CRDB Yawezesha Utengenezwaji Mfumo wa Kutunza Taarifa za Diaspora kwa udhamini wa Mil 100
SERIKALI kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetiliana saini hati ya makubaliano kutengeneza mfumo wa kuwatambua watanzania wanaoishi nje ya nchi, utakaofahamika kama ‘Diaspora Digital Hub’, ambao utagharimu jumla ya shilingi milioni 100 zitakazotolewa na Benki ya CRDB, utajumuisha watoa huduma wa Serikali kama; NIDA, UHAMIAJI, TIC pamoja na watoa huduma wengine ambao huduma zao zinawalenga Diaspora.
Wadau katika picha ya pamoja.