JPM Amwapisha Mrithi wa Makonda na Viongozi Wengine -(Picha + Video)
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo Julai 16, 2020 alifanya uteuzi wa viongozi wa Mkoa na Wilaya na kuwaapisha 16-07-2020 Ikulu Chamwino, Dodoma.
Viongozi Wateule watakaoapishwa Leo ni :-
1.Bw. Aboubakar Kunenge- Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
2.Bw. Joseph Joseph Mkirikiti – Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara
3.Bw.Paulo Mshimo Makanza – Kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam
4.Bw. Gabriel Pascal Malata- Kuwa Wakili Mkuu wa Serikali
5.Dkt. Boniface Luhende-Kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali
6.Dkt. Maduhu Isaac Kazi – Kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)
Pia Mhe. Rais atashuhudia Uapisho wa Wakuu wa Wilaya za Kongwa, Chunya, Kiteto, Moshi na Hanang
Eneo: Viwanja vya Ikulu Chamwino.