DC Jokate Aungana Na Tamwa Kupinga Ukatili Kijinsia
MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani, Jokate Mwegeleo, amesisitiza kwamba ukatili wa kijinsia hususan dhidi ya watoto na wanawake, ni lazima ukomeshwe.
Mwegelo aliyasema hayo leo kwenye kongamano lililotayarishwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe.
Kongamano hilo limefanyika katika Shule ya Sekondari ya Minaki.
Shughuli zikiendelea ofisini kwa Mwegelo.
PICHA NA IMELDA MTEMA | GPL
Comments are closed.