×

Soccer

CAF Wamfungulia Kesi ya Kinidhamu Kocha Mkuu wa Senegal – Video

  CAF imefungua rasmi kesi za kinidhamu dhidi ya kocha mkuu wa Senegal Pape Thiaw. Kocha huyo wa Senegal sasa...

READ MORE

Vikosi Vikubwa Barani Ulaya Vitakutana London Leo Usiku

Vikosi viwili vyenye kiwango bora zaidi barani Ulaya vitachuana usiku wa kesho jumatano tarehe 26 kwenye Ligi ya Mabingwa Ndani...

READ MORE

Leo Ni Siku ya Kuzaliwa kwa Wayne Rooney

Leo amezaliwa nyota hatari zaidi kuwahi kutokea katika kikosi Cha Manchester United na timu ya taifa ya England WAYNE MARK...

READ MORE

Álvarez Aamua Kuachana na Atlético, Barca Yaongoza Kinyang’anyiro

Mshambuliaji wa Argentina, Julián Álvarez, ameripotiwa kukubali kuondoka Atlético Madrid mwaka 2026 ili kusaka maendeleo zaidi katika taaluma yake ya...

READ MORE

Dembele Alia na Mshahara Mdogo Baada ya Kushinda Ballon d’Or

Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, ameiomba klabu yake kumpa mkataba mpya na ongezeko la mshahara linalolingana na hadhi yake...

READ MORE

Folz Awaahidi Mashabiki Raha Kesho, Kapombe Atoa Onyo

Kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika...

READ MORE

Kocha Fadlu Afafanua Mustakabali wa Ladack Chasambi

Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, ametoa msimamo wake wazi juu ya kiungo mshambuliaji, Ladack Chasambi, akibainisha kuwa hayupo katika...

READ MORE

Ruto Aahidi TSh 48 Milioni kwa Kila Mchezaji Harambee Stars Wakishinda Zambia

Rais wa Kenya, William Ruto, leo amekutana na kikosi cha Harambee Stars na kutoa ahadi nono kuelekea mechi ya mwisho...

READ MORE

Nani Bingwa wa LALIGA 2025/26?

Wakali wa ubashiri Tanzania wanakwambia kuwa leo hii unaweza ukabashiri nani anaweza kuwa bingwa wa Laliga. Kila timu imepewa ODDS...

READ MORE

CAF Yatangaza Vilabu 75 Bora Afrika 2025, Klabu 3 za Tanzania Zatamba

Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) leo limetoa orodha ya vilabu 75 bora kwa mwaka 2025, ikizingatia viwango...

READ MORE

Mfungaji Namba 1 Aondoka? Ahoua Apigwa Bei Nzuri na JS Kabylie

Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC raia wa Ivory Coast, Jean Charles Ahoua kwenye rada za Klabu ya JS...

READ MORE

Hato Akamilisha Dili Na Chelsea Majira Haya

Kiungo wa kati wa klabu ya AFC Ajax na timu ya taifa ya Uholanzi, Jorrel Hato, amekamilisha usajili wake na...

READ MORE

Wachezaji wa Liverpool Wafanya Maandalizi ya Kiroho Kabla ya Msimu Mpya Nchini Tokyo

Tokyo, Japan – Katika tukio lisilo la kawaida kwenye kalenda ya maandalizi ya timu, wachezaji wa Liverpool wameanza siku yao...

READ MORE

“Yanga Yamnasa Nahodha wa Simba?” – Ali Kamwe Afunguka Suala la Zimbwe Jr

WAKATI Yanga SC wakitajwa kukamilisha kwa asilimia 100 dili la Mohamed Hussen Zimbwe Jr aliyekuwa beki wa Simba SC na...

READ MORE

Arsenal Yamnasa Viktor Gyökeres kwa Dau la Bilioni 300

Klabu ya Arsenal mbioni kufanikisha azma yake ya muda mrefu, ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji hatari kutoka Sweden, Viktor Gyökeres,...

READ MORE

Zimbwe Jr Atoa Ishara Za Kuondoka Simba, Yanga Waingia Mitaani!

NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen Zimbwe Jr kuna hatihati huenda akaondoka ndani ya kikosi hicho baada ya kanadarasi yake...

READ MORE

Vita ya Yanga na Simba Kumsaka Offen Chikola Yafika Ukingoni

MABINGWA mara 31 ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC inatajwa kuwa imefikia makubaliano na kiungo mshambuliaji wa Tabora...

READ MORE

Ancelotti Ahukumiwa Mwaka 1 Gerezani Na Faini Ya Billioni 1

Kocha wa zamani wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani na kutozwa faini ya €386,000 (zaidi...

READ MORE

Job na Yanga Mambo ni Moto! Hatima Yake Kusubiriwa

INAELEZWA kuwa mabosi wa Yanga SC wamefanya mazungumzo na beki wa Yanga SC, Dickson Job kuhusu kuongeza kandarasi mpya kuendelea...

READ MORE

Fainali ya Yanga, Singida Black Stars Kupigwa New Amaan

FAINALI ya Kombe la Shirikisho la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Kocha Yanga Aiweka Kando Kariakoo Dabi Ligi Kuu Bara

KOCHA Mkuu wa Yanga Miloud Hamdi amesema kuwa haufahamu mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao wa Kariakoo Dabi badala yake...

READ MORE

Mashabiki Wa PSG Waunga Mkono Palestina Katika Mechi Ya Fainali Ya Klabu Bingwa Ulaya

Mashabiki wa PSG waunga mkono Palestina katika mechi ya fainali ya klabu bingwa Ulaya Mashabiki wa timu ya soka ya...

READ MORE

Fiston Mayele Aandika Historia: Aipa Pyramids FC Taji La Kwanza La Ligi ya Mabingwa Afrika

Cairo, Misri – Mshambuliaji wa Kimataifa kutoka DR Congo, Fiston Kalala Mayele, ameendelea kuthibitisha kuwa yeye ni miongoni mwa wakali...

READ MORE

Meneja Wa Manchester United, Ruben Amorim Atangaza Vita Kuelekea Msimu Ujao

Meneja wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema kuwa yeye na wachezaji wake wanatazamia kumaliza msimu huu wa 2024/25 uliojaa changamoto....

READ MORE

Beki Wa Kazi Yanga Deni Lake Limekia Hapa

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao...

READ MORE

Baada ya Kufikia Makubaliano, Graham Potter Akubali Kuinoa Chelsea

  MMILIKI wa Chelsea Todd Boehly alikutana na Potter katikati mwa London Jumatano alasiri kwa kile kilichoelezwa kuwa “mazungumzo chanya”...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS :...

READ MORE

Taifa Stars Yaelekea Benin

LEO Oktoba 8 Timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, imeondoka leo Ijumaa, Oktoba 8, 2021 majira ya saa 6 mchana...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS  https://apple.co/38HjiCx Android  http://bit.ly/38Lluc8...

READ MORE

Kibwana Amfungukia Shaban Djuma

BAADA ya Yanga kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kulia wa AS Vita, Shaban Djuma, beki wa kulia wa Yanga,...

READ MORE

Mourinho Atimuliwa Tottenham

  Tottenham imemfuta kazi Jose Mourinho kutokana na timu hiyo kutokuwa na nafasi ya kushiriki Champions League msimu huu.  ...

READ MORE

Real Madrid Yaitungua Barcelona 2-1

TIMU ya Real Madrid imepaa hadi kileleni mwa msimamo wa La Liga, na kuweka hai matumaini ya ubingwa baada ya...

READ MORE

Kufuzu Fainali Kombe la Dunia 2022, Messi Kibaruani Leo

Mataifa ya Amerika yanaendelea na harakati za kuisaka tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia 2022. Michezo ya Kufuzu CONMEBOL inaendelea...

READ MORE

Samatta Uso Kwa Uso Na Van Dijk

STRAIKA Mtanzania anayecheza Aston Villa, Mbwana Samatta, leo anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakacho pambana na mabingwa...

READ MORE

Tetesi za Soka Ulaya July 05 2020

Inter Milan imeanza mazungumzo na Chelsea ya kumnunua beki wa kushoto wa Italia Emerson Palmieri, 25, kutoka klabu ya Stamford...

READ MORE

Liverpool vs Man United… Ngoma Nzito Hii

KESHO Jumapili, Liverpool itakuwa mwenyeji wa Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu England utakaochezwa kwenye Uwanja wa Anfield kuanzia...

READ MORE

Tanzia: Yanga Yapata Pigo

KLABU ya Soka ya Yanga imepata pigo baada ya kuondokewa na mchezaji wake wa zamani na Taifa Sstars, Hassan Goebles ‘Gobbos’...

READ MORE

Ballon d’Or: Modric Amaliza Ufalme wa Messi, Ronaldo

Kiungo wa Real Madrid na timu ya taifa la Croatia, Luka Modric, ameshinda tuzo ya Ballon d’Or kwa mwaka 2018,...

READ MORE

Amunike kaa mguu sawa, sisi Watanzania ni Wabrazili

MWAKA 2001, timu ya taifa ya Brazil ilikuwa kwenye hatikati ya kuko­sa michuano ya Kombe la Dunia kwa mara ya...

READ MORE

FULL TIME: TAIFA STARS 2-0 CAPE VERDE, KUFUZU AFCON

  FULL TIME Mchezo umemalizika, Taifa Stars inapata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cape Verde. Dk ya 95: Stars...

READ MORE