The House of Favourite Newspapers

DK 7 za Mtoto wa Kikwete Bungeni Leo “Hamjui Mlitendalo” – Video

Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amesimama Bungeni leo na kuchangia hoja kuhusiana na muswada wa Sheria uliowasilishwa Bungeni na Waziri mwenye dhamana ya Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi.

Msikie hapa

Comments are closed.