Clarence Mulisa Afiwa Na Mama Yake Mzazi
Mfanyakazi wa Global Publishers kitengo cha Habari na Mawasiliano (IT), Clarence Mulisa, amefiwa na mama yake mzazi, Feliciana Mulisa, usiku wa kuamkia leo jijini Arusha. Mama huyo alikuwa akitibiwa mkoani Arusha. Msiba upo Kinyamwezi, Chanika, Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam kwa kaka wa marehemu kesho ambapo kesho wanategemea kwenda Arusha na baadaye kuusafirisha mwili wa marehemu kwenda mkoani Kagera kwa ajili ya mazishi. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina!
Enzi za uhai wa marehemu Feliciana Mulisa.
Mfanyakazi wa Global, Clarence Mulisa.
Comments are closed.