Dogo Janja na Mpenzi wake Quenlinnah Wapata Mtoto
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Abdulazizi Chande almaarufu “Dogo Janja” kupitia ukurasa wake wa instagram amefunguka kuwa yeye na mpenzi wake aitwaye Quenlinnah wamepata mtoto Novemba 15, 2023.
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Abdulazizi Chande almaarufu “Dogo Janja” kupitia ukurasa wake wa instagram amefunguka kuwa yeye na mpenzi wake aitwaye Quenlinnah wamepata mtoto Novemba 15, 2023.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.