Cheka Apigwa Kwa ‘Knock Out’ na Dulla Mbabe ( PICHA +VIDEO)
Usiku wa kuamkia leo Jumapili, bondia Francis Cheka alichezea mkong’oto kwenye pambano lake na Abadallah Pazi aka Dulla Mbabe katika Ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es Salaam kuwania Ubingwa wa Dunia wa WBF.
Cheka amepigwa kwa Knock Out raundi ya sita.
PICHA: RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.