Ewura: Nchi Ina Mafuta ya Kutosha
Felix Ngamlagosi (kulia) akisikiliza maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo pichani) kulia kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Petroli, Godwin Samwel walipotoa taarifa ya mafuta nchini leo katika ofisi zao mpya Jengo la LAPF, Dar.Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi (kulia) akisoma taarifa yake inayosema mafuta yapo mengi nchini.Mkutano ukiendelea na wanahabari.Wanahabari wakichukua tukio hilo.
NA DENIS MTIMA/GPL
EURA ACHENI KUWAFUMBA MACHO WATANZANIA, SIO KILA JAMBO MNAPELEKA KISIASA JAMANI! HALI SIO NZURI KILA KITU KIPO JUU KWA AJILI YA GHARAMA YA MAFUTA KUWA JUU MFANO, MZURI BEI YA KL. YA SUKAR NI SH.2000-2200, JAMANI TUNAELEKE WAP?