The House of Favourite Newspapers

DUUH! Usipocheka Nidai ‘MB’ Zako, Steve Nyerere Kiboko! – VIDEO

Ni usiku wa Chekelea Stand Up Comedy, katika ukumbi wa Kebbys Hotel iliyopo Mwenge, ambapo wasanii kibao wa vichekesho akiwemo Oscar Nyerere, Black Passy, JK Comedian na wengine wengi wanafanya shoo ya kuwavunja watu mbavu.

Miongoni mwa wasanii walioufanya usiku huo kuwa wa kipekee kabisa ni Steve Nyerere, ambaye katika video hii ukimtazama utacheka mpaka usahau shida zote za dunia kama unabisha angalia mwenyewe.

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO


Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global TV Family Club

Comments are closed.