×

Risasi

Gigy Money, Idris mahaba niue!

Idris na Gift Stanford ‘Gigy Gladness Mallya, Risasi Jumamosi IMEVUJA! Baada ya hivi karibuni penzi la Wema Sepetu na Idris...

READ MORE

Majipu yakaa mkao wa kutumbuliwa

Mwandishi wetu, Risasi Jumamosi DODOMA: Huku leo Rais Dk John Magufuli akitarajiwa kukabidhiwa Uenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka...

READ MORE

R.O.M.A afunguka ‘kumkopi’ Eminem

Ibrahimu Mussa ‘R.O.M.A’ Makala: Erick Evarist WASANII wengi Bongo kabla ya kuanza sanaa walikuwa na watu wanaowavutia kufanya muziki. Ibrahimu...

READ MORE

Kisa kushuti malaika alia kama mtoto

Stori: BMM, RISASI JUMAMOSI MWANADADA anayeanza kujivunia mashabiki wengi kwenye Tasnia ya Muziki Bongo, Diana Exavery ‘Malaika’ amefunguka kuwa amewahi...

READ MORE

Mwanaheri: Umbo langu linanitesa

Stori: Imelda Mtema MSANII anayekuja vizuri kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Mwanaheri Ahmed ametoa dukuduku lake la moyoni kuwa umbo...

READ MORE

Davina alia kupoteza jembe

Stori: Imelda Mtema Halima Yahaya ‘Davina’, staa wa sinema za Kibongo ambaye mwanzoni mwa wiki hii alimpoteza baba yake mzazi,...

READ MORE

Uzee kumwachisha Bi Mwenda uigizaji

Stori: Imelda Mtema MUIGIZAJI mkongwe kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amefunguka kuwa anaona uzee umeshamfikia hivyo...

READ MORE

Navy Kenzo waitoa kimasomaso Bongo

Stori: BMM, RISASI JUMAMOSI KUNDI la Muziki wa Bongo Fleva, linaloundwa na wapendanao, Aika Mareale ‘Aika’ na Emmanuel Mkono ‘Nahreel’...

READ MORE

Belle 9: Sitasahau nilivyotendwa kimapenzi

MWANAMUZIKI anayefanya poa ‘always’ kwenye gemu la Muziki Bongo, akitamba kwa sasa na remix ya Wimbo wa Burger Movie Selfie,...

READ MORE

Mimba ya Jokate yazua balaa!

Na Waandishi wetu RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Kizaazaa! Kufuatia mwanamitindo nyota Bongo na Miss Tanzania Namba 2, 2006, Jokate...

READ MORE

Wema amfyatukia Zari

STORI:WAANDISHI WETU, WIKIENDA Dar es Salaam: Ametibuka tena! Siku chache baada ya kutangaza kuwa hana kinyongo na anataka kukutana na...

READ MORE

Mashoga wambipu Makonda, wakiona

Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda. Na Mwandishi wetu, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Watu tisa wanaodaiwa kujihusisha na mapenzi ya...

READ MORE

Gari la Wema lawekwa kiporo mnadani!

Wema Sepetu ‘Madam’ Na RICHARD BUKOS, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Lile gari la kifahari aina ya Range Rover Evogue...

READ MORE

Wastara laivu na aliyekataa mahali yake!

Wastara Juma na Juma Mbega ‘Masairo’. NA IMELDA MTEMA, RISASI MCHANGANYIKO WASTARA Juma ambaye alikataa mahari ya shilingi milioni tano...

READ MORE

Mwanaheri: Adui yangu mkubwa ni uchafu

Mwigizaji wa Filmu za Bongo, Mwanaheri Ahmed MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu wa Mpaka Home! Baada ya wiki jana kuwa...

READ MORE

Ulinzi UDSM ni sifuri

Ulinzi getini. Waandishi wetu, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Ulinzi na usalama wa maelfu ya wanavyuo wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Gigy: Bila pesa sitoi penzi

Stori: Boniphace Ngumije Muuza sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kutokana na wanaume wengi wakware...

READ MORE

Mo music: kama si ustaa ningeteseka!

Stori: Boniphace Ngumije MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema kuwa kama si ustaa angeteseka sana...

READ MORE

Nuh Mziwanda: Baby hapendi niende studio usiku

Stori: Boniphace Ngumije MBONGO Fleva anayetamba kwa Wimbo wa Jike Shupa, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amefunguka kuwa, miongoni mwa vitu...

READ MORE

Penny aumia shisha kuzuiwa

Stori: Imelda Mtema MTANGAZAJI maarufu Bongo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema kuwa ameumizwa sana na kupigwa marufuku uvutaji wa sigara aina...

READ MORE

Bozi apunwa simu kwenye kamari

Stori: Mayasa Mariwata AMEPUNWA! Ndivyo wasemavyo watoto wa mjini kufuatia mwigizaji wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ’Bozi’ kuambulia maumivu...

READ MORE

Kaburi la Kanumba lavunjwa kichwani na miguuni!

Aliyekuwa nguli wa  lamu Bongo, Steven Kanumba NA MAYASA MARIWATA RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: KATIKA hali iliyohusishwa na imani...

READ MORE

Baby Madaha avishwa pete ya uchumba

Gladness Mallya HABARI njema! Kwa mara ya kwanza, staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Madaha amejikuta akitoa meno yote...

READ MORE

Lulu usitukane wakunga, uzazi ungalipo!

KWAKO mtoto mzuri ndani ya Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Hujambo? Habari ya huko ulipo? Wazima wote na familia yako?...

READ MORE

Steve Nyerere: Mastaa tupunguze ‘raundi’

Stori: Imelda Mtema MCHEKESHAJI mahiri Bongo, Steve Nyerere amewataka mastaa wenzake kupunguza kuagiza raundi wanapokuwa kwenye starehe za unywaji pombe...

READ MORE

Nay amfungukia Miss Tanzania

Nay wa Mitego. Gladness Mallya BAADA ya tetesi kuzagaa kuwa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ anatoka...

READ MORE

Polisi wavamia nyumbani kwa Diamond usiku!

Diamond Platnumz IMELDA MTEMA NA GABRIEL NG’OSHA DAR ES SALAAM: Polisi wenye silaha hivi karibuni wali ka nyumbani kwa msanii...

READ MORE

JB, Uwoya gumzo!

Jacob Stephen ‘JB’ na Irene Uwoya wakijiachia. NA MUSA MATEJA, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Waigizaji wakubwa katika  lamu Bongo,...

READ MORE

Kisa wivu, amnyonga mkewe mjamzito gesti

Gesti aliponyongewa. Na: Gabriel Ng’osha na Mayasa Mariwata,  RISASI Mchanganyiko INAUMA SANA! Mapenzi ni jambo hatari zaidi katika maisha ya...

READ MORE

Shilole: Huyu ndiye mrithi wa Nuh!

Zuwena Mohamed ‘Shilole’, na alimwanika bwana’ake mpya. NA MWANDISHI WETU, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: STAA anayebeba fani mbili kwa...

READ MORE

Madai: Steve Nyerere alia kisa, kukosa U-DC

NA MWANDISHI WETU, RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: Madai! Kufuatia Rais Dk. John Pombe Magufuli kuteua wakuu wa mikoa (ma-RC)...

READ MORE

Enock kuoa no! umri bado mdogo

  Enock Bella wa Ya Moto Band akiwa ametulia nyumbani. MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, leo katika safu yetu hii...

READ MORE

Mtitu afunguka maprodyuza kuwamaliza warembo

Stori:  BONIPHACE NGUMIJE PRODYUZA na muigizaji wa sinema Bongo, William Mtitu amefunguka kuwa maprodyuza wengi wamekuwa wakipewa lawama za kutembea...

READ MORE

Mike: Naitamani sana salamu ya Thea

Stori: IMELDA MTEMA MSANII wa muda mrefu kwenye tasnia ya filamu Bongo, Mike Sangu amefunguka kuwa anatamani sana hata kusalimiana...

READ MORE

Aunt awehuka barabarani, asababisha foleni!

Stori: IMELDA MTEMA, RISASI JUMAMOSI DAR ES SALAAM: Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amewashangaza watu baada ya juzikati kushuka...

READ MORE

Odama akata kilo kumi mwilini

Na Imelda Mtema STAA wa Bongo Muvi, Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameondoa ubonge nyanya kwa kupunguza kilo kumi mwilini mwake. Kabla...

READ MORE

Malaika: Mapenzi tena Bongo ‘NO’

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Diana Exavery ’Malaika’ amefunguka kuwa kwa sasa hataki tena mpenzi Bongo badala yake...

READ MORE

Baby Madaha haishi vituko

Na Mwandishi Wetu MSANII wa Bongo Fleva, Baby Madaha haishi vituko na safari hii, amekuja na mpya kwamba eti mchumba...

READ MORE

Kidoa: Sijafungiwa ndani, nina ‘project’ zangu

Na Gladness Mallya MWANADADA anayeuza sura kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Asha Salum ‘Kidoa’ amesema hajafungiwa ndani kama...

READ MORE