The House of Favourite Newspapers

Exim Yafuturisha Wateja Wake Tanga

0
Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mh Hashimu Mgandilwa akizungumza na wageni waalikwa waliohudhulia hafla ya futari iliyoandaliwa na benki ya Exim Tanzania kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga ikiwa ni muendelezo wa utaratibu wa benki hiyo wa kuandaa futari kwa ajili ya wateja na wadau wake katika mikoa mbalimbali nchini kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga mwishoni mwa wiki ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali.

IKIWA ni muendelezo wa utaratibu wake wa kuandaa futari kwa ajili ya wateja na wadau wake katika mikoa mbalimbali nchini kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Benki ya EximTanzania mwishoni mwa wiki iliandaa futari maalum kwa ajili ya wateja wake mkoani Tanga.

Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mh Hashimu Mgandilwa (kulia) akipata futari sambamba na maofisa waandamizi wa benki ya Exim akiwemo Mkuu wa idara ya wateja wadogo na kati Benki ya Exim Bw Andrew Lyimo (wa pili kushoto), Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki hiyo Bw Stanley Kafu (Kulia), Sheikh Mkuu wa Mkoa huo Sheikh Juma Luwuchu (wa pili kulia) wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki ya Exim Tanzania kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga mwishoni mwa wiki.

 

Hafla ya futari hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mh Hashimu Mgandilwa pamoja na Sheikh Mkuu wa Mkoa huo Sheikh Juma Luwuchu.

Meneja wa Benki ya Exim Tawi la Tanga Bw Ibrahim Ukwaju akizungumza na wageni waalikwa waliohudhulia hafla ya futari iliyoandaliwa na benki ya Exim Tanzania kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga ikiwa ni muendelezo wa utaratibu wa benki hiyo wa kuandaa futari kwa ajili ya wateja na wadau wake katika mikoa mbalimbali nchini kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga mwishoni mwa wiki ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali.

 

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Tanga Sheikh Juma Luwuchu akizungumza na wageni waalikwa waliohudhulia hafla ya futari iliyoandaliwa na benki ya Exim Tanzania kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga ikiwa ni muendelezo wa utaratibu wa benki hiyo wa kuandaa futari kwa ajili ya wateja na wadau wake katika mikoa mbalimbali nchini kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga mwishoni mwa wiki ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali.

 

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania Bw Stanley Kafu akiwa ameongozana na wageni waalikwa pamoja na wafanyakazi wa benki hiyo kupata futari wakati hafla ya futari iliyoadaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga. Hafla hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga mwishoni mwa wiki ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali.

 

 

Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhulia hafla ya futari iliyoandaliwa na benki ya Exim kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga. Hafla hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga mwishoni mwa wiki ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali.

 

Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mh Hashimu Mgandilwa (wa tano kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja na maofisa wa benki ya Exim Tanzania pamoja na wageni waalikwa waliohudhulia hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake jijini Tanga ikiwa ni muendelezo wa utaratibu wa benki hiyo wa kuandaa futari kwa ajili ya wateja na wadau wake katika mikoa mbalimbali nchini kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Hafla hiyo ilifanyika Hotel ya Tanga Beach Resort jijiji Tanga mwishoni mwa wiki ikihudhuriwa na wadau mbalimbali wa benki hiyo wakiwemo wateja, wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na viongozi mbalimbali wa dini wakiongozwa Sheikh Mkuu wa Mkoa huo Sheikh Juma Luwuchu (katikati)

 

 

Leave A Reply