Global TV Live: Tazama Mubashara Irene Uwoya Valentines’ Special Night Party
Saa 6:30 Usiku: Shoo yenyewe
Mwanahari wetu, Mussa Mateja anatoa neno la utangulizi stejini.
Party inaonekana itapendeza kuliko kawaida
Saa 6:30 Usiku: Shoo yenyewe
Mwanahari wetu, Mussa Mateja anatoa neno la utangulizi stejini.
Mussa Mateja akitoa neno la utangulizi
Straicker Obama akijitambulisha na kupiga stori na paparazi Matej
Party inaonekana itapendeza kuliko kawaida
Wasanii wameshaanza kutumbuiza.
Shilawadu wanaelezea mipango yao na tours zao za mikoani wanazotegemea kuzifanya hivi karibuni
Diva the Bause: Natamani Kudate na Ali Kiba
Diva: Niliwahi kufanya interview na Kiba akasema anatamani kunioa.
Imetimba mpaka alipoketi Q-Chief
Q-Chief: Nimekuja kutazama watu wanavyopendana, huenda na mimi nikajifunza namna ya kupenda
Q-Chief: Nimependa namna ambavyo waandishi wa habari wanaweza kujumuika na wasanii na mambo yakaenda sawa
Q-Chief: Kitu nilichokiona kunivutia ni watoto warembo.
Q-Chief:Sijaalikwa lakini nimeibukia tu ili nije kuona watoto wazuri walivyonoga.
Diva yupo stejini ana host shoo
Big up kwa Diva, amependeza kinoma
Diva anawaita Mose Iyobo na Aunty stejini
DIVA: anawauliza swali
Diva: Mlikutana wapi mkaanza mapenzi
AUNT: Tulikutana kwenye ndege tukienda Sauzi
AUNT: Hatukutongozana wakati huo…
AUNT: Tulikujauanza kufanya mapenzi hapa Bongo
DIVA: Kwa nini ulimuita Harmorapa anafanana na nyani?
Mose Iyobo: Sikumaanisha hivyo
DIVA Ulienda kuwasimulia WCB baada ya kulala na AUNT?
Mose Iyobo:Sikuwasimulia
DIVA: Aunt una neno gani kwa Uwoya?
DIVA: Nampenda tu
Aunt na Mpenzi wake Mose Iyobo
AUNT na Mose Iyobo wanapigana mabusu mbele ya mashabiki, mbele ya steji
Diva anamuita kajala stejini
DIVA: Kajala unaweza kudate na nani kati ya Kiba na Diamond?
Kajala: Hakuna kati yao
Diva: Kwa nini
Kajala: Siwezi tuuuu
Diva: Quick Rocker mmeachana:
Kajala: Siajwahi kumdate Quick Rocker
Shoo inaendele kama kawa.
=====================================
MWISHO WA SHOOOO nA MWISHO WA MATANGAZO HAYA YA MOJA KWA MOJA KUPITIA GLOBAL TV ONLINE
PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Next Post
Comments are closed.