EXCLUSIVE: Wema Abariki Ndoa ya Diamond na Mobeto – Video
MALKIA wa Bongo Movies, Wema Sepetu amesema kuwa mpaka sasa hana tatizo kabisa na aliyekuwa mpenzi wake, Staa wa Bongo Fleva, Diamond Pltinumz endapo ataoana na mzazi mwenzake, mwanamitindo Hamisa Mobetto, ambaye amekua akionekana kama mpinzani wake kwa Diamond.
Comments are closed.