The House of Favourite Newspapers

Hatimaye Aishi Manula Kujiunga Kambi ya Simba Sauzi

0

Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuwa kipa Aishi Manula, kesho Agosti 1, 2017 atajiunga na kambi ya timu hiyo iliyopo Afrika Kusini baada ya kukamilisha usajili akitokea Azam.

Leave A Reply