The House of Favourite Newspapers

Isaya Mwita wa Chadema ndiye Meya wa Dar

1 Meya Mteule wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita Charles kutoka kata ya Vijibweni Chadema anayeunda umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA.

Meya Mteule wa jiji la Dar es salaam  Issaya Mwita Chalres kutoka kata ya vijimbwweni (UKAWA)

meya

Fomu ya uthibitisho wa matokeo ya uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es salaam.

2.Taswira ya Ukumbi ilivyokuwa.

Taswira ya ukumbi ilivyokuwa

3. Aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Edward Ngoyayi Lowasa(katikati mwenye shati nyeupe) akiwa katika hafla hiyo.

Aliyekuwa mgombea wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema,Edward Ngoyayi Lowasa (katikati mwenye sharti jeupe) akiwa katika hafla iyo

4.Baadhi ya viongozi wa Chadema wakifuatilia uchaguzi uliokuwa ukiendelea.

Baadhi ya viongozi wa chadema wakiwa wanafuatilia uchaguzi uliokua ukiendelea

5.kura zikihesabiwa kumpata mshindi.

Kura zikihesabiwa ukumbini hapo

6.Nje ya Ukumbi ilivyoonekana nje ya ukumbi wa Karimjee.

Ilivyooneka nje ya ukumbi wa karimjee

7.Ulinzi ukiwa umeimarishwa nje ya ukumbi

Ulinzi ulivyokuwa umeimalishwa nje ya ukumbi
IMG_5953 IMG_5983 IMG_5985 IMG_6011 IMG_6028 IMG_6059
IMG_6110
IMG_6133 IMG_6135

Picha zikionyesha taswila mbalimbali ya uchaguzi huo wa Meya wa jiji la Dar es salaam.

Isaya Mwita wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo ameibuka mshindi katika uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam kwa kura 84 huku Omari Yenga wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kura 67 na kura 7 zimeharibika.

Wajumbe 158 ndiyo walipiga kura katika uchaguzi uliofanyika katika Ukumbi wa Karimjeee jijini Dar es Salaam.

(Na Denis Mtima na Chande Abdallah/Gpl)

Comments are closed.