Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (kulia) akiongea jambo na Msemaji Mkuu wa Simba, Haji Manara alipotembelea Ofisi za Global, Bamaga -Mwenge jijini Dar.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kulia) akiongea jambo na Haji Manara.
Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally (wa pili kutoka kulia) akiwatambulisha wahariri wa Magazeti ya Championi, Philip Nkini (wa kwanza kushoto) na Ezekiel Kitula (wa kwanza kulia).
Haji Manara akifuatilia kwa makini namna ya uandaaji wa magazeti.
Manara akionyeshwa Gazeti la Championi linavyotayarishwa na msanifu kurasa wa Global, Asteria Kitula.
Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Global, Oscar Ndauka (kushoto) akisalimiana na Manara.
Mhariri wa Ijumaa Wikienda, Sifael Paul (kushoto) akiongea jambo na Manara.
Mhariri Mwandamizi wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli, (kulia) akisalimiana na Manara.
Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erick Evarist (wa kwanza kushoto) na Mhariri Kiongozi wa Championi (kulia) wakiongea na Manara (katikati).
Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally akimtambulisha Manara (katikati) kwa Mhariri wa Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Ojuku Abraham (kulia).
Manara akisalimiana na Edwin Lindege (kushoto).
Saleh Ally (kulia) akiongea jambo na Manara kuhusu kitengo cha Global TV Online.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima akimuangalia Manara anavyovaa kofia ya Gazeti la Ijumaa lenye sura mpya.
(PICHA; MUSA MATEJA/GPL)