×

Michezo

TFF yamwondoa rasmi Yondani mechi ya Simba

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani.  BAADA ya Championi kuwa gazeti la kwanza kuripoti kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ataukosa...

READ MORE

Magufuli arudisha tiketi za elektroniki Taifa

Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. SERIKALI ya Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais...

READ MORE

Yanga waenda Mauritius kitajiri

Timu ya Yanga wakifanya mazoezi. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KIKOSI cha Yanga kimeondoka alfajiri ya leo Ijumaa kuelekea nchini...

READ MORE

Ajib: Imebaki Yanga tu! Tunaisubiri

Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib. Ibrahim Mussa, Dar es Salaam WAKATI Simba ikitarajiwa kukipiga na Stand United kesho Jumamosi mkoani...

READ MORE

Acacia Stand United kuja kivingine

Kikosi cha Acacia Stand United. Na Johnson James, Mwanza BAADA ya kuwa kwenye mgogoro wa kiuongozi kwa muda mrefu, timu...

READ MORE

Rais Kabila awazawadia wachezaji wa timu ya taifa Toyota Prado

   Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) akiwa amebeba kombe la ubingwa wa CHAN2016 katika picha...

READ MORE

Picha: Zouma Alivyoumia Vibaya Mguu Jana

Mguu wa Kurt Zouma ulivyopinda mara baada ya kutua vibaya alipokuwa ameruka juu. Beki wa kati wa Chelsea, Kurt Zouma...

READ MORE

Yanga yapiga mtu nne

Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli. Hans Mloli,Dar es Salaam ULIDHANI Yanga imepotea? Usijidanganye, moto wa Yanga si wa kitoto, wakiamua...

READ MORE

Simba hatari, yashinda mechi ya sita mfululizo

Wachezaji wa Simba wakishangilia goli. Johnson James, Shinyanga SIMBA ni hatari! wala huwezi kubisha kwa hilo baada ya kufanikiwa kuichapa...

READ MORE

Samatta aanza kazi rasmi

Mbwana Samatta. Omary Mdose,Dar es Salaam KWA mara ya kwanza straika, Mbwana Samatta, juzi Jumamosi aliandika historia ya kuwa Mtanzania...

READ MORE

Wachezaji wa Azam watakaowavaa Mwadui leo hawa hapa

Kikosi cha Azam FC kitakachochuana dhidi ya Mwadui ya Shinyanga leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...

READ MORE

Unazijua mechi kali za leo EPL?

Muda: Saa 10:30 jioni Uwanja: Dean Court Muda: Saa 1 usiku Uwanja: Stamford Bridge

READ MORE

Man U Yavunja Ukimya Kuhusu Ujio wa Mourinho

Timu ya Manchester United imekataa kusema lolote juu ya madai kuwa ilifanya mashauriano na wawakilishi wa kocha mzoefu Jose Mourinho,...

READ MORE

Tambwe, Kiiza sasa ni vita

Straika wa Yanga, Amissi Tambwe. Hans Mloli na Khadija Mngwai STRAIKA wa Yanga, Amissi Tambwe, ana mabao 14 katika Ligi...

READ MORE

Pluijm: Jamani ehee sasa basi

Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam YANGA kesho Jumapili inacheza na JKT Ruvu kwenye...

READ MORE

Ajib awafuata Messi, Suarez

Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib. Hans Mloli, Dar es Salaam WAKATI bao la ‘kideo’ la mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib...

READ MORE

Matajiri Yanga wamjadili Kiiza

  Mshambuliaji wa Simba, Hamis Kiiza. Wilbert Molandi na Khadija Mngwai KASI ya kufunga mabao ya mshambuliaji wa Simba, Hamis...

READ MORE

Cannavaro apiga dozi ya nguvu, aikamia Simba SC

Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Wilbert Molandi, Dar es Salaam KATIKA kuhakikisha anarejea kwa haraka uwanjani ili kuiokoa timu yake, nahodha na...

READ MORE

Majanga Yanga, Kamusoko naye nje

Kiungo  wa Yanga kimataifa, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko. Hans Mloli, Dar es Salaam WAKATI Yanga ikiingia dimbani leo ikiwa na kumbukumbu...

READ MORE

Prisons wamweka kifungoni Tambwe

Amissi Tambwe. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam WAKATI Yanga ikishuka dimbani leo ugenini kumenyana na Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine,...

READ MORE

Cannavaro ashusha presha Yanga, aitaka Simba SC

Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Wilbert Molandi, Dar es Salaam HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa nahodha, Nadir Haroub ‘Cannavaro’...

READ MORE

Yondani atemwa mechi ya Simba

Beki wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani. Waandishi Wetu HASIRA hasara, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya beki wa kati...

READ MORE

Ugando ni habari nyingine Simba SC

Kinda wa Simba, Hija Ugando. Na Hans Mloli, Dar es Salaam SIMBA inaonekana kuanza kukaa sawa na kuzitetemesha timu zilizopo...

READ MORE

Samatta aipa Simba milioni 200

Mtanzania, Mbwana Samatta. Said Ally na Omary Mdose BAADA ya dili la mshambuliaji, Mtanzania, Mbwana Samatta kujiunga na Klabu ya...

READ MORE

Kamusoko aimaliza Yanga Mkwakwani

Kiungo wa kimataifa wa Yanga, Mzimbabwe, Thabani Kamusoko. Sweetbert Lukonge, Dar es Salaam TIMU ya Yanga, juzi Jumapili ilichezea kichapo...

READ MORE

Niyonzima apangiwa mlo maalum amzuie Tchetche

Wachezaji wa Timu ya Yanga wakifanya Mazoezi. Wilbert Molandi, Dar es Salaam YANGA haitaki mchezo kwani imempangia mlo maalum kiungo...

READ MORE

Samatta kimeeleweka Genk, Katumbi amfuata

Mbwana Samatta. BOSI wa TP Mazembe, Moise Katumbi, amemfuata straika wake, Mbwana Samatta nchini Ubelgiji ili kuweka mambo sawa ili...

READ MORE

Simba, Azam zamzuia Yondani kusaini mkataba mpya yanga

Beki tegemeo wa timu ya Yanga, Kelvin Yondani. KAMATI ya Usajili ya Yanga, imestopisha mazungumzo yake na beki tegemeo wa...

READ MORE

Mbinu za Pluijm, Mayanja zafanana

Kocha wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Waandishi Wetu, Dar es Salaam MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara zimekolea,...

READ MORE

Malinzi: Tumekosea kuiruhusu Azam

Said Ally, Dar es Salaam KUFUATIA malalamiko ya klabu kadhaa za Ligi Kuu Bara juu ya Azam FC kuruhusiwa kwenda nchini...

READ MORE

Jerry Muro kupandishwa ‘kizimbani’

Msemaji wa Yanga, Jerry Muro. Nicodemus Jonas, Dar es Salaam KAMA ulidhani ile kesi inayomkabili msemaji wa Yanga, Jerry Muro imepotezewa...

READ MORE

Ajib mchezaji bora wa mwezi Simba

Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajib. Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajib ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa timu hiyo...

READ MORE

Kocha Simba azungumza na timu tatu Sauz

Aliyekuwa kocha wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr. Hans Mloli, Dar es Salaam IMEBAINIKA kuwa aliyekuwa kocha wa Simba, Muingereza, Dylan...

READ MORE

Wachezaji 11 nje Yanga SC

Wachezaji wa timu ya Yanga. Sweetbert Lukonge na Nicodemus Jonas BALAA kubwa limeikumba Yanga ambayo hivi sasa ipo katika maandalizi...

READ MORE

Mabao 13 Yanga yampa Tambwe hofu

Straika wa Yanga na kinara wa mabao Ligi Kuu Bara, Amissi Tambwe. Khadija Mngwai, Dar es Salaam STRAIKA wa Yanga...

READ MORE

Pluijm ampa muda Niyonzima

Haruna Niyonzima ‘Fabregas’. Nicodemus Jonas na Sweetbert Lukonge LICHA ya wanachama wa Yanga kufurahia kurejea kwa fundi wa pasi kikosini...

READ MORE

Pointi 21 zashikilia ubingwa Yanga

Mwadishi Wetu Dar es Salaam LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kumalizika Mei 7, mwaka huu, lakini vinara wa ligi hiyo,...

READ MORE

Manji: Tiboroha alificha barua za Niyonzima

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji. *Atangaza kugombea tena, asema wanaomtaka wampe kura awe mwenyekiti Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Yanga,...

READ MORE

Yondani atoboa siri ya kiwango chake Yanga

Beki wa kutumainiwa wa timu hiyo, Kelvin Yondani. Hans Mloli, Dar es Salaam UKIACHANA na balaa wanalolifanya kina Amissi Tambwe,...

READ MORE

Tambwe tena akutwa na mkasa

Mshambuliaji wa Yanga, Hamis Tambwe. Mwandishi Wetu Dar es Salaam MSHAMBULIAJI wa Yanga, Hamis Tambwe, amekumbwa na mkasa mwingine baada...

READ MORE