×

Michezo

Morrison Asani Miaka Miwili Yanga, Azima Tetesi za Simba

TETESI za Simba kumuwania kiungo mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison zimezimwa jana baada ya staa huyo kurejesha mkataba wake wa miaka...

READ MORE

Bocco Amtoa Jasho Tshishimbi

JOHN Bocco, nahodha wa Simba amempiku nahodha wa Yanga, Papy Tshishimbi kwa kutengeneza pasi nyingi za mabao na kucheka na...

READ MORE

Corona Yamweka Kizuizini Morrison

BAADA ya Yanga kusimamisha program zake za mazoezi, kiungo wao mnyumbulifu, raia wa Ghana, Bernard Morrison amejiweka kizuizini ili kuepuka...

READ MORE

Mike Tyson: Nakisubiri Kifo kwa Hamu

BINGWA wa zamani wa ndondi za uzito wa juu duniani, Mike Tyson, amesema anasubiri kwa hamu kifo chake kwa kuwa...

READ MORE

Kocha Avunja Kambi Yanga, Ampa Program Maalum Morrison

UONGOZI wa Yanga rasmi umevunja kambi na kuwaruhusu wachezaji kurudi nyumbani kwao baada ya serikali kusitisha shughuli zote za michezo...

READ MORE

Mkude Atoa Kali ya Mwaka Simba

BAADA ya hivi karibuni kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude kumkera Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Etienne Ndayiragije kwa utovu...

READ MORE

Mbelgiji Apata Dawa Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji Luc Eymael amejiapiza kuwa atapambana kufa au kupona kuhakikisha wanamaliza msimu huu wa Ligi Kuu...

READ MORE

Sheva Apewa Kibaiskeli Simba SC

KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Miraji Athuman ‘Sheva’ anatarajiwa kuanza mazoezi ya kunyonga baiskeli kwa ajili ya kujiweka sawa kabla ya...

READ MORE

Staa Mwingine Juve Akutwa Na Corona

KLABU ya Juventus imethibitisha kiungo wake Mfaransa, Blaise Matuidi amepimwa na kukutwa na Virusi vya Corona. Staa huyo anakuwa mchezaji...

READ MORE

Ajibu Majanga Matupu Simba

IBRAHIM Ajibu yupo kwenye majanga makubwa ndani ya Simba kwa kuhofia kushindwa kuvunja rekodi yake aliyoiweka msimu uliopita alipokuwa anaitumikia...

READ MORE

Molinga Afanyiwa Kikao Kizito Yanga SC

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji Luc Eymael, jana Jumatano alitarajiwa kukutana na uongozi wa timu hiyo kujadili masuala mbalimbali yanayowahusu...

READ MORE

Simba Bingwa 90% Ligi Kuu Bara

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wana nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wao msimu huu kutokana na kuwa vinara...

READ MORE

Wawa: Yanga Wasahau Kwenda Caf

BEKI wa kati wa Simba, Muivory Coast, Pascal Wawa, amefunguka kuwa kwa sasa wapinzani wao wakiwemo Yanga wanatakiwa kusahau juu...

READ MORE

Milioni 200 Yanga Kimeeleweka Baada Ya Kuifunga Simba

IMEISHA hiyo! Ndivyo utakavyoweza kusema, baada ya Kampuni ya GSM kupanga kuwapa Sh milioni 200 wachezaji wa Yanga katika kutekeleza...

READ MORE

Droo ya Kwanza ya Jishindie Gari ni Jumatano

HATIMAYE ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa shauku kubwa na wanunuzi wa magazeti bora ya michezo Tanzania, Championi ambalo lipo mtaani...

READ MORE

Diplomatic Golf Kuanza Kurindima Mei 30

  MASHINDANO ya Diplomatic Golf msimu wa pili yanayoratibiwa na Kampuni ya Tanzania Mwandi kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo...

READ MORE

TFF Yaitisha Kikao cha Dharura Kujadili Corona

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) laitisha kikao cha dharura kujadili mustakabali wa ligi katika kipindi hiki ambacho Tanzania imekuwa moja...

READ MORE

Tambwe Alilia Kusajiliwa Yanga SC

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe, amefunguka kuwa bado ana uwezo mkubwa wa kufunga mabao, hivyo uongozi wa...

READ MORE

Breaking: Mwakinyo Aahirisha Pambano Lake Kisa Corona – Video

Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo ameahirisha Pambano lake dhidi ya Bondia wa Ujerumani Jack Culcay ambalo lilitarajiwa kufanyika Machi 21,...

READ MORE

Sven Ampeleka Ajibu Simba B

BAADA ya kutokuwa na uhakika wa nafasi katika kikosi cha kwanza cha Simba, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ibarahim Ajibu,...

READ MORE

Morrison Amfunika Tena Kagere

BERNARD Morrison siyo mtu mzuri kabisa, hivyo ndivyo unavyoweza kusema. Achana na lile bao aliloifunga Simba katika mchezo wa Ligi...

READ MORE

Mbelgiji Yanga SC: Simba SC ni Timu Bora

  LUC Eymael ambaye ndiye mwenye kauli ya mwisho kwenye benchi la ufundi la Yanga, amefunguka kuwa wapinzani wao Simba...

READ MORE

SportPesa Yamwaga Vifaa vya michezo Ruangwa

KAMPUNI ya michezo ya kubashiri ya SportPesa Tanzania, imeunga mkono juhudi za Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa Muheshimiwa Kassim...

READ MORE

Namungo VS Yanga… Wanazisaka Pointi Tatu za Moto

LEO Jumapili kwenye Uwanja wa Majaliwa uliopo Ruangwa mkoani Lindi, Namungo FC itaikaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara....

READ MORE

Mchakato Aussems Kurudi Simba Uko Hivi

KOCHA wa zamani wa Simba, Patrick Aussems, ameweka wazi kuwa hawezi kurejea kuifundisha timu hiyo katika hali yoyote ili kuhakikisha...

READ MORE

Morrison Ashusha Presha, Atoa Kauli ya Kibabe Yanga SC

KIUNGO mshambuliaji fundi wa Yanga, Mghana Bernard Morrison amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa amepata nafuu ya...

READ MORE

Niyonzima, Morrison Wampasua Kichwa Kocha Namungo

KOCHA wa Namungo, Thierry Hitimana amesema kikosi chake kimejipanga vilivyo kuwaliza Yanga lakini alivyokumbuka tu ndani ya kikosi hicho kuna...

READ MORE

Corona: A. Villa, Brighton Zatoa Chakula kwa Wasio na Makazi!

VILABU vya England(Uingereza) aya Aston Villa na Brighton  & Hove Albion FC vimechangia zaidi ya milo 1,300 ikiwa misaada kwa...

READ MORE

Kenya Yasitisha Shughuli za Soka Kisa Corona

SHIRIKISHO la soka nchini Kenya (FKF) limesimamisha shughuli zote rasmi za soka nchini humu baada ya uthibitisho wa tukio la...

READ MORE

Video: Tambwe Afunguka Sababu Ya Kuachwa Yanga

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba na Yanga, Amis Tambwe, amesema kwa sasa kikosi cha Simba kipo vizuri katika nafasi zote...

READ MORE

Kisa Simba, Morrison Apewa Mapumziko Maalum Yanga

KATIKA kuhakikisha anapona kwa haraka ili arejee uwanjani mapema, Kocha Mkuu wa Yanga Mbelgiji, Luc Eymael amempa mapumziko ya muda...

READ MORE

Sven Awaweka Kando Ajibu, Kichuya Simba

KUFUATIA kutoonekana uwanjani katika michezo ya Ligi Kuu Bara kwa wachezaji wa Simba, Ibrahim Ajibu na Shiza Kichuya, kocha mkuu...

READ MORE

Kagere: Nataka Kuvunja Rekodi Ya Mabao

MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa anashukuru kwa kuifungia mabao timu yake na anafikiria kuendelea kufanya hivyo pale atakapopata...

READ MORE

Aussems Ataja Kitakachoipoteza Simba SC

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems amefunguka licha ya timu hiyo kuendelea kufanya vizuri katika mechi za Ligi...

READ MORE

Tokyo Yasema Mandalizi ya Olimpiki Yako Pale Pale

Wakati dunia ikiwa katika juhudi za kupambana na virusi hatari vya Corona, Tokyo yaendelea na mandalizi ya mashindano ya Olimpiki,...

READ MORE

Bashiri ya Sh 200 Yampa Frank Sh Milioni 8.8

Mteja wa betpawa Frank Msanga amepitia furaha isiyo na kifani usiku wa Alhamisi pale dau lake la Tsh200 katika Ligi...

READ MORE

Kocha Arsenal, Mchezaji Chelsea Wakutwa na Corona

KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amekutwa na virusi vya ugonjwa wa Corona na mechi kati ya timu yake na Brighton...

READ MORE

Tishio La Corona Lampa Hofu Baba Samatta

BABA mzazi wa mshambuliaji wa kimataifa wa Aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta, mzee Ally Samatta amesema kuwa amekuwa na hofu...

READ MORE

Mashabiki Wafunguka Mazito Yanga Kuchapwa na KMC – Video

YANGA imemaliza sherehe ya kuvuna ushindi dhidi ya Simba, mara baada ya kuchapwa na KMC katika mchezo wa Ligi Kuu...

READ MORE

Maambukizi ya Corona, Ronaldo Karantini, Agoma Kurudi Juve

KLABU ya Juventus imetangaza kuwa mchezaji wake, Daniele Rugani,  amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Klabu hiyo ya ligi...

READ MORE