×

Michezo

Hans Poppe Atema Cheche Simba

Said Ally, Dar es Salaam, Championi Jumatano MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe, ameibuka na kudai...

READ MORE

UEFA: Real Madrid Waigonga Bayern Munich 4-2, Ronaldo ni ‘Sumu’

Cristiano Ronaldo alifunga mabao matatu na kuwawezesha mabingwa watetezi wa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Real Madrid kuwatimua Bayern Munich...

READ MORE

Omog: Dakika 270 Zina Ubingwa Wetu

  Said Ally, Dar es Salaam, Championi Jumatano KOCHA wa Simba, Joseph Omog raia wa Cameroon ameweka bayana kwamba mipango...

READ MORE

Breaking News: Maamuzi ya TFF Kuhusu Rufaa ya Kagera, Pointi 3 za Simba (VIDEO)

Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemaliza kikao chake na Simba inaendelea...

READ MORE

(+Sauti), Alichosema Spika Ndugai Baada ya Yanga Kufungwa (4-0)

SPIKA wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Yustino Ndugai, leo bungeni...

READ MORE

LIVE: Hatimaye Yanga Warejea Nyumbani Wakitokea Algeria

   Klabu ya Yanga wamerejea nyumbani wakitokea nchini Algeria walikokuwa wamekwenda kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Kombe la Shirikisho Barani...

READ MORE

Yanga Waliokwama Algeria Kuwasili Mchana wa Leo

Msafara wa wachezaji wa Yanga ambao ulichelewa ndege nchini Algeria, unatarajiwa kuwasili mchana wa leo baada ya kukamilika kwa masuala...

READ MORE

Sanchez, Ozil Wafanya Kweli, Wafufua Matumaini Ya Arsenal

Mshambuliaji Mesut Ozil ameendelea kuweka hai matumaini ya Arsenal kumaliza Ligi Kuu ya England ikiwa katika nafasi ne za juu...

READ MORE

Wakazi wa Dar, Walivyosherekea Jumatatu ya Pasaka Ufukwe wa Coco

BAADHI ya wananchi wakiwa katika fukwe ya Coco Beach jijini Dar es Salaam, wakipunga upepo, kuogelea na kupumzika leo Aprili...

READ MORE

Hatimaye Yanga Wajinasua Algeria

ALGERIA: Hatimaye mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans ‘YANGA’ wamepata ndege ya kuwarudisha wachezaji wake nchini Tanzania...

READ MORE

Fakhi Atua Dar Kuichinja Simba

Said Ally, Dar es Salaam, Championi Jumatatu MAMBO yanazidi kuwa mazito katika sakata la Simba kupewa pointi tatu za bwerere,...

READ MORE

Cannavaro, Kessy Wasimulia Kilichowaua

Wilbert Molandi, Dar es Salaam, Championi Jumatatu NAHODHA Mkuu wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na beki wa pembeni wa timu...

READ MORE

Yanga Imlipe Chirwa Mshahara Wa Nini Sasa!

Na Saleh Ally, Championi Jumatatu, YANGA wamefungwa mabao 4-0 katika mechi ya pili ya Kombe la Shirikisho (Caf) na sasa...

READ MORE

‘Shika Ndinga’ ya EFM, Washindi Wawili wa Pikipiki Wapatikana Tabata

WAKAZI wawili wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Amani Juma na Jeni Haonga, kupitia shindano la Shika Ndinga...

READ MORE

Toto Africans 0-0 Simba, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza

FULL TIME: Dakika ya 90 + 5: Mwamuzi anamaliza mchezo, matokeo ni 0-0, Simba sasa inafikisha pointi 62 katika michezo...

READ MORE

Kikosi cha Simba dhidi ya Toto African leo

Klabu ya Simba SC kimeweka hadharani kikosi chake cha wanajeshi 11 kitakachokwenda kuvaana na Toto African mchana wa leo kwenye...

READ MORE

Makundi ya Fainali za Vijana Zitakazofanyika Nchini Gabon

Makundi ya Fainali za vijana chini ya miaka 17 zitakazofanyika Mei (14-28), 2017 nchini Gabon

READ MORE

Mourinho: Ibrahimovic, Lingard wameniangusha

KOCHA Jose Mourinho amewalalamikia washambuliaji wake wa Manchester United wakiwemo Zlatan Ibrahimovic na Jesse Lingard, kuwa ni sababu ya wao...

READ MORE

Maamuzi Ya Kagera Sugar Baada Ya TFF Kuchukua Pointi Tatu

Uongozi wa Kagera Sugar umeandika barua Kwa Shirikisho  la Soka Tanzania (TFF), ukipinga klabu ya Simba kupewa Pointi tatu. Kagera...

READ MORE

Kila la kheri Yanga, Tuichangie Serengeti Boys

YANGA leo ipo ugenini kucheza na MC Alger mechi ya kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa...

READ MORE

Simba na Toto Kitaeleweka Leo Uwanja wa CCM Kirumba

Johnson James, Mwanza, Championi Jumamosi LEO Toto Africans inaikaribisha Simba kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa kuchezamechi ya Ligi...

READ MORE

VIDEO: Ishu ya Simba Kupewa Pointi 3, Yanga Wacharuka, Watoa Msimamo Wao

Yanga imetangaza kutokuwa na imani tena na watendaji na wafanyakazi wote ndani ya bodi ya Ligi. Hilo limetangazwa na uongozi...

READ MORE

Kipa MC Alger jela miezi 6, apigwa faini

Omary Mdose, Dar es Salaam, Championi Ijumaa KIKOSI cha Yanga kimepata ahueni kidogo baada ya kipa namba moja wa MC...

READ MORE

Kichuya: Tutavunja Rekodi ya Miaka 7 Toto

STORI: Khadija Mngwai | CHAMPIONI| Dar es Salaam KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya, amesema mechi ya kesho Jumamosi dhidi ya...

READ MORE

Yanga Yawabadilishia Mbinu Waarabu

Wilbert Molandi, Dar es Salaam, Championi Ijumaa KOCHA Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, amesema ili wapate ushindi wa ugenini, basi...

READ MORE

Breaking News: Kamati ya Saa 72 Yaipa Simba Pointi 3

KLABU ya Simba imezidi kujihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushinda rufaa yake dhidi ya Kagera Sugar ambao...

READ MORE

Aliyeishambulia Borussia Dortmund Akamatwa

     Maafisa wa polisi nchini Ujerumani wanamshikilia mshukiwa mmoja anayehusishwa na itikadi kali za Kiislamu kufuatia shambulio la bomu katika...

READ MORE

Wadau Waombwa Kuisapoti Timu ya ‘Wheelchair Tennis’

WADAU mbalimbali wa mchezo wa tennis inayochezwa kwa kutumia baiskeli za miguuu mitatu (Wheelchair) nchini wameombwa kuchangia timu hiyo ambayo...

READ MORE

Wayne Rooney Atangaza Kusepa Man Utd

Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Mmoja wa wachezaji wa timu hiyo...

READ MORE

Joseph Omog: Sikuamini Kama Tutawafunga Mbao

Said Ally| Championi | Dar es Salaam KOCHA wa Simba, Joseph Omog raia wa Cameroon, ameweka wazi kwamba kitendo cha...

READ MORE

Azam Walia Majeruhi Kuwafelisha

Omary Mdose | CHAMPIONI| Dar es Salaam IMEELEZWA kuwa, kitendo cha timu ya Azam FC kukumbwa na wachezaji wengi majeruhi...

READ MORE

Mastaa Simba Wawekewa Milioni 20 Mezani

  Said Ally |CHAMPIONI| Dar es Salaam BAADA ya kufanikiwa kupata pointi tatu mbele ya Mbao FC, uongozi wa timu...

READ MORE

Yanga Wacharuka Ishu Ya Kadi Tatu Za Fakhi, Watinga TFF, Bodi ya Ligi

Unaweza kumekucha kwa kuwa Kamati ya Utendaji ya klabu ya Yanga imeitaka Bodi ya Ligi Kuu Bara kutothubutu kuwapa pointi...

READ MORE

Kwaheri The Undertaker

FLORIDA, MAREKANI|  CHAMPIONI| MAKALA ZA BURUDANI JUMAPILI Iiliyopita kulifanyika tamasha kubwa la mieleka ambalo kwa mwaka huwa linafanyika mara moja, linajulikana kwa...

READ MORE

Yanga: Tutaweka Rekodi…

Khadija Mngwai | Dar es salaam KIUNGO wa Yanga, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda, ameeleza kuwa watapambana hadi tone la...

READ MORE

Msuva awatolea povu Kichuya, Mbaraka

Musa Mateja | CHAMPIONI| Dar es Salaam USHINDANI wa mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara unaendelea kwa kasi lakini upande...

READ MORE

Yanga Waweka Kambi kwa Maaskofu

Mwandishi Wetu | CHAMPIONI| Dar es Salaam TIMU ya Yanga, jana iliingia kambini Baraza la Maaskofu, Kurasini jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Simba: Kikwazo ni Malinzi

Khadija Mngwai | CHAMPIONI| Dar es Salaam KITENDO cha mshambuliaji wa Kagera Sugar, Mbaraka Yusuph kufunga bao la ‘kideoni’ katika...

READ MORE