Harmonize Amfanyia Sapraizi Mpenziwe Sarah
MWANAMUZIKI Harmonize amemfanyia saparaizi ya pekee mpenzi wake aitwaye Sarah, raia wa Italia, baada ya kumuita stejini na kumweleza anavyompenda mbele ya mashabiki, akimpa ushauri wa kuacha kufuatia stori za mitandao ambazo zinasababisha migogoro isiyo na maana kwa wapendanao.
Alimalizia kwa kucheza naye stejini huku mashabiki wakimshangilia kwa kumpata “Mtasha” huyo.
NA RICHARD BUKOS/MUSA MATEJA
Comments are closed.