Kigamboni jijini Dar, huku ikidaiwa kuwa ni kampuni kutoka...

READ MORE

Chirwa, Sure Boy Kuwekwa Karantini Azam

UONGOZI wa Azam umesema kuwa unatarajia kuwaweka wachezaji wake karantini ya siku 14 wakiwemo kiungo mshambuliaji, Salum Abubakar ‘Sure Boy’...

READ MORE

Bosi Simba SC Afunguka Hatma ya Kichuya

MTENDAJI Mkuu wa Simba, Senzo Mazingiza, amesema kuwa ni mapema kwa sasa kuanza kujadili hatma za wachezaji watakaomaliza mikataba yao...

READ MORE

Championi Baba Lao, Lazidi Kutikisa na Ndinga Mpya!

  Wasomaji mbalimbali wa magazeti ya Championi na Spoti Xtra wa maeneo ya Kinyrezi, Tabata migombani na maeneo mengine  wameendelea ...

READ MORE

Ligi Kuu Uingereza Kufutwa Hivi Karibuni?

Mkurugenzi wa klabu ya Udinese ya Italia, Pierpaolo Marino, amedai bodi ya ligi kuu England (EPL), muda si mrefu, itatoa...

READ MORE

Ligi Kubwa Zarejea Meridianbet – Muendelezo Wa Kusisimua Wa Soka

Mpira umerejea tena, mechi zinaendelea hapa Meridianbet! Sasa Unaweza kufurahia ligi kubwa zaidi za soka barani Ulaya na tumekuwekea Odds...

READ MORE

Uwanja wa Azam Wateketeza Bilioni Tano

BAADA ya timu ya Azam FC kukamilisha ujenzi wa uwanja wao eneo la kuchezea, uongozi wa timu hiyo umesema kuwa...

READ MORE

Mbelgiji Apanda Ndege Na Majina Ya Ngassa, Dante na Kaseke

MABOSI wa Yanga wameamua kumpa rungu zito kocha wao Mbelgiji Luc Eymael la kumfi kishia majina ya wachezaji wote ambao...

READ MORE

Ishu ya Tchetche Simba ni Hivi

KUMBE Simba imeshindwa kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, Muivory Coast, Kipre Tchetche kwa sababu ya dau la dola...

READ MORE