×

Michezo

Guus Hiddink achukua mikoba ya Mourinho Chelsea

Kocha mpya wa Chelsea, Guus Hiddink. Aliyekuwa Kocha wa Timu ya Taifa ya Uholanzi, Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja...

READ MORE

Nonga aikosakosa Stand United

Paul Nonga Wilbert Molandi, Dar es Salaam KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na...

READ MORE

Kiiza: Simba imebadilika, inakuja kivingine

Straika Hamis Kiiza. Wilbert Molandi, Dar es Salaam BAADA ya kufanikiwa kuwasajili Brian Majwega, Paul Kiongera na Danny Lyanga, straika...

READ MORE

Yanga yasajili kiboko ya Niyonzima

Mshambuliaji, Issofou Boubacar. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KATIKA usajili wa dirisha dogo uliofikia tamati Desemba 15, mwaka huu, Yanga...

READ MORE

Jose Mourinho atimuliwa kazi Chelsea

Jose Mourinho. Meneja wa Klabu ya Chelsea ya Uingereza, Jose Mourinho amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kufululiza kwa matokeo...

READ MORE

Niyonzima asimamishwa Yanga, akatwa mshahara

Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima. KIUNGO wa Yanga SC, Haruna Hakizimana Fadhil Niyonzima atapokea nusu mshahara kwa muda usiojulikana, baada ya...

READ MORE

Nonga asaini miaka miwili Yanga

Waandishi Wetu, Dar es Salaam DIRISHA dogo la usajili lilifungwa rasmi jana na Yanga SC ikaamua kufunga kwa kunasa saini ya...

READ MORE

Straika Simba ampa tuzo Ngoma

Donald Ngoma wa Yanga. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam MPACHIKA mabao tegemeo wa Simba, Ibrahim Ajib ‘Cadabra’, ameweka bayana kuwa, hana...

READ MORE

Kerr amkataa Mniger wa Yanga SC

Kocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr. Wilbert Molandi na Hans Mloli KOCHA Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, ameingilia...

READ MORE

Ratiba ya robo Fainali UEFA

READ MORE

Kweli Nape, hakuna nidhamu kabisa kwenye michezo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. NILIMSIKILIZA Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akizungumzia...

READ MORE

Simba yampa Kiongera nyumba 3 Dar

Paul Kiongera. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam SUPASTAA! Katika kile kilichoonekana Mkenya, Paul Kiongera analelewa kama mfalme wa Simba, uongozi wa...

READ MORE

Niyonzima awashiwa taa nyekundu Yanga SC

Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam MUDA wowote, lolote linaweza kumtokea kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima ikiwemo...

READ MORE

Wajapan wampiga stop Samatta… kumgusa Messi

Mbwana Samatta. OSAKA, Japan NDOTO ya nyota wa Kitanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kumkabili staa wa dunia, Lionel Messi wa...

READ MORE

Ratiba ya Ligi Ya Mabingwa Afrika‏

Yanga imepangwa kuanza na mabingwa wa Mauritian, Cercle de Joachim katika draw ya Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya awali...

READ MORE

Okwi aiingiza matatani Simba

Aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam SIKU chache baada ya gazeti hili kuripoti kuwa aliyekuwa mshambuliaji...

READ MORE

Jerry Tegete aishtaki Yanga

Jerry Tegete Mwadui FC. Hans Mloli, Dar es Salaam WAKATI Yanga ikiendelea na kampeni nzito za kutwaa ubingwa msimu huu, upande...

READ MORE

Atemwa Yanga, asaini miaka miwili Korea

Kiungo wa pembeni, Mbrazili, Andrey Coutinho. Hans Mloli, Dar es Salaam KIUNGO wa pembeni, Mbrazili, Andrey Coutinho, aliyesitishiwa mkataba na Klabu...

READ MORE

Chelsea, Arsenal zatinga 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya

Olivier Giroud na wenzake wakishangilia ushindi dhdi ya Olympiacos. Chelsea wakishangilia kutinga hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya....

READ MORE

Okwi Simba tena

Emmanuel Okwi. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KUNA ile methali, inasema hivi: “Banda likikushinda, jenga kibanda”. Hivi ndivyo Simba watakavyolazimika kuchagua...

READ MORE

Majabvi amfunika mshahara kocha Simba SC

Mzimbabwe Justice Majabvi. Hans Mloli, Dar es Salaam MUDA mwingine cheo si ishu sana kama unaingiza pesa nyingi zaidi ya bosi,...

READ MORE

Stand: Maguri haondoki hapa

Straika Elias Maguri. Omary Mdose, Dar es Salaam UONGOZI wa Stand United, umetangaza kuwa, klabu yoyote inayofanya mchakato wa kumsajili straika...

READ MORE

Tambwe, Busungu wamchanganya Pluijm

Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge KIKOSI cha Yanga kipo katika maandalizi kabambe ya kujiandaa na mechi yake ya Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Matokeo Ligi ya Mabingwa Ulaya

Wachezaji wa Manchester United baada ya kipigo cha 3-2 kutoka kwa Wolfsburg na kuyaaga mashindano hayo. Kundi A Paris Saint Germain 2...

READ MORE

Aveva adaiwa kukwamisha usajili wa Mavugo

Rais wa Simba, Evans Aveva. Martha Mboma na Ibrahim Mussa HAKIJAELEWEKA! Uongozi wa Klabu ya Vital’O ya Burundi, umemtupia lawama...

READ MORE

Kiongera avuna mamilioni Simba

Wilbert Molandi, Dar es Salaam KAMA siyo dola 10,000 (sawa na shilingi milioni 20), basi mshambuliaji Mkenya, Paul Kiongera, asingerejea tena...

READ MORE

Coutinho atimuliwa Yanga

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho. Khadija Mngwai, Dar es Salaam SASA yametimia, ndivyo unavyoweza kusema kwa kiungo mshambuliaji wa Yanga,...

READ MORE

Manchester City wapigwa na Stoke City bao 2-0

Mshambuliaji wa Stoke City Marko Arnautovic (kulia) akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya saba kipindi cha kwanza katika...

READ MORE

Ngoma apewa sh.millioni 200

Donald Ngoma. Wilbert Molandi, Dar es Salaam SIJUI utatafsiri vipi lakini habari mpya mjini ni kuwa Klabu ya Yanga imeweka pembeni...

READ MORE

Tambwe apata gonjwa la ajabu

Mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam SIKU moja baada mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe kujiunga...

READ MORE

Pluijm ampoteza Kerr

Hans van Der Pluijm. Sweetbert Lukonge na Nicodemus Jonas KUFURU ya mkwanja! Wakati Yanga wakitamba kuwa wababe wa makombe kwenye...

READ MORE

Msuva amvuruga Pluijm

Simon Msuva. Sweebert lukonge, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Dar Pluijm hivi sasa anaumiza kichwa ili kuhakikisha...

READ MORE

Kiongera: Nakuja Simba kuipa ubingwa

Straika wa Simba, Mkenya, Paul Kiongera. Martha Mboma Dar es Salaam STRAIKA wa Simba, Mkenya, Paul Kiongera, amesema amefurahi kuona klabu...

READ MORE

Kavumbagu kufuru, Azam yamuuza kwa 200m

Didier Kavumbagu. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam RASMI! Hatimaye Azam wamekubali yaishe kwa fowadi wake, Didier Kavumbagu kumuachia kutimkia Ulaya katika...

READ MORE

EPL: Chelsea, Tottenham ngoma suluhu

Clinton N’Jie wa Tottenham akikwaana na Cesc Fabregas wa Chelsea. Harry Kane wa Tottenham akijaribu kupiga shuti mbele ya mabeki...

READ MORE

Vikosi: Chelsea vs Tottenham Hotspur

Chelsea: Begovic; Ivanovic, Zouma, Cahill, Azpilicueta; Fabregas, Matic; Willian, Oscar, Pedro; Hazard Tottenham Hotspur: Lloris (C), Walker, Alderweireld, Vertonghen, Rose;...

READ MORE

Tyson Fury amchakaza Wladimir Klitschko

Wladimir Klitschko akitupiana makonde na Tyson Fury. Tyson Fury akishangilia ushindi akiwa na mikanda aliyoshinda. Tyson Fury baada ya kutangazwa mshindi....

READ MORE

Beki Simba avamiwa na majambazi

Wilbert Molandi na Gladness Mallya NAHODHA na beki wa kati wa zamani wa Simba, Boniface Pawasa, siku kadhaa zilizopita alivamiwa...

READ MORE