EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei za mafuta kutokana na kubadilika kwa bei katika Soko la Dunia na gharama za uagizaji. Mabadiliko ya bei hizo yanaanza kutumika kuanzia leo Sept Mosi, 2021