×

Michezo

Chirwa Sasa Mguu Mmoja Yanga

SASA Yanga washindwe wenyewe kwa Obrey Chirwa, unaweza kusema kuwa ameshaingiza mguu mmoja! baada ya uongozi wa timu ya soka...

READ MORE

David Silva Ajiandaa Kutimkia Valencia

KIUNGO wa Manchester City, David Silva ameanza mazungumzo na klabu ya Valencia ili aweze kujiunga nayo mwishoni mwa msimu huu.Silva...

READ MORE

Solskjaer Aamini Rashford ni Bora Kwa Kane

KOCHA wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer amesema kuwa ana furaha kwa kuwa klabu yake haikutumia pauni milioni 200 kumsajili...

READ MORE

Kocha Ataka Wachezaji Wamuige Samatta

KOCHA msaidizi wa klabu ya soka ya Mtibwa Sugar, Patrick Mwangata amewaasa wachezaji nchini kumuiga nahodha wa Taifa Stars, Mbwana...

READ MORE

Mbelgiji Ashikilia Mkataba Wa Lusajo Yanga SC

IMEBAINIKAkuwa kwa sasa mabosi wa Yanga wanasubiria kauli ya kocha wao Luc Eymael tu kwa ajili ya kumalizana na mastaa...

READ MORE

Manara Amsifu Fei Toto Wa Yanga

MSEMAJI wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa kiungo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ni mchezaji bora Mtanzania...

READ MORE

Coulibaly: Sasa Nataka Kuja Kucheza Yanga

BEKI wa zamani Simba, Zana Coulibaly raia wa Ivory Coast amefichua kuwa yupo tayari kurejea nchini iwapo itatokea Azam na...

READ MORE

APR Yapanga Kumng’oa Kagere Simba

INAELEZWA uongozi wa timu ya APR ya Rwanda umepanga kuvunja mkataba wa mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere ili kuongeza nguvu...

READ MORE

Humud Amchomoa Ndemla Yanga SC

IMEFAHAMIKA kuwa jina la kiungo mkabaji wa Mtibwa Sugar, Abdulhalim Humoud ‘Gaucho’ ndiyo limemuondoa Said Ndemla kwenye orodha ya majina...

READ MORE

Wakala afungukia dili la Kagere La Liga

WAKALA wa straika wa Simba, Meddie Kagere, Patrick Gakumba, amefunguka kwamba dili la straika wake kutakiwa na klabu ya Hispania...

READ MORE

Kisa mabilioni ya GSM, Mo Aanza Kufuru

BILIONEA wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ameanza kufuru mpya na safari hii ameanza na jaribio la matajiri wa Yanga Kampuni...

READ MORE

Kapombe Amvuta Mbadala wa Wawa Simba SC

SIMBA ishindwe yenyewe kwa beki wa kati wa timu ya taifa ya Kenya na Klabu ya KCB ya nchini humo,...

READ MORE

Wakenya Waipa Yanga Bonge la Kiungo

NEEMA imewaangukia Yanga baada ya meneja wa kiungo, Yidah Sven anayekipiga katika Klabu ya Kariobang Sharks ya Kenya, kukubali kumuachia...

READ MORE

Mchongo wa Yanga, Wahispania Upo…

KAMPUNI ya GSM ipo katika hatua za mwisho za kuingia makubaliano na moja ya klabu za Hispania iliyopo kwenye viwango...

READ MORE

Tshishimbi Abariki Ujio Wa Kiungo Mpya Yanga

TETESI mbalimbali ambazo zimeendelea kuripotiwa kila kukicha ndani ya Yanga, ni juu ya kocha wao, Luc Eymael kuhitaji kiungo mbadala...

READ MORE

Straika Kutua Yanga Na Pacha Wake

RELIANTSLusajo, mtambo wa mabao ndani ya Yanga iwapo dili lake la kutua ndani ya kikosi cha Yanga litajibu, basi atashuka...

READ MORE

Kocha Simba Aanza na Straika Huyu

MSEMAJI mwenye kauli ya mwisho kwenye Benchi la Ufundi la Simba, Sven Vandenbroeck ameweka wazi kwamba usajili wa kwanza ambao...

READ MORE

Kumbe Sven Humwambii Kitu Kwa Chama

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba raia wa Ubelgiji, rekodi zinaonyesha kuwa anaukubali ‘muziki’ wa kiungo wa Zambia, Clatous Chama,...

READ MORE

Mwamnyeto Afunguka Usajili Wake Simba, Yanga

NAHODHA wa timu ya Coastal Union, Bakari Mwamnyeto amesema yupo tayari kujiunga na klabu yoyote ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Kocha Amkomesha Tshishimbi, Amleta Kiboko Yake Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael amepanga kushusha kiungo mmoja mkabaji wa kimataifa atakayecheza namba sita baada ya kugundua...

READ MORE

Steve Nyerere: Mwakalebela Jiuzulu Yanga

MCHEKESHAJI mkongwe Bongo, Steven Mangele (Steve Nyerere), amemtaka Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela kuachia ngazi katika nafasi...

READ MORE

Senzo Atoa Kauli Ya Kishujaa Simba

MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Simba, Senzo Mazingisa, amesema kuwa timu yake haishindwi kumsajili mchezaji yeyote anayecheza katika ligi ya...

READ MORE

Timu za Premier Uingereza Katika Mazungumzo Makali Leo

MAZUNGUMZO iwapo Ligi Kuu ya Uingereza (Premier League) iendelee au la  yanafanyika leo ambapo wiki mbili zilizopita kulikuwa na mkutano...

READ MORE

Video: Hasheem Ibwe Ataja Wachezaji Wa Simba Na Yanga Anaowapenda

 GLOBAL TV imepiga stori na mtangazaji, Hasheem Ibwe, anayetangaza michezo katika runinga ya Azam TV kuhusiana na masuala mbalimbali...

READ MORE

Mo Apiga Simu Yanga SC, TFF Watoa Tamko

SARAKASI za usajili wa kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama imezua sura mpya baada ya kuelezwa kuwa, Mwekezaji wa Simba,...

READ MORE

Yanga Mpya Inatisha Uwekezaji wa GSM Usipime!

UONGOZI wa Yanga kwa kushirikiana na wadhamini wao, Kampuni ya GSM, umetaja kigezo cha mchezaji anayetakiwa kuvaa jezi ya klabu...

READ MORE

Yanga Yajadiliwa Bungeni, Morrison, Tshishimbi Watajwa -Video

 MBUNGE Ali Kessy, amemuomba waziri wa utumishi na utawala bora, George Mkuchika, kuiingiza klabu ya soka ya Yanga, katika...

READ MORE

Sven: Kagere ni Mtu wa Kazi Uwanjani

SVEN Vandenbroeck ambaye ni kocha mkuu wa Simba, amesema amekuwa akishangazwa na uwezo wa mshambuliaji wake, Meddie Kagere ndani ya...

READ MORE

Mbelgiji Yamkuta Tena Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji Luc Eymael, kwa mara nyingine tena amelazimika kufuta safari yake ya kurejea nchini Tanzania kutokana...

READ MORE

Manula: Hakuna Kama Okwi Simba

KIPA wa Simba, Aishi Manula amesema kuwa mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Emmanuel Okwi ni mchezaji bora kuwahi kutokea...

READ MORE

Breaking: Ishu Ya Chama Yatinga TFF, Kuamuliwa na Kamati Ya Sheria

UONGOZI wa klabu ya Simba umepeleka barua kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuishitaki Yanga kwa kuvunja kanuni za usajili....

READ MORE

Ishu ya Chama na Yanga… Simba Yakimbilia Kushtaki TFF

UONGOZI wa klabu ya Simba umefunguka kuwa unatarajia kupeleka barua kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuishitaki Yanga kwa kuvunja...

READ MORE

Matapeli Wamliza Luis Miquissone Simba

KATIKA hali ya kushangaza kiungo mshambuliaji wa Simba, Luís Miquissone raia wa  Msumbuji  amejikuta kwenye wakati mgumu kufuatia baadhi ya...

READ MORE

Yanga SC, Simba SC Zakutana Kwa Nonga

PAUL Nonga mtupiaji wa Lipuli ameziweka vitani timu tatu kubwa ambazo zinahitaji saini yake kwa sasa ikiwa ni pamoja na...

READ MORE

GSM kuzibomoa Mamelodi, Enyimba na Etoile Du Sahel

HATIMAYE uongozi wa Yanga ukishirikiana na mdhamini wa timu hiyo, GSM, umezitaja timu za Afrika ambazo wataenda kufanya usajili wa...

READ MORE

Mbelgiji: Nataka Straika, Viungo Wawili Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amefunguka kuwa kwenye ripoti yake ya usajili ambayo amewakabidhi mabosi wa timu hiyo, ni...

READ MORE

Corona: TFF Wasitisha Mikutano ya LIVE na Wanahabari

Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetangaza kusitisha mikutano na mahojiano ya moja kwa moja na waandiishi wa habari ikiwa...

READ MORE

Ndugu wa Luis Aandaliwa Mkataba Yanga!

YANGA imethibitisha kuwepo katika mazungumzo ya mwisho na mshambuliaji wa UD Songo ya nchini Msumbiji, Jimmy Ukonde, atakayetua kuichezea timu...

READ MORE

Azam FC Watoa Neno Sure Boy Kutua Yanga

UONGOZI wa timu ya Azam FC, umesema kuwa hadi sasa hawajapokea ofa yoyote ya usajili wa Salum Abubakar ‘Sure Boy’...

READ MORE

Kagere Amvuruga Vibaya Straika Yanga

ALIYEWAHI kuwa mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga, raia wa Burundi, Amissi Tambwe amesema kuwa ana hofu kubwa ya rekodi yake...

READ MORE