INAELEZWA kuwa uongozi wa Yanga upo kwenye mipango ya kuachana na washambuliaji watatu wa klabu hiyo ambao ni David Molinga...
READ MOREKOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, amewaagiza mabosi wa timu hiyo kuwa wanatakiwa kumalizana na wachezaji wote...
READ MOREHIMID Mao, nahodha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, anayekipiga ndani ya Klabu ya ENPPI ya nchini Misri, jana...
READ MOREBEKI wa Yanga, Said Juma Makapu, amesema kuwa kocha Luc Eymael amekuwa akimpatia mbinu zinazomfanya awe katili uwanjani na kucheza...
READ MOREKLABU ya Barcelona wanataka kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez, 22, kutoka klabu ya Inter Milan lakini wanakabiliana na ushindani...
READ MOREMDHAMINI wa Yanga ambaye ni Kampuni ya GSM imeendelea kuonyesha kufuru zake na safari hii imewafanyia sapraizi wachezaji wake wote...
READ MOREMIAMBA ya soka nchini Ujerumani, Bayern Munich, leo Jumatano, Aprili 6, 2020, kimerejea uwanjani na kuanza kufanya mazoezi kwa mara...
READ MOREUONGOZI wa Yanga umesema kuwa mashabiki wanapaswa kuwa na subira kwa wakati huu kuhusu kumrudisha nyota wao wa zamani Heritier...
READ MORELIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa imesimama, Tanzania tumeungana na zaidi ya mataifa 170 kujikinga na maambukizi ya Virusi vya...
READ MOREUPO uwezekano mkubwa wa mastaa wakubwa Simba kutimka kwenye klabu hiyo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara baada ya...
READ MOREKAMATI ya Utendaji ya Yanga leo Jumatatu inatarajiwa kukutana kwa ajili ya kupitia ripoti ya usajili ambayo Kocha Mkuu wa...
READ MORELICHA ya kwamba mchezo wa kuogelea ni mojawapo ya michezo inayosadikika kuanza mwaka 1800 huko barani Ulaya, bado ni mchezo...
READ MOREDAKIKA 847 za michezo ya kimataifa alizocheza winga Mkongo wa AS Vita, Tuisila Kisinda, zimeonekana kuwashawishi vilivyo Yanga ambayo imeonyesha...
READ MOREYANGA wanatamani kuona mshambuliaji wao kipenzi, Heritier Makambo, anarejea katika klabu hiyo lakini bado kidogo tu staa huyo atakabidhiwa jezi...
READ MOREWADHA-MINI wa Yanga ambao ni Kampuni ya GSM, wamerejea kwa kishindo na sasa wameweka wazi mipango yao ya kujenga uwanja...
READ MOREVIJANA wa siku hizi wanasema, mambo ni yente kila kona ya nchi kufuatia kushika kasi kwa promosheni namba moja kwa...
READ MOREHESABU za mabosi wa Simba wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya timu hiyo, Mohammed Dewji ‘Mo’ ni kumshusha straika raia...
READ MOREBEKI na nahodha wa Coastal Union, Bakari Mwamnyeto amefungukia usajili wake wa kutua Simba ambapo kwa muda mrefu amekuwa akihusishwa...
READ MOREKIUNGO mchezeshaji fundi raia wa Sudan, Sharraf Eldin Shiboub huenda akaachana na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu wakati mkataba...
READ MOREHABARI njema kwa mashabiki wa Simba ni kuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Miraji Athumani ‘Sheva’ ameweka wazi kuwa amepona na...
READ MOREINAELEZWA kuwa bosi mmoja wa GSM anatarajiwa kupanda ndege hadi nchini DR Congo kwenda kumalizana na winga wa AS Vita,...
READ MOREKOCHA wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera, amesema kuwa kama kweli klabu hiyo inataka kumrejesha mshambuliaji wao wa zamani, Heritier...
READ MOREKAMATI ya Utendaji ya Klabu ya Yanga leo Aprili 3, 2020 chini ya Mwenyekiti Dkt. Mshindo Msolla imewateua Suma Mwaitenda...
READ MOREKAMA janga la Virusi vya Corona halitakuwa na ahueni, basi upo uwezekano mkubwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu ukafutwa....
READ MOREMABOSI wa Yanga, jana Alhamisi walikuwa wana bashasha kwenye sura zao kutokana na kuwa wanasubiri majibu ya dili la straika...
READ MOREWAKATI ligi ikiwa imesimama kutokana na Virusi vya Corona, Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amekabidhi faili la usajili wa...
READ MOREUNAWEZA ukasema mzimu wa kiungo wa Yanga, Bernard Morrison, bado unaitafuta Simba, hiyo ni mara baada ya uongozi wa klabu...
READ MOREBEKI kisiki wa Simba, Pascal Wawa, amesema kuwa Virusi vya Corona siyo vya kuchukulia utani, ni lazima kila mmoja achukue...
READ MOREUONGOZI wa Klabu ya Azam umesema uko tayari kumuuza kiungo wao, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ kwa Yanga au klabu yoyote...
READ MOREAISHI Manula mlinda mlango namba moja wa Simba amesema kuwa Bernard Morrison wa Yanga anastahili pongezi kwa kumtungua bao kwenye...
READ MOREKIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison, amefunguka kuwa mabao yake yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na dua maalum ambazo zinafanywa na...
READ MOREHATIMAYE imefichuka rasmi kuwa uongozi wa Simba chini ya tajiri Mohammed Dewji ‘Mo’ umemuwekea mezani ofa ya shilingi milioni 85...
READ MOREKLABU ya Simba imeanza harakati za kukisuka upya kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa 2020/21. ...
READ MOREUKISIKIA jeuri ya fedha ndio hii sasa kwa Yanga kwani unaambiwa uongozi wa timu hiyo ukishirikiana na wadhamini wao, Kampuni...
READ MOREUONGOZI wa timu ya Orlando Pirates umeweka wazi kuwa upo tayari kumuachia straika wao, Mzambia, Justin Shonga katika usajili ujao...
READ MOREKIUNGO Papy Kabamba Tshishimbi ni jembe kweli na ukiwa naye kikosini kwako, basi umelamba dume. Kwa takribani wiki nzima, kulikuwa...
READ MOREBALAA kubwa huenda likawakumba baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba kutokana na kudaiwa kukiuka taratibu za klabu hiyo. Wachezaji...
READ MOREKIUNGO wa kati wa Mtibwa Sugar, Abdulhalim Humoud, ameweka bayana kuwa anajisikia furaha kusikia kuwa anahusishwa na kujiunga na Yanga...
READ MOREKIUNGO mkabaji wa Yanga, Mkongomani Papy Tshishimbi amesema kuwa dawa ya kuwapoka ubingwa wa Ligi Kuu Bara watani wao wa...
READ MOREWACHEZAJI wa Klabu ya Barcelona wanadaiwa kuwa katika mvutano na Bodi ya timu hiyo kufuatia pendekezo la Bodi kutaka kuwakata...
READ MORE