JPM AKUTANA NA PRINCE WILLIAM WA UINGEREZA
(Picha na Ikulu, Dar es Salaam)
Rais John Magufuli leo amekutana na mjukuu wa Malkia wa Uingereza, Prince William, Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya naye mazungumzo ambapo baadaye walipeana zawadi mbalimbali.
Comments are closed.