×

Soccer

Familia ya Ronaldo Yashutumu Madai ya Ubakaji Dhidi Yake

FAMILIA ya mwanasoka raia wa Ureno na klabu ya Juventus ya Italia, Cristiano Ronaldo,   imeshutumu  vikali madai dhidi yake, ambapo...

READ MORE

Salah, Mane, Ronaldo, Messi, Wengine 26 Kuwania 2018 Ballon d’Or

Shirikisho la Soka la Ufaransa limetoa majina 30 ya wachezaji soka watakaowania tuzo ya Ballon d’Or  kwa mwaka  2018.  Wachezaji wawili...

READ MORE

POGBA KAPANIA KWENDA BARCELONA AACHANE NA MOURINHO

MWANASOKA Mfaransa, Paul Pogba anataka kuondoka  Manchester United ya Uingereza na kwenda Barcelona ya Hispania hata kama ugomvi wake na kocha/meneja wake, Jose Mourinho ukimalizika. Ili...

READ MORE

Tambwe Abeza Kambi Ya Kimba Uturuki

AMISSI Tambwe ambaye msimu uliopita hakufanya lolote ndani ya Yanga, amedai kwamba hatishwi na kambi ya Simba huko Uturuki wala...

READ MORE

Lionel Messi Kumfata Cristiano Ronaldo

VITA kali ya mafanikio kati ya mahasimu wa soka  duniani, Cristiano Ronaldo wa Juventus na Lionel Messi wa barcelona haijafika kikomo...

READ MORE

Mashabiki wa Soka Waipokea Timu ya Ufaransa Kifalme

MASHABIKI wa soka walijipanga katika mtaa mashuhuri jijini Paris uitwao Champs-Elysees jana na kuipokea kifalme timu ya soka ya nchi...

READ MORE

Rooney Atimka Everton, Akimbilia Marekani

Breaking News: Aliyekuwa mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney (32) amesaini kandarasi ya miaka mitatu na nusu kuitumikia Klabu ya DC...

READ MORE

LIVE: SPOTI HAUSI ALIYELETWA NA YANGA NCHINI ALICHEZA NA SAMATTA

LEO kipindi bora cha michezo Spoti Hausi kitakuwa hewani kuanzia saa 10:00, wachambuzi wako leo watakuwa na mchezaji raia wa...

READ MORE

SOKABET INAVYOKUPA SH 100M KWA BUKU TU, FANYA HAYA…

  KATIKA Sokabet Jackpot unaweza kushinda hadi Sh milioni 100 ikiwa utapatia matokeo ya michezo 13 tu huku wewe ukiweka...

READ MORE

Usikose Kutazama SpotiHausi Leo Alhamisi, Saa 10:00 Jioni

#SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni Ni hapahapa #GlobalTVOnline Fanya kuingia hapa www.youtube.com/user/uwazi1...

READ MORE

SPOTI HAUSI: KIONGOZI SIMBA: YANGA WALINYIMWA PENALTI HALALI!

SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni leo usikose kutazama wachambuzi wa kipindi...

READ MORE

Klopp Amnyamazisha Guardiola

VINARA wa Ligi Kuu tya Uingereza, Manchester City jana walichezea kichapo cha bao 4-3 kutoka kwa vijana wa Jurgen Klopp...

READ MORE

SPOTI HAUSI LIVE: Beach Soccer ni ya Kina Boban, Kaseja

Tazama Kipindi cha Spoti Hausi kupitia Global Tv Online, ambayo imefanya mahojiano na  Mratibu wa Beach Soccer kutoka TFF, Aaron...

READ MORE

Nkomola Aanza Rasmi Mazoezi Yanga

    MSHAMBULIAJI  mpya wa Yanga, Yohana Nkomola, ameungana rasmi na wachezaji wa Yanga kwenye mazoezi yao baada ya kutoka...

READ MORE

Baada ya Tetesi za Kuhama, Hatimaye Juuko Arejea Upya Simba

KLABU ya Simba imeendelea kumalika zaidi baada ya beki wake Mganda, Juuko Murshid kuungana na wenzake tayari kwa maandalizi ya...

READ MORE

SPOTI HAUSI: Aaron Nyanda Ajinadi Kugombea Ujumbe TFF

Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Aaron Nyanda, amejinadi kupitia Global TV Online katika nafasi anayogombea katika uchaguzi mkuu...

READ MORE

Simba Waishangaa Azam

Na Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI | DAR ES SALAAM JUZI Jumamosi timu ya Simba ilifanikiwa kutinga fainali ya michuano ya...

READ MORE

Taifa Stars Piga Hao Botswana

Sweetbert Lukonge | CHAMPIONI JUMAMOSI | Dar es Salaam KIKOSI cha Taifa Stars, kikiongozwa na nahodha Mbwana Samatta leo kinacheza mechi...

READ MORE

SpotiHausi: Sakata la Ngoma, Bossou Ndani ya Yanga Kujadiliwa Mubashara Kupitia GlobalTV Pekee

Ni leo Alhamisi, Machi 2, saa 10:00 jioni. -Wachambuzi mahiri wa mchezo wa soka wakiongozwa na Mhariri wa Gazeti la...

READ MORE

Hatimaye Zlatan Ibrahimovic Apeleka Ndoo Man United

KLABU ya Manchesater United imefanikiwa kunyakuwa Kombe la EFL baada ya kuigonga Southampton kwa bao 3-2, bao la ushindi likipachikwa...

READ MORE

Mnyama Amtafuna Lyon Taifa

Na WILLBERT MOLANDI| CHAMPIONI IJUMAA| MICHEZO TIMU ya Simba, jana Alhamisi ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...

READ MORE

LIGI KUU BARA: Simba Waichapa Prisons 3-0

KLABU ya Simba wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao la 3-0 dhidi ya Prisons ya Mbeya, mchezo ambao umefanyika kwenye...

READ MORE

Azam FC Yashinda Fainali Kombe la Mapinduzi, Yaichapa Simba SC Bao 1-0

Azam FC wameifunga Simba  SC kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar, na kufanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi...

READ MORE

Manchester United Watoshana Nguvu na Arsenal

Manchester United wanaonolewa na Kocha asiyeishiwa maneno, Jose Mourinho waliyokuwa nyumbani kweye uwanja wao wa Old Trafford, wameshindwa kutamba mbele...

READ MORE

Antoine Conte na Hazard Wanyakua Tuzo

Kocha wa Chelsea Antoine Conte na kiungo wake Eden Hazard wametangazwa washindi wa tuzo za EPL za mwezi October, Conte...

READ MORE

Hawa Ndiyo Washindi wa Tuzo za La Liga Msimu wa 2015/16

Tuzo za La Liga Award 2015/2016 zilitolewa rasmi usiku wa Oktoba 24, 2016, tuzo za wachezaji na makocha waliofanya vizuri...

READ MORE

Bondia Afariki Baada Ya Kupokea Kichapo Ulingoni

SCOTLAND: Bondia Mike Towell (25) amefariki dunia baada ya kupoteza pambano lake na Dale Evans kwenye mzunguko wa tano. Pambano...

READ MORE