Dar Washerekea Eid El HajjI Coco Beach
Watanzania leo wamesherekea Sikukuu ya Eid El Hajji katika ufukwe wa Coco Beach uliopo Bahari ya Hindi, Masaki, jijini Dar. Familia zilifika kwenye ufukwe huo kuogelea na kula mishikaki na mihogo inayouzwa kwa wingi sehemu hiyo.
PICHA: ISSA MNALLY | GLOBAL PUBLISHERS