BurudaniHabari Nyomi la Mashabiki Walivyompokea Ali Kiba na Tuzo ya MTV Kutoka Sauzi Last updated Feb 28, 2017 Share MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba amewasili Dar akitokea Afrika Kusini alikokuwa ameenda kuchukua TUZO yake ya MTV Mashabiki walivyojaa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar kumpokea Ali Kiba. Share
Comments are closed.