The Game: Kim Kardashian Agombee Urais Marekani 2020
The Game.
RAPA wa nchini Marekani, The Game, amesema mwanamitindo, mtangazaji wa kike, Kim Kardashian West, anafaa kugombea urais wa Marekani mwaka 2020 kwani mwanamke huyo ambaye ni mke wa rapa, Kanye West, ana vigezo vya kutosha kuliko ilivyokuwa kwa Hillary Clinton katika uchaguzi uliopita.
Miongoni mwa wasanii waliowahi kuwa wanasiasa baadaye wakashika nyadhifa kubwa ni pamoja na aliyekuwa mwigizaji na baadaye kuwa rais wa Marekani, Ronald Reagan, na mwigizaji Arnold Schwarzenegger aliyekuja kuwa Gavana wa California.
Comments are closed.