HabariKitaifa IGP Sirro Amuondoa RPC Kaganda Kinondoni Last updated Jul 18, 2017 0 Share Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, (ACP) Muliro J. Muliro. Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, (SACP) Suzan Kaganda. Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro amefanya mabadiliko ya Makamanda kwa Mkoa wa Shinyanga na Mkoa wa Kipolisi Kinondoni. Muliro J. Muliro.POLISISirroSuzan Kaganda. 0 Share