HARMONIZE AFUNIKA WASAFI FESTIVAL 2018 MTWARA
Msanii wa muziki kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Harmonize, amefanya shoo ya aina yake katika tamasha la Wasafi Festival 2018 katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara usiku wa kuamkia leo.
PICHA NA MUSA MATEJA | MTWARA -GPL
Comments are closed.